Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mathayo 1:18 Kuzaliwa kwake Yesu Kristu kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.Haswaa, Joseph aliendelea kumtafuna Maria kama kawaida kwa kuwa Maria alikuwa ni mke wake halali wa ndoa.
Hata kabla ya Masihi kuzaliwa (wakati Maria akiwa mjamzito) huenda Joseph alikuwa anakula mzigo wake kama kawaida, maana ni haki na halali yake tena ni baraka.
Bikira ni mtu wa aina gani maana Mariam alimzaa Yesu na wadogo zake.Tukio hili limetokea huko nchini Kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.
NB: Mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona [emoji2956][emoji2956]
Kama haujapitiwa na Roho mtakatifu hauwezi kumuona..Nimeiangalia hadi mwisho sijamuona maria.
Sana tu! Yesu ana wadogo zake. Sasa huo ubikira sijui unatoka wapi[emoji848][emoji848]Hivi Yosefu aliendelea kuchakata mbususi baada ya mtume kuzaliwa.
Acha ujinga ukaishi.Mpaka uwe na macho ya rohoni ndugu yangu hivi hivi huwezi kumuona [emoji1739][emoji1739]
Hao wadogo zake Yesu walipatikanajeUmesahau ku-Minus Ile miaka kabla ya Balehe! Zamani walikuwa wanabalehe na Miaka 50!
AminaUkiwa unazungumzia maandiko ya kwenye biblia, usiyahusishe na mwili, kwani ile injili imekuja kutukomboa kiroho.
Yesu anasema; amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, huyo amekwisha kuzini nae moyoni [Mathayo 5:28].
Hapo unajifunza kwamba, kumbe mwanamke anaweza kuwa bikira wa mwili, lakini akawa malaya kiroho, bikira Maria kuitwa bikira imebeba ujumbe mzito wa kiroho zaidi ya kimwili.
Kwani mimba aliyoibeba na kuzaliwa Yesu Kristo, haikuwa kwa kuingiliwa kimwili na mumewe Yusufu, ule ulikuwa ni uwezo wa Mungu ili maandiko yatimie.
Mimi nalia na Shetani CAPO DELGADO.Maria alifariki miaka 2000 iliyopita.
NASHANGAA ROMAN BADO WANAMUOMBEA NA KUMPA UTAKATIFU.
ROMAN WALIANZISHA UISLAMU.
LEO WANAANZISHA NDOA ZA JINSIA MOJA.
Nikisoma UFUNUO 17.
HUWA NALIA NA SHETANI ROMA.
Kuna wakati unapaswa kujua kama umri unaenda, akili na namna ya kufikiri vinabadilika.Hivi Yosefu aliendelea kuchakata mbususi baada ya mtume kuzaliwa.
Hata mkatoliki kindaki kama mimi nasema huo ni mwanga ulioakisiwa kutoka kwenye vioo vikubwa nyuma ya kanisa na pengine kioo hicho kina picha ya Bikira Maria.Nimetazama video na nadhani huu ni ukichaa sasa!
Tena?!😳🤣🤣🤭Huna akili.
Niko naye huku Njombe tumachuma parachichiAmebaki zakayo mtoza ushuru