Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Sio bibi ni bintiHii Dini ina ufala mwingi sana. Nani anaijua Sura halisi ya huyo Bibi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio bibi ni bintiHii Dini ina ufala mwingi sana. Nani anaijua Sura halisi ya huyo Bibi???
Amebaki zakayo mtoza ushuru
Bikra maria wew ushamwona wapi??...maana wa kwenye movie na picha sio yeye Halisi.Tukio hili limetokea huko nchini kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.
NB: mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona [emoji2956][emoji2956]
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?
Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kuoiga ounyeto ama ilikuaje?
Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?
Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
Alimuoa Maria yusufu akiwa na miaka 80, baada ya kumzaa mtoto haikupita muda mrefu yusufu akafariki, yule mama hakuwahi kuingiliwa na mwanaume mileleHivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?
Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kuoiga ounyeto ama ilikuaje?
Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?
Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
😂😂😂😂😂😂😂Daaaahhh aseee imani hiziNimetazama video na nadhani huu ni ukichaa sasa!
Hio ndoa ilifungwa wapi wakati walikua wachumba, kwanza yusufu hakutaka kumuoa ila kwa sababu ya uyatima wa huyo binti Maria uongozi wa dini yao ukaona wamkabidhi yusufu,kwa sababu yusufu alikua mwadilifu na pia alikua amefiwa na mkewe karibuniHaswaa, Joseph aliendelea kumtafuna Maria kama kawaida kwa kuwa Maria alikuwa ni mke wake halali wa ndoa.
Hata kabla ya Masihi kuzaliwa (wakati Maria akiwa mjamzito) huenda Joseph alikuwa anakula mzigo wake kama kawaida, maana ni haki na halali yake tena ni baraka.
Ukisema DINI unakosea. DINI zote duniani ni nzuri tatizo linakuja KWA hawa wapokeaji mkuu, hii DUNIA ainaga ubaya, siyo risasi inayoua ni mtu, magonjwa yote ni mtu, ajali zote ni mtu DINI zote ni za MUNGU ILA hawa wapokeaji ndipo tatizo lilipoHii Dini ina ufala mwingi sana. Nani anaijua Sura halisi ya huyo Bibi???
Hata mimi nimehisi hivyo😂😂😂.Huo ni mwanga wa projector...sijajua walifanya kusudi au kwa bahati mbaya kuwafool waumini
Acha bange weweTukio hili limetokea huko nchini kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.
NB: mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona [emoji2956][emoji2956]
Huko kuna mmoja anajiita Yesu halisi na wanamuabudu kweli.Kenya kuna mazezeta wengi.
Sasa utathibitisha vp kuwa siye wkat ni suala la imani? Tena wakimkamata ndo watasema iliandikwa atakamatwa, imerudia tena.Huko kuna mmoja anajiita Yesu halisi na wanamuabudu kweli.
Hivi serikali kazi zake ni nini linapofika suala la kukabiliana na brain washers kama hao?
Maana sasa ni hatari!
Ndugu yangu huo ni mzahaha wa kuneemesha matapeli wajanja.Sasa utathibitisha vp kuwa siye wkat ni suala la imani? Tena wakimkamata ndo watasema iliandikwa atakamatwa, imerudia tena.
Nenda church ukiwa huna hela sikilizia muda wa sadaka kisha nenda kwenye kapu ukiwa umekunja ngumi (ishara ya kushika hela)Mpaka uwe na macho ya rohoni ndugu yangu hivi hivi huwezi kumuona 🕺🕺
Okey sawa, mm sikatai. Ila jiulize kama ni suala la imani, kwann wenye imani ya wakati ule ni sahihi na wanaoamua kumuamini huyu isiwe sahihi? Si imani ya mtu?Ndugu yangu huo ni mzahaha wa kuneemesha matapeli wajanja.
Aende Rwanda na hiyo slogan yake akakione cha moto!