Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Kwa hiyo mama akisifiwa kwa mazuri unateseka Sana jamaa yaani unatamani ashindwe? πŸ˜€πŸ˜€

Utakufa kwa pressure wewe ,tafuta hela.
 
Mnatumia nguvu Sana kueneza 'sifa' uchwara...
 
Sawa kati
Ok sawa...katika kiasi hicho kilichokusanywa mapato kutoka tozo za miamala ni sh. Ngapi na mapato mengine yote ni sh. Ngapi? Aidha mapato ya tozo ya nyumba kupitia luku ni sh. ngapi? Msituone wote mabwege kwa figure 'uchwara'...
 
That's how you do it, sio kunyang'anya watu pesa zao na ubabe usio na msingi
 
Nguvu zilitumika kwa Mwendazake saizi ni namba tuu zinaongea bila propaganda πŸ‘‡

View attachment 1962816

View attachment 1962817

View attachment 1962818

View attachment 1962819
Hiyo ndiyo nguvu kubwa inayotumika ....hahahaha unadhani huyo unayemwita mwendazake (pengine wewe hutakufa labda utaishi milele) angeweka takwimu Kama hizo Mambo yangekuwaje...na unadhani Kama kungekuwa na mapato ya too za miamala mapato yangekuwaje...kilichopo sasa ni kuwa ukwepaji Kodi unaongezeka na figure za sasa zinazotolewa zikijumuisha mapato ya tozo zinafunika athari za ukwepaji Kodi...
 
Hana Takwimu za kuweka,kama wewe unazo ziweke hapa
 
Hana Takwimu za kuweka,kama wewe unazo ziweke hapa
Jibu hoja kwamba figure za Sasa zinajumuisha mapato ya miamala...mkitaka suala hili lise wazi weka hapa mapato ya miamala na mapato mengine hapo ndipo utajua mapato halisi bila miamala ni sh. Ngapi...
JPM was a genius there is no doubt about it...kwa namna unavyomkejeli bila Shaka wewe ni mkwepa Kodi na una business na ambayo hulipi Kodi..
Mapato ya Sasa bila miamala ni aibu tupu...
 
Upuuzi
 
 
Hana Takwimu za kuweka,kama wewe unazo ziweke hapa
Jibu hoja wewe mkwepa Kodi...katika mapato yaliyokusanywa mapato ya tozo za miamala na Kodi za nyumba kupitia luku ni sh. Ngapi na mapato mengine sh. Ngapi? Hapana shaka figures za mapato mengine zitakuwa ni aibu kubwa....wakwepaji Kodi wanaongezeka sasa..


Ninavyoandika message nipo gizani...umeme umekatika for three hours..enzi za unayemwita mwendazake ilikuwa ni nadra umeme kukatika....nadhani nyie wakwepa mnajiandaa kuleta majenereta...bidhaa zinapanda inflation ni juu...
Unabisha??
 
mpaka sasa ni wafanya biashara wangapi ambao washarudi mpaka kupelekea makusanyo hayo kupatikana
 
Mara nyingi huwa sipendi kuhangaika na wajinga,ningekupuuza ila nakusaidia kwa jibu rahisi TRA hakusanyi tozo,mumejibiwa mara nyingi Sana humu na ushahidi juu ila vichwa vina makamasi.
 
Kenge nyie hakuna mnachojua..tufanye miamala ipo kama unavyotaka,ehee kwa hiyo unasemaje sasa maana tayari mapato ni makubwa kuliko kipindi kama hicho under Mwendazake..

Genius alikuwa anapora fedha za wafanyabiashara na kuuzia machinga makaratasi feki eti kitambulidho πŸ˜†πŸ˜†
 
Mara nyingi huwa sipendi kuhangaika na wajinga,ningekupuuza ila nakusaidia kwa jibu rahisi TRA hakusanyi tozo,mumejibiwa mara nyingi Sana humu na ushahidi juu ila vichwa vina makamasi.
Ohoho Mimi ni mjinga...sawa...ila wewe ni mjinga, mshenzi na mpumbavu pamoja...Kama unataka ufafanuzi wa concepts hizi Niko tayari
 
Ohoho Mimi ni mjinga...sawa...ila wewe ni mjinga, mshenzi na mpumbavu pamoja...Kama unataka ufafanuzi wa concepts hizi Niko tayari
Wewe ni mpumbavu,concepts gani? Hakuna tozo zinaenda TRA..

Fafanua basi hizo concepts tukuone ukianza na mchanganuo huu hapa chini πŸ‘‡

 
Duh...
Wewe ni mpumbavu,concepts gani? Hakuna tozo zinaenda TRA..

Fafanua basi hizo concepts tukuone ukianza na mchanganuo huu hapa chini πŸ‘‡

View attachment 1962880
Aisee wewe kweli ni a certified stupid and idiot...sasa concepts gani ulizoweka hapa..tulikuwa tunajadili Nini na wewe umeweka Nini hapa...stupid guy...
 
Duh...
Aisee wewe kweli ni a certified stupid and idiot...sasa concepts gani ulizoweka hapa..tulikuwa tunajadili Nini na wewe umeweka Nini hapa...stupid guy...
Kenge wewe hujui kitu unatapa tapa tuu,weka hicho ulichoita concepts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…