Kaveli JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 5,443 Reaction score 8,903 Dec 22, 2024 #101 "The Dark Side of Business"... mwisho wa mwaka ! -Kaveli-
ZWAMBATUMA Member Joined Nov 25, 2024 Posts 91 Reaction score 133 Dec 22, 2024 #102 Kweli haya ni mahesabu ya kumalizia mwaka. Maana kila mahali ajali kweli au ndiyo uzembe wa mdeleva tu.
Kweli haya ni mahesabu ya kumalizia mwaka. Maana kila mahali ajali kweli au ndiyo uzembe wa mdeleva tu.
Wazolee JF-Expert Member Joined Sep 1, 2018 Posts 3,183 Reaction score 3,660 Dec 22, 2024 #103 Inasikitisha sana watu wanakufa na kuacha msyatima na wajane na wengine wanakuwa vilema Magufuli aliwezaje kudhibiti hizi ajali na hawa wanashindwaje R.I.P jembe Magufuli Watu wenye maono ya mbali wanakukumbuka sana
Inasikitisha sana watu wanakufa na kuacha msyatima na wajane na wengine wanakuwa vilema Magufuli aliwezaje kudhibiti hizi ajali na hawa wanashindwaje R.I.P jembe Magufuli Watu wenye maono ya mbali wanakukumbuka sana