BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

Hawachezeshi mwangani huwa wana mshindi tayari! Kipindi chenyewe Recorded hatuonyeshwi mshindi anavyopatikana na hawaelezi Lini namba yako inachezeshwa yaani uweumenunua Mara ngapi. Biko Magumashi kama walivyo watangazaji wake
 
Wao ni wahitaji wa fedha kama wewe kwa wiki wagawe shs 100000000 faida gani wanyopata jiongeze lakini kila siku benk zote wanaonyesha mshindi akikabidhiwa noti za shs 5000 kuna siku uliwahiona wana noti ya shs 10000 tizama picha ile ni show money wakimaliza wanatia ndani ya beg wanahama mkoa ni wapiga diri harari fumbuka
 
Nimekuwa nikicheza sana BIKO, nimetumia zaidi ya laki tatu sishindi, nimekuwa nikicheza kila baada ya robo saa au kila nikikumbuka nacheza. Lakini sijawahi kushinda hata hiyo milioni Moja. Naomba kufahamu kama kuna mtu aliwahi kushinda millioni Moja BIKO?
TAZAMA HAPA nikacheza elfu kumi, ila katika muda Huo huo niliocheza nikashinda elfu ishirini bado ile hela Yangu ikiendelea kucheza katikati round hiyo wakasema bado mshindi Mmoja nishinde millioni moja, ikaendelea kucheza kucheza hiyo hiyo elfu kumi Yangu nilo cheza, cha ajabu nikashinda elfu 50,000 badala ya 1 million.

KWANINI Baada ya kushinda 20,000 waliniambia bado mtu 1 nishinde 1 million then ile ile elfu kumi Yangu ilipokuwa inaendelea kucheza nilishinda 50,000 badala ya 1 million?


Naomba kufahamu mtu anaposhinda 5,000, 10,000, 20,000, 50,000, 1,000,000 na hiyo 50,000,000 ni vigezo gani huwa mnatumia kuupata huo ushindi??????


KINGINE, huo muda mnatafuta mshindi huwa ni live au huwa ni recorded mnatudanganya mnatafuta mshindi?!! Mnatafuta mshindi muda mchache huo?!! HIYO HUWA NI RECORDED NA SIO MUDA HUO HUWA MNAMTAFUTA NA KUMPIGIA MSHINDI.


OMBI LANGU KWA SERIKALI.

Naomba kampuni inayochezesha huu mchezo, hizo hela wanazozikusanya kutokana na watu kucheza asilimia 90% zitumike kuwa zawadia kwa wanaocheza na kushinda,

Hii kampuni ionyeshe jinsi inavyopata washindi na vigezo vya kushinda

Pia walipe Kodi kutokana na makusanyo wanayokusanya na sio kujitajirisha wao kwa kukusanya hela kwetu kwa njia zisizoeleweka vyema
Hii ni bahati nasibu, wewe huna bahati.
 
Nimekuwa nikicheza sana BIKO, nimetumia zaidi ya laki tatu sishindi, nimekuwa nikicheza kila baada ya robo saa au kila nikikumbuka nacheza. Lakini sijawahi kushinda hata hiyo milioni Moja. Naomba kufahamu kama kuna mtu aliwahi kushinda millioni Moja BIKO?
TAZAMA HAPA nikacheza elfu kumi, ila katika muda Huo huo niliocheza nikashinda elfu ishirini bado ile hela Yangu ikiendelea kucheza katikati round hiyo wakasema bado mshindi Mmoja nishinde millioni moja, ikaendelea kucheza kucheza hiyo hiyo elfu kumi Yangu nilo cheza, cha ajabu nikashinda elfu 50,000 badala ya 1 million.

KWANINI Baada ya kushinda 20,000 waliniambia bado mtu 1 nishinde 1 million then ile ile elfu kumi Yangu ilipokuwa inaendelea kucheza nilishinda 50,000 badala ya 1 million?


Naomba kufahamu mtu anaposhinda 5,000, 10,000, 20,000, 50,000, 1,000,000 na hiyo 50,000,000 ni vigezo gani huwa mnatumia kuupata huo ushindi??????


KINGINE, huo muda mnatafuta mshindi huwa ni live au huwa ni recorded mnatudanganya mnatafuta mshindi?!! Mnatafuta mshindi muda mchache huo?!! HIYO HUWA NI RECORDED NA SIO MUDA HUO HUWA MNAMTAFUTA NA KUMPIGIA MSHINDI.


OMBI LANGU KWA SERIKALI.

Naomba kampuni inayochezesha huu mchezo, hizo hela wanazozikusanya kutokana na watu kucheza asilimia 90% zitumike kuwa zawadia kwa wanaocheza na kushinda,

Hii kampuni ionyeshe jinsi inavyopata washindi na vigezo vya kushinda

Pia walipe Kodi kutokana na makusanyo wanayokusanya na sio kujitajirisha wao kwa kukusanya hela kwetu kwa njia zisizoeleweka vyema

Mkuu unaelewa maana ya bahati na sibu?


