Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Okey sawa, mm sikatai. Ila jiulize kama ni suala la imani, kwann wenye imani ya wakati ule ni sahihi na wanaoamua kumuamini huyu isiwe sahihi? Si imani ya mtu?
Sipo mbali na wewe unayetaka twende kwa hoja.
Imani yoyote ikichochewa vichwani mwa watu hugeuka kuwa ni bhangi yenye madhara makubwa sana.

Hivyo Serikali inatakiwa kulinda roho na afya za watu wake.
 
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kuoiga ounyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
Ukiwa unazungumzia maandiko ya kwenye biblia, usiyahusishe na mwili, kwani ile injili imekuja kutukomboa kiroho.

Yesu anasema; amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, huyo amekwisha kuzini nae moyoni [Mathayo 5:28].

Hapo unajifunza kwamba, kumbe mwanamke anaweza kuwa bikira wa mwili, lakini akawa malaya kiroho, bikira Maria kuitwa bikira imebeba ujumbe mzito wa kiroho zaidi ya kimwili.

Kwani mimba aliyoibeba na kuzaliwa Yesu Kristo, haikuwa kwa kuingiliwa kimwili na mumewe Yusufu, ule ulikuwa ni uwezo wa Mungu ili maandiko yatimie.
 
Alimuoa Maria yusufu akiwa na miaka 80, baada ya kumzaa mtoto haikupita muda mrefu yusufu akafariki, yule mama hakuwahi kuingiliwa na mwanaume milele

Acha kukalili maliamu aliendelea kuzaa

Mathayo 13:55 Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?

Mathayo 13:56 Na maumbu yake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
 
Sipo mbali na wewe unayetaka twende kwa hoja.
Imani yoyote ikichochewa vichwani mwa watu hugeuka kuwa ni bhangi yenye madhara makubwa sana.

Hivyo Serikali inatakiwa kulinda roho na afya za watu wake.
Kwa kipimo kipi serikali itafahamu kuwa roho ipo hatarini?
 
Alimuoa Maria yusufu akiwa na miaka 80, baada ya kumzaa mtoto haikupita muda mrefu yusufu akafariki, yule mama hakuwahi kuingiliwa na mwanaume milele
Ni wapi imeandikwa kwamba jamaa alikua na miaka 80 na alifariki mapema, mapema ni mwaka gani huo?
 
Tukio hili limetokea huko nchini Kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.

NB: Mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona 🤩🤩
Tokeo la Bikra Maria siyo show off, halitokei bila kuacha ujumbe.
Pia mara zote waliotokewa hudai kuuona utukufu ambao huwafanya wanajikuta tu wanapiga magoti. Sasa hao makelele yanatafakarisha pia. Tokeo la Bikra lazima lithibitishwe na mamlaka za kanisa
 
Labda Joseph alioa mke mwingine
Haswaa, Joseph aliendelea kumtafuna Maria kama kawaida kwa kuwa Maria alikuwa ni mke wake halali wa ndoa.
Hata kabla ya Masihi kuzaliwa (wakati Maria akiwa mjamzito) huenda Joseph alikuwa anakula mzigo wake kama kawaida, maana ni haki na halali yake tena ni baraka.
 
Waende Rwanda wakajifunze, watakuja na majibu namna ya kudhibiti vishoka wa dini.
Rwanda walichofanya ni kutaka watu waende shule kwanza kabla ya kuanzisha kanisa. Kuna kingine?
 
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kupiga punyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
Bikira inatisha baada tu ya kupigwa miti.Huyo Mari mwenyewe ni mtu tu,anapat wapi nguvu ybkuonekana.Waafrika ni wapumbavu sana.
 
Rwanda walichofanya ni kutaka watu waende shule kwanza kabla ya kuanzisha kanisa. Kuna kingine?
Wamewataka bila kuchukua hatua?
Na wahubiri makanjanja wamepelekwa wapi?
 
Acha kukalili maliamu aliendelea kuzaa

Mathayo 13:55 Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?

Mathayo 13:56 Na maumbu yake wote hawapo hapa petu? Basi huyu amepata wapi haya yote?
Undugu haupo kwenye kuzaliwa tumbo moja tu, kumbuka pia yusufu alikua na watoto na wajukuu pia kabla ya Mariam na yesu.
 
Back
Top Bottom