USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Ni ajali kubwa sana kwa takribani miaka 10 haijawahi kutokea ajali kama hii ambapo watu kadhaa wanadiwa kufa nita update taarifa, baada ya kufika hospitalini
Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba
Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu kwenye kona yenye mteremko mkali liliacha njia na kupinduka mara kadhaa hadi kipande cha juu cha bus kuondoka
Updates
Watu kumi na moja wamefariki na zaidi ya 20 ni majeruhi taarifa kutoka kwa mganga mkuu wa hospitali ya Biharamulo
USSR
======
UPDATES
=====
Watu 11 wamefariki dunia huku 16 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea katika Kijiji cha Kabukome Kata ya Nyarubungo kwenye mlima wa kuanzia pori la Kasindaga lililopo Wilaya ya Biharamulo na Muleba Mkoani Kagera
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera Blasius Chatanda amelitaja gari hilo kuwa lina namba za usajili T 857 DHW linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Bukoba ambapo liliacha njia na kupinduka na hatimaye kusababisha vifo vya Watu 11 kati ya hao Wanaume ni wanne Watu wazima na Wanawake watano, Mtoto wa kiume mmoja na Mtoto wa kike mmoja na miili yote ipo Hospitali teule ya Wilaya ya Biharamulo huku kati ya 16 waliojeruhiwa baadhi yao wanaendelea vizuri na muda wowote wataruhusiwa.
Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba
Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu kwenye kona yenye mteremko mkali liliacha njia na kupinduka mara kadhaa hadi kipande cha juu cha bus kuondoka
Updates
Watu kumi na moja wamefariki na zaidi ya 20 ni majeruhi taarifa kutoka kwa mganga mkuu wa hospitali ya Biharamulo
USSR
======
UPDATES
=====
Watu 11 wamefariki dunia huku 16 wakijeruhiwa katika ajali ya basi iliyotokea katika Kijiji cha Kabukome Kata ya Nyarubungo kwenye mlima wa kuanzia pori la Kasindaga lililopo Wilaya ya Biharamulo na Muleba Mkoani Kagera
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera Blasius Chatanda amelitaja gari hilo kuwa lina namba za usajili T 857 DHW linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Bukoba ambapo liliacha njia na kupinduka na hatimaye kusababisha vifo vya Watu 11 kati ya hao Wanaume ni wanne Watu wazima na Wanawake watano, Mtoto wa kiume mmoja na Mtoto wa kike mmoja na miili yote ipo Hospitali teule ya Wilaya ya Biharamulo huku kati ya 16 waliojeruhiwa baadhi yao wanaendelea vizuri na muda wowote wataruhusiwa.