Hao biko wamekuja kutafuta Pesa sio kugawa pesa
 
Nimekuwa nikicheza sana BIKO, nimetumia zaidi ya laki tatu sishindi, nimekuwa nikicheza kila baada ya robo saa au kila nikikumbuka nacheza. Lakini sijawahi kushinda hata hiyo milioni Moja. Naomba kufahamu kama kuna mtu aliwahi kushinda millioni Moja BIKO?
TAZAMA HAPA nikacheza elfu kumi, ila katika muda Huo huo niliocheza nikashinda elfu ishirini bado ile hela Yangu ikiendelea kucheza katikati round hiyo wakasema bado mshindi Mmoja nishinde millioni moja, ikaendelea kucheza kucheza hiyo hiyo elfu kumi Yangu nilo cheza, cha ajabu nikashinda elfu 50,000 badala ya 1 million.

KWANINI Baada ya kushinda 20,000 waliniambia bado mtu 1 nishinde 1 million then ile ile elfu kumi Yangu ilipokuwa inaendelea kucheza nilishinda 50,000 badala ya 1 million?


Naomba kufahamu mtu anaposhinda 5,000, 10,000, 20,000, 50,000, 1,000,000 na hiyo 50,000,000 ni vigezo gani huwa mnatumia kuupata huo ushindi??????


KINGINE, huo muda mnatafuta mshindi huwa ni live au huwa ni recorded mnatudanganya mnatafuta mshindi?!! Mnatafuta mshindi muda mchache huo?!! HIYO HUWA NI RECORDED NA SIO MUDA HUO HUWA MNAMTAFUTA NA KUMPIGIA MSHINDI.


OMBI LANGU KWA SERIKALI.

Naomba kampuni inayochezesha huu mchezo, hizo hela wanazozikusanya kutokana na watu kucheza asilimia 90% zitumike kuwa zawadia kwa wanaocheza na kushinda,

Hii kampuni ionyeshe jinsi inavyopata washindi na vigezo vya kushinda

Pia walipe Kodi kutokana na makusanyo wanayokusanya na sio kujitajirisha wao kwa kukusanya hela kwetu kwa njia zisizoeleweka vyema
Hivi mkuu huna njia halali ya kupatia fedha mpaka ucheze Biko au hata Tatu Mzuka?Jamani hao watu ni wapigaji tu,hivi WaTz tukoje?Mbona tunapenda dezo sana.Kwanza kwa mtu mwenye akili timamu kitu kama Tatu Mzuka,jina tu is enough to frighten you.The name is so demonic.
 
Nimekuwa nikicheza sana BIKO, nimetumia zaidi ya laki tatu sishindi, nimekuwa nikicheza kila baada ya robo saa au kila nikikumbuka nacheza. Lakini sijawahi kushinda hata hiyo milioni Moja. Naomba kufahamu kama kuna mtu aliwahi kushinda millioni Moja BIKO?
TAZAMA HAPA nikacheza elfu kumi, ila katika muda Huo huo niliocheza nikashinda elfu ishirini bado ile hela Yangu ikiendelea kucheza katikati round hiyo wakasema bado mshindi Mmoja nishinde millioni moja, ikaendelea kucheza kucheza hiyo hiyo elfu kumi Yangu nilo cheza, cha ajabu nikashinda elfu 50,000 badala ya 1 million.

KWANINI Baada ya kushinda 20,000 waliniambia bado mtu 1 nishinde 1 million then ile ile elfu kumi Yangu ilipokuwa inaendelea kucheza nilishinda 50,000 badala ya 1 million?


Naomba kufahamu mtu anaposhinda 5,000, 10,000, 20,000, 50,000, 1,000,000 na hiyo 50,000,000 ni vigezo gani huwa mnatumia kuupata huo ushindi??????


KINGINE, huo muda mnatafuta mshindi huwa ni live au huwa ni recorded mnatudanganya mnatafuta mshindi?!! Mnatafuta mshindi muda mchache huo?!! HIYO HUWA NI RECORDED NA SIO MUDA HUO HUWA MNAMTAFUTA NA KUMPIGIA MSHINDI.


OMBI LANGU KWA SERIKALI.

Naomba kampuni inayochezesha huu mchezo, hizo hela wanazozikusanya kutokana na watu kucheza asilimia 90% zitumike kuwa zawadia kwa wanaocheza na kushinda,

Hii kampuni ionyeshe jinsi inavyopata washindi na vigezo vya kushinda

Pia walipe Kodi kutokana na makusanyo wanayokusanya na sio kujitajirisha wao kwa kukusanya hela kwetu kwa njia zisizoeleweka vyema
Ipo hivi manake mm nilisha wafata inbox kule Instagram nkawauliza maswali kadhaa ila mm langu kubwa lililenga kujua mshindi Wa million 50 anapatikana kwa wingi Wa tiketi ama nn walichonijib ni kwamba uanaponunua tiketi ndo unaweza kubahatisha ukakuta umenunua tiketi ya Million 50 na sio kwamba inachezeshwa hapana zile namba pale znakua zmeshasetiwa kitambo ndo maana hata kajala huwa ajeuki kuzikopi upo hapo,, ila sms zao znatia moyo sana
 
Dah wamekuvuta taratibu mwisho wamekula kichwa!

Pole sana mkuu
 
Angalao wale TATUMZUKA wana uhakika zaidi, maana majibu ni hapo hapo na namba za ushindi ni random. Yeyote anaweza kushinda.
 
Ndio maana ya BAHATI NASIBU ndugu. Gharama uliyotumia sio ndio inayodetermine ushindi. Yule dogo aliyeshinda wiki 2 zilizopita alitumia buku 2 tu.
 
Back
Top Bottom