Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Bikira Maria aonekana live kanisani wakati ibada ikiendelea

Huu upuzi utotelewe hapa Kuna sehemu gani imeandikwa bikira Maria alifufuka
 
Tukio hili limetokea huko nchini Kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.

NB: Mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona 🤩🤩
Pepo hilo, na wote wamwabuduo mwisho wao ni kuzimu
 
Kila mwanamke anakuwa bikira mpaka akiingiliwa au akizaa. Baada ya hapo hawi tena bikira!
 
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kupiga punyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Fala wewe
 
Ameonekanaje live wakati kumuona mpaka uwe na macho ya rohoni. Au hujui maana ya live
Nimejiuliza kama na camera iliyotumika kuchukua hiyo video ina macho ya rohoni pia
 
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kupiga punyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.
Just imagine kwa dunia ya leo mkeo humtafuni halafu anapata mimba ukimuuliza anasema ya roho mtakatifu[emoji1787][emoji1787]
 
Write your reply...Huo Ni upumbavu wa kiwango Cha juu sana
 
Wakenya kuna Yesu wao huko,kubaka mbuzi wamo,kukatana mapumbu wakauze wamo, kuwabaka mama zao wapo,kuua bibi zao wapike nyama wale wamo,mlima kilimanjaro wakwao sawa, baba kuoa binti yake sawa, leo hiyo ya bikra maria tufanye ni bonus tu
 
Mambo ya dini bwana 😂😂
Mimi namuamini Mungu, nazipenda dini lakini kamwe hazinipelekeshi. Pa kufaa akili inanisaidia. Siendi kibubusa.
 
Hakika mafuta na maji yashajulika katika kuamini mungu na kuchagua dini iliyosahihi hapa dunian kwa mwenye akili safi kabisa ya kufikiri.
Hakika Uislam ni neema kubwa sana sana kutoka kwa muumba wa mbingu na ardhi...na Mungu kila siku anabainisha usanii iliopo huko, hv hamzingatii jaman....
 
Hii Dini ina ufala mwingi sana. Nani anaijua Sura halisi ya huyo Bibi???

Hakuna dini ya maana kama ukristo,ukristo ukiwa wa kifala basi dini zote zinakua hazina maana tena.
 
Hivi mtu anaendelea kua bikira hata baada ya kuzaa?

Je mumewe Bwana Yusufu baada ya mke wake kuzaa aliendelea kupiga punyeto ama ilikuaje?

Miaka yote ya Ndoa Yusufu alikua anapiga tu punyeto ili mkewe aendelee kua bikira ama inakuaje?

Kama ndio hivyo basi ndoa ya Yusufu ni mojawapo ya ndoa ya mateso kuliko ndoa zote Duniani, imagine kama aliishi miaka 90, miaka yote anapiga tu punyeto.

Bikra maria hiyo ni sifa yake ya kuzaa kabla hajaingiliwa.
Wewe tunawezakukuita bikra lakini huwezi kuzaa bila kuingiliwa kwanza.

Ukiona unakereka kusikia bikra unawezamwita mama maria,wala sio kesi.
 
Siyo wote wanamfahamu Mama Bikira Maria, angalia unawapa taarifa watu wenye kuelewa nini kuhusu Mama wa Yesu.

Wakati mwingine mambo ya kiroho yaangaliwe deeply.
 
Tukio hili limetokea huko nchini Kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.

NB: Mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona [emoji2956][emoji2956]
Kwani Kanisa Katoliki siku hizi lina MACHO YA ROHONI?
 
Hakuna dini ya maana kama ukristo,ukristo ukiwa wa kifala basi dini zote zinakua hazina maana tena.
kwahio nikweli bikra kaonekana?na unaamini ndio yeye?ukiristo niujinga.hivi ushawahi kuona waislamu wanasema tumemuona Fulani?
 
Back
Top Bottom