Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kupiga punyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
 
Hivi Yosefu aliendelea kuchakata mbususi baada ya mtume kuzaliwa.
Haswaa, Joseph aliendelea kumtafuna Maria kama kawaida kwa kuwa Maria alikuwa ni mke wake halali wa ndoa.
Hata kabla ya Masihi kuzaliwa (wakati Maria akiwa mjamzito) huenda Joseph alikuwa anakula mzigo wake kama kawaida, maana ni haki na halali yake tena ni baraka.
 
Back
Top Bottom