Sijasema hakuna gest, wala sijasema zilizopo hazilaliki, hapa napo ni mambo ya mtazamo, nimeona hoteli mbili, gest za kumwaga, ukifika mahali ukakuta wenyeji wako wanasubiri giza liingie ndipo waoge nje na wanatakata, ukijiona huwezi .kuogea nje, utalala bila kuoga na kesho yake utatafuta pa kuogea, kwani wanaooga nje hawatakati?, kwani usafi ni kazi ya bafu?.
Biharamulo kuna sehemu kibao za .kupata chakula cha maana, lakini bado sili silali BI'Mulo kuko full, hata wakati wa Busanda, nililala Geita, Katoro gest kibao. Sasa nalala Chato. Its only a matter of choice, not of need, na kwa taarifa tuu, mimi ni mgumu,. nimeshalala mpaka ..street London wakati wa winter, chips vumbi ndio. msosi wangu, ma-ntilie hoteli yangu.
mpaka sasa naishi kwenye kibanda size ya 20ft container.
Ubadhirifu ni ubadhirifu tuu pale unapotapanya mali ya umma, bahati mbaya au nzuri, mimi sio mtumishi wa umma, not paid by taxpayers money, Imake my own money and use them as I please, Busanda sikutumwa, na Bi'Mulo sijatumwa, ni mapenzi binafsi kushuhudia harakati za kisiasa katika ujenzi wa demokrasia ya kweli.