Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu angewajalia wasipate ajali kabisa ingekua vizuri zaidi.Aisee basi limekua kama open roof 🙄🙄 Mungu awajaalie watoke salama🙏
Kwani tupo kwenye mtihani?? Dhima ya mwandishi ni kujua kuandika au kutoa taarifa??Rejea darasani na mtake Mwalimu wako wa Kiswahili akufunze upya.
Ukweli ni kwamba, WEWE SI MWANDISHI HODARI-HUJUI KUANDIKA!
Nuna ama nitukane ukipenda.
Ni kweli ila mpaka tunatumiwa picha inamaanisha imeshatokea, ni kuombea watoke salamaMungu angewajalia wasipate ajali kabisa ingekua vizuri zaidi.
Imenikumbusha ajali moja mbaya ilitokea kona za Lukumburu Songea, nimesahau jina la bus ila ilifumuka kama hiyo na iliua karibu abiria wote, ile sehemu pamejengwa mnaraNi ajali kubwa sana kwa takribani miaka 10 haijawahi kutokea ajali kama hii ambapo watu kadhaa wanadiwa kufa nita update taarifa,baada ya kufika hospitalini
Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba
Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu kwenye kona yenye mteremko mkali liliacha njia na kupinduka mara kadhaa hadi kipande cha juu cha bus kuondoka
USSR
View attachment 3181876View attachment 3181877
Taarifa ya maandishi ikiandaliwa vibaya itaitwa taarifa ila itabaki kuwa na mapengo, unapofikisha taarifa angalau pitia mara mbili kabla haujabonyeza kitufe cha Post threadKwani tupo kwenye mtihani?? Dhima ya mwandishi ni kujua kuandika au kutoa taarifa??
Kunguniwee..
Kuna mawiliHili basi huwa ni bovu lakini wahaya ulikuwa huwaambii kitu Advanture alipeleka gari mpya wahaya hawapandi ikabidi afute route ya Kigoma -Bukoba.
Samahani, hili neno 'pulizapuliza' lina maana gani kwa hapa kwenye sentensi yako? Nimejaribu kulielewa nimetoka kapaKuna mawili
- Pulizapuliza
- Tribalism
Mkuu kila mtu a akimbilia kua wakwanza kuandika😃😃Taarifa ya maandishi ikiandaliwa vibaya itaitwa taarifa ila itabaki kuwa na mapengo, unapofikisha taarifa angalau pitia mara mbili kabla haujabonyeza kitufe cha Post thread
So sad mkuuKutokana na hizo picha huenda ni jioni saa 10 hivi. Mungu awarehemu. This is so sad.
Jana nimefanya safari kutoka DAR -DODOMA Huko njiani nimeona sinema zinazochezwa na mabus ni hatari sana, huku barabarani kuna maisha mengine kabisaa. Traffic wa nchi hii wapo Kwaajili ya magari madogo tuAisee nimeona Instagram kweli
Tribalism tu wanajuwa kabisa gari bovu na huwa linaharibika mara kwa mara njiani lakini utakuta basi limeharibika njia ya Kigoma -Kibondo na wapo confortable tu wanasubiri fundi anatengeneza waendelee na safari.Kuna mawili
- Pulizapuliza
- Tribalism
Shabiby 🐼Imenikumbusha ajali moja mbaya ilitokea kona za Lukumburu Songea, nimesahau jina la bus ila ilifumuka kama hiyo na iliua karibu abiria wote, ile sehemu pamejengwa mnara
Ni hatari sana,askari akipewa asali anaramba mengine ndo yanafuataJana nimefanya safari kutoka DAR -DODOMA Huko njiani nimeona sinema zinazochezwa na mabus ni hatari sana, huku barabarani kuna maisha mengine kabisaa. Traffic wa nchi hii wapo Kwaajili ya magari madogo tu
Aiseee😰Ni ajali kubwa sana kwa takribani miaka 10 haijawahi kutokea ajali kama hii ambapo watu kadhaa wanadiwa kufa nita update taarifa,baada ya kufika hospitalini
Ni basi la kampuni Kabco ambayo hufanya safari zake kati ya kigoma na bukoba
Inadaiwa sababu mwendo kasi na dereva kushindwa kulimudu kwenye kona yenye mteremko mkali liliacha njia na kupinduka mara kadhaa hadi kipande cha juu cha bus kuondoka
USSR
View attachment 3181876View attachment 3181877
Hao jamaa Mungu amewapa vitu vya ubinafsi flani hivi,special fake flan hiviTribalism tu wanajuwa kabisa gari bovu na huwa linaharibika mara kwa mara njiani lakini utakuta basi limeharibika njia ya Kigoma -Kibondo na wapo confortable tu wanasubiri fundi anatengeneza waendelee na safari.