Hapo nimeuliza swali unajibu kwa jazba,kama umeliwa huko usiniletee stress,mi sichezagi michezo ya bahati nasibuWewe naye ni tapeli ndo mmetumwa kutetea humu JF, acheni kutuibia
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMEKULA ZANGU MIA MBILI GAME ZA JANA UEFA,HAPA NIMEAMKA TAJIRI LEO,MZIGO UMETEMA FULL SHANGWE😀😀😀 MUHINDI NIMEMTIA DOLE LA JICHO LEO😉Wana JF kutokana na akili zangu ndogo nimekuwa sana najiuliza huu mchezo jinsi unavyoendeshwa kama maigizo vile,
Kwanza washindi wote huwa lazima simu zao zinapatikana,
Halafu Kwa sababu wanarusha live mtazame kajala Kama huwa anapiga ile simu, kingine kila mshindi huwa sio mshiriki wa mara ya Kwanza Lazima akiulizwa atasema kishacheza mara nyingi, Halafu atasema kuwa alishashinda elfu 50 na laki,
Kama mchezo ni bahati nasibu na inaendeshwa Kwa namba Kwanini hakuna namba mpya hata moja kushinda? Yaani mshiriki wa mara ya Kwanza tu,halafu tazama mtu anaepigiwa Simu itaita mara mbili kapokea, yaani Kama mtu kaambiwa shikilia simu tutakucall,
Jamani mimi bado sijaamini huu mchezo kabisa haujanishawishi, Nina hayo Tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa m1 walishawah shinda,,Dodoma,Dar nazan na ArushaAlaf washindi wa izo 50m hawajawai toka mkoa mmoja ni lazima atoke mkoa ambao hakuna mtu aliyewahi shinda hapo ndo huwa wananishangaza hawa biko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tatizo hata serikali imeingilia kati utasikia mkuu wa mkoa anatuambia eti ni fursa kwa hiyo wananchi waendelee kuucheza huo mchezo,,speaking from experience ...
hii michezo musijaribu kabisa kwani madhara yake ni makubwa mno, kwanza huleta umaskini, huchangia umaskini, na pia huweza kupelekea watu kupoteza hata maisha...na nk..
hio biko, au tatu mzuka etc kuna wizi mkubwa mnoo ambao wanao faidika ni wachache mno...
kwa ushauri wangu kama kweli hii inchi ni ya uadilifu na wapo kwa ajili ya maslahi ya umma washuke pale chini kwenye ile board ya bahat nasibu ichunguzwe kitaalamu uone jinsi formula kandamizi zinavyowa dhulumu wananchi kwa maslahi ya wachache...
wafute tu hio michezo, tutafute njia nyingine za kuwekeza...sasa hivi 80% ya wasio na ajira na wale wenye vijimishahara wanateteza fedha zao huko.
serikali adilifu ifanye ya fuatayo.
kwanza wa review software inatumika kwa tatu mzuka..na hizo biko..hapa sitaandika mno kuna mlolongo ambao najua kwa siasa zetu wakifuatilia watazifunga..
wachezeshaji wachunguzwe kwa kila kitu kuanzia mawasiliano yao maisha yao etc...
washindi wale wakuchaguliwa pia wachunguzwe..na kufuatiliwa...
kingine na cha mwisho... kwa wale wadadisi wapenda ku penetrate na kupiga huku ndo kwenye fursa..
Kwa hiyo kutokushinda kwako ndo serikali ipige marufuku na vip kama ungeshinda.???Mimi natoa rahi kwa serikali ipige marufuku hawa Jamaa ni wezi sana mimi nimepigwa sana pesa zangu lkn sijashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tatizo hata serikali imeingilia kati utasikia mkuu wa mkoa anatuambia eti ni fursa kwa hiyo wananchi waendelee kuucheza huo mchezo,,
Hapo jua TRA nao wanakula ela kubwa ya Kodi ndo maana.
Tako weweKwa hiyo kutokushinda kwako ndo serikali ipige marufuku na vip kama ungeshinda.???
Ni bora betting ambazo unacheza mwenyewe na Kuamua wapi unaweka pesa, Ila hii ya BIKO na Tatu mzuka ni wizi wa wazi kabisaHili naona ni tatizo la Dunia wadau maana hizi kampuni hazipo Tanzania tu.
Ni Dunia nzima,Nchi zilizoendelea kama UINGEREZA,marekani na zingine nyingi ndo kuna makampuni mengi zaidi.
Hata Africa mataifa kama SOUTH AFRICA na NIGERIA ndo yanaongoza kuwa na hizi kampuni za betting.
Nafikiri ni upepo ndo unaelekea huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo atashinda kwa siri pia!Wife nimemzuia kucheza lakini anacheza Kwa Siri, Mimi siwezi kucheza kitu hiki,
Sent using Jamii Forums mobile app