Bigirimana wa EPL ataka 700M kuvunja mkataba Yanga

Bigirimana wa EPL ataka 700M kuvunja mkataba Yanga

Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za Kitanzania, hivyo kufanya jambo la kuondoka kuwa gumu na huenda akasalia mitaa ya Jangwani.

My Take
Niliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.
Punguza kuwashwa, vp Okwa, na Akpan mlinunua eBay au Amazon?
 
Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za Kitanzania, hivyo kufanya jambo la kuondoka kuwa gumu na huenda akasalia mitaa ya Jangwani.

My Take
Niliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.
Yuko sahihi ni haki yake. Wanataka kuvunja mkataba wamlipe mpaka mwisho wa mkataba vinginevyo wafikie makubaliano ya pande 2.
 
Yanga ina watu wa namna hiyo wangapi kulinganisha na Simba? Unajifariji kw Yanga wakati timu yako ya Simba ndio wamejaa mafungo.
Yanga na Simba katika hilo hawachekani,kote kuna mizigo mingi tu
 
Okwa alitaka 800 naona mo mipesa kamlipa kavunja mkataba,haya utopwizo mpeni mia saba zake chezaji la EPL[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chezaji la EPL linavunjiwa mkataba[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]sjapenda
 
Mkiandika haya muwe mnaweka na uthibitisho wa kama hiyo kauli ni kweli ameisema huyo mchezaji, pia wekeni na mkataba wake na klabu kuona kama kuna hicho kipengele, zaidi ya hapo mtaendelea kubabaika kama mnavyobabaika issue ya Feisenge.
Kama hakuna kipengele ina maana kuna hitajika makubaliano ya pande mbili na ndipo hapo yule ambaye ana kandamizwa anaweza dai haki zaidi...

Yalitokea kwa chezaji la kimataifa kutoka keizer chief, mkataba haukuvunjwa walibakia wakimuuguza kwa kudanganya wamemtoa kwa mkopo huku wakimuuguza na kumlipa mishahara yake...

Kwanini, kwa sababu una piga hesabu mishahara unayomlipa kwa miaka mliyosainishana na gharama ambazo ukivunja mkataba zitakuwa himilivu?

Nenda kapitie act ya fifa kama kielelezo utakuja nishukuru...

Kwa kukaa benchi, mchezaji anaweza kuondoka au kuvunja mkataba kama ilivyokuwa kwa mzee onyango kutaka kuondoka, ila akikataa hiyo inakula kwako...

Sheria nyingi zina wapa unafuu zaidi wachezaji
 
Back
Top Bottom