Bila connection hupati kazi

Bila connection hupati kazi

Oyiiii nimewai mfundisha mtu kazi TANESCO ten alikuwa hajui hata kushika mouth ya computer nimemuelekeza kila kitu jamaa alikuwa msoma mita mm shule nimekwenda na Kaz nafanya vzr San wale vijana nilowaelekeza bila kinyonga huku boss akiniahid kuwa atafanya mpango nibaki pale kipindi kile hakukuwa na mambo ya interview za tume

Siku Moja wale vijana wamesha juwa Kaz kila kitu nashanga wakaletewa cheque namba kutoka makao makuu taayari wameajiriwa kipind hcho feliscni mramba ndio director mkuu wa tanesco yetu ..jmn baada ya muda nikaambiwa niondoke kwani Kaz ninayo fanya hapo wamepatikana watu wakufanya nilihudhunishwa sana Kisha nikarudi kijij kupambana na msoto na msongo wa mawazo

Nalaani hicho kitendo mkp leo na siajwai kanyaga tanesco mpk dakika hii nikiwa na shida namtuma mtu

Ila mungu akanipigani kipata kibarua sehemu fln ila Ni baada ya msoto mrefu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Pole sana kiongozi, maisha yana mapito mengi
 
Kwa nini maisha yamefikia hali hii ?
Kwa sababu ya nafasi chache za ajira 'rasmi' zisizoendana na ongezeko la watu.

Ukuaji wa kiuchumi usiokwenda sambamba na maendeleo ya kiuchumi ngazi za chini.

Sera ngumu za kiuchumi mfano utitiri wa Kodi (japo Kodi ni muhimu), urasimu usio na lazima unaominya mitaji midogo na kuzorotesha ajira zisizo rasmi.
 
Miaka yetu tulimaliza chuo na kuingia kazini. Ila sasa hivi waalimu kibao mtaani hawana ajira
.
Ooh hiyo ni hali ya mapito tu hali hii si mala ya kwanza Tz kutokea hata kipindi cha utawala wa mkapa walimu walihitimu vyuo waakaa mtaani sana tu JK ndie akaja okowa jahazi

Serikali ikiamua wachukua hao walimu ni miaka miwili tu wanaisha wote
 
Nimekupata
Pesa ina nguvu ila sio kila mahali bruh mtu hana character wala uwezo ila unamkuta kapewa kitengo na uwezo wa pesa anao ila hajatoa kitu ni KoNneCtion tu 😃
Character huwa zinawatoa walipo wekwa au ku stuck sehemu flani milele na milele, achana na kitu kinaitwa rank, kuna sehemu kubebwa hakubebeki tena inabaki character tu ndio mtetezi wako
 
Me wakati nachapa lapa kusaka ajira nikakutana na kauli mbiu yako toa hela tukupe kazi nikasema mshahara wangu wa kwanza nitatoa asilimia kadhaa Kama ahsante jamaa akachomoa anataka hela fasta pumbavuu saiv nafuga zangu kuku utajiri nje nje[emoji2][emoji2]
Uamuzi mujarabu kabisa ulichukua nakupaje hela bila kazi, huyo alikuwa mbwekaji
 
Oyiiii nimewai mfundisha mtu kazi TANESCO ten alikuwa hajui hata kushika mouth ya computer nimemuelekeza kila kitu jamaa alikuwa msoma mita mm shule nimekwenda na Kaz nafanya vzr San wale vijana nilowaelekeza bila kinyonga huku boss akiniahid kuwa atafanya mpango nibaki pale kipindi kile hakukuwa na mambo ya interview za tume

Siku Moja wale vijana wamesha juwa Kaz kila kitu nashanga wakaletewa cheque namba kutoka makao makuu taayari wameajiriwa kipind hcho feliscni mramba ndio director mkuu wa tanesco yetu ..jmn baada ya muda nikaambiwa niondoke kwani Kaz ninayo fanya hapo wamepatikana watu wakufanya nilihudhunishwa sana Kisha nikarudi kijij kupambana na msoto na msongo wa mawazo

Nalaani hicho kitendo mkp leo na siajwai kanyaga tanesco mpk dakika hii nikiwa na shida namtuma mtu

Ila mungu akanipigani kipata kibarua sehemu fln ila Ni baada ya msoto mrefu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
𝐏𝐨𝐥𝐞 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐢𝐤𝐨 𝐡𝐢𝐯𝐢?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi nawasalim,

Katika vitu nimejifunza tujitahidi sana kama vijana kufanya kazi kwa bidii huku tukiwaandalia watoto wetu mazingira mazuri ya biashara, kama umemsomesha aje kuajiriwa basi fanya juu chini tengenza connection.

Vijana wengi baada ya kumaliza vyuo na kutofanikiwa kupata ajira permanent huamua kujitolea katika taasisi mbalimbali za serikali wengine kwa juhudi nidham na weledi wanaouonesha kazini hupandishwa hadi vyeo, changamoto kubwa inayowapata hawa watu ni kutokuwa na mzizi wenye connection nini namanisha ni hivi.

Unamkuta huyo mtu ni mtu mwenye cheo katika taasisi kutokana na uimara wake nidham na weledi inatokea serikali kupitia utumishi wanatangazi nafasi za kazi katika hiyo taasisi.

Kijana anaomba nafasi hiyo pamoja na wengine wanaitwa kwenye udahili kijana anajikuta hajapita au kuchaguliwa kwenye udahili anachaguliwa mtu mwingine kabisa anapata ile nafasi kijana anarudi kwenye nafasi yake ya kujitolea na kauongozi alikoteuliwa.

Waajiriwa wapya wanaripoti kazini na anapangiwa kwenye kitengo aliyopo yule kijana anaejitolea ambae hakuchaguliwa kijana anae jitolea anapewa majukumu ya kumfundisha kazi muajiriwa mpya na kumpa uzoefu wa kazi ambayo yeye aliiomba na hakuchaguliwa kwa kuambiwa hana vigezo hajafaulu interview (DUNIA HAIKO FAIR)

Kijana anaejitolea anafundisha kazi muajiriwa mpya na kumsimamia katika kazi.

Huyu kijana anaejitolea maumivu anayoyapata ni sawa na kumwagiwa pilipili na chumvi kwenye kidonda kibichi.

Kama mdau nashauri wazazi tuwatengenezee vinana connection wanafanya vizuri lakini hawapati nafasi.
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐜𝐡𝐨𝐤𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐬𝐢𝐨 𝐤𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐚𝐬𝐞𝐞!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom