Biharamulo, Kagera: Ajali ya basi la KABCO yaua watu 11 eneo la mlima Simba

Biharamulo, Kagera: Ajali ya basi la KABCO yaua watu 11 eneo la mlima Simba

Ifike hatua dereva anaekuwa involved kwa issue kama hizi ni kufutiwa leseni ikiwa hajafa.
 
H
Rejea darasani na mtake Mwalimu wako wa Kiswahili akufunze upya.

Ukweli ni kwamba, WEWE SI MWANDISHI HODARI-HUJUI KUANDIKA!

Nuna ama nitukane ukipenda.
Hatuko kwenye uandishi hili Jambo la kuhuzunisha, una kichaa!
 
Rejea darasani na mtake Mwalimu wako wa Kiswahili akufunze upya.

Ukweli ni kwamba, WEWE SI MWANDISHI HODARI-HUJUI KUANDIKA!

Nuna ama nitukane ukipenda.
Ninyi ccm mna matatizo sana,mbona hakuna mahali mtoa habari alipojiita ”Mwandishi Hodari”?hiyo sifa umempa wewe halafu unamtukana nayo.
 
Biharamulo, sijui ndio wapo huko.
Biharamulo District,Kagera Region.
 
Dooh, ajali, ajali, ajali. Samia Suluhu Hassan ajali ikitokea fukuza mkuu wa mkoa, wilaya, rpc, rto, ocd wa eneo husika.
 
Abiria tujitahidi kufunga mikanda, naona hii yaweza punguza madhara,, pia ya mkoa kwa mooa ambayo haina mikanda izuizwe kusafiri hadi mikanda iwekwe
 
Hawa madereva na ajali zao za makusudi usikute wanajiua makusudi na wanafanya hivyo wakiwa na abiria
 
Ajali ya basi la Kabco eneo mlima simba Biharamulo, Saa100 ,amepiga kimya🥺
 
Mungu angewajalia wasipate ajali kabisa ingekua vizuri zaidi.
11 palepale, na zaidi ya 10 ni majeruhi, ila ni uzembe wa dreva, eti alisimama kwenye mteremko mkali baada ya kuona gari jingine ili kupakiza mtoto akiyempitisha kwenye kituo chake ndipo gari likaanza kuserereka mpaka kubiduka hivyo.
 
Mabasi ni mabovu, dereva wa basi safari ndefu ni mmoja, traffic wanakusanya Chao na kwenda makwao, LATRA hawafuatilii mabasi!

Wabunge wawe wanapanda mabasi ya kwrnda kwenye majombo yao!
Kweli kabsa, hapa tatizo ni vyombo vyetu vya usalama.
 
Back
Top Bottom