Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki


magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo


Kimberembere kibaya Sana

Chawa kama chawa
Nafurahia kodi hizo kwa sababu SOTE KWA PAMOJA TUNAZILIPA na si wachache wagandamiziwe mzigo wote kisa ni mfanyabiashara YULE JAMAA alinyanganya alidhulumu alitweza watu wengi walifariki matajiri walifululiza kufariki wengine tukidangaywa ni wamekufa kwa malove.EXCELENT WORK OUR PRESIDENT #SSH MAY ALLAH BLESS YOU
 
Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki


magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo


Kimberembere kibaya Sana

Chawa kama chawa
Umesahau huko hakuna interest and penalties na fine za miaka 5 nyuma kutoka kwa wafanyabiashara.

Umesahau huko hakuna akaunti za benki kufungiwa na kuchukua fedha.

Huwa mnataka kina nani walipe kodi?
 
Nafurahia kodi hizo kwa sababu SOTE KWA PAMOJA TUNAZILIPA na si wachache wagandamiziwe mzigo wote kisa ni mfanyabiashara YULE JAMAA alinyanganya alidhulumu alitweza watu wengi walifariki matajiri walifululiza kufariki wengine tukidangaywa ni wamekufa kwa malove.EXCELENT WORK OUR PRESIDENT #SSH MAY ALLAH BLESS YOU
Umewasema mkapa kikwete na magufuli harafu unaanza tena mambo ya Yule jamaa
Yule jamaa ndiyo nani kama siyo unafikitu
 
Nafurahia kodi hizo kwa sababu SOTE KWA PAMOJA TUNAZILIPA na si wachache wagandamiziwe mzigo wote kisa ni mfanyabiashara YULE JAMAA alinyanganya alidhulumu alitweza watu wengi walifariki matajiri walifululiza kufariki wengine tukidangaywa ni wamekufa kwa malove.EXCELENT WORK OUR PRESIDENT #SSH MAY ALLAH BLESS YOU
Ndio kama kuumia tunaumia wote na tunafurahia wote that's excellent,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Nafurahia kodi hizo kwa sababu SOTE KWA PAMOJA TUNAZILIPA na si wachache wagandamiziwe mzigo wote kisa ni mfanyabiashara YULE JAMAA alinyanganya alidhulumu alitweza watu wengi walifariki matajiri walifululiza kufariki wengine tukidangaywa ni wamekufa kwa malove.EXCELENT WORK OUR PRESIDENT #SSH MAY ALLAH BLESS YOU
Wanyonge wanataka kusikia kodi inatoka kwa kundi fulani la watu tu. STUPIDO.
 
MKUU WANGU TOZO SIO KODI,

TUNAPOZUNGUMZIA KODI NI ILE INAYOLIPWA KWA TAX IDENTIFICATION NUMBER ( TIN )


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki


magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo


Kimberembere kibaya Sana

Chawa kama chawa
 

Serikali yakusanya kodi Sh1.9 trilioni Septemba
SATURDAY OCTOBER 02 2021


Summary

Serikali imesema imekusanya kodi ya Sh1.9 trilioni kwa kipindi cha Septemba mwaka huu ikiwa ni sawa na asilimia 93.

Morogoro. Serikali imesema imekusanya kodi ya Sh1.9 trilioni kwa kipindi cha Septemba mwaka huu ikiwa ni sawa na asilimia 93.

Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumamosi, Oktoba 2, 2021 Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema makusanyo hayo ni makubwa kulinganisha na kipindi kama hicho mwaka 2020.

“Tuliweka malengo ya kukusanya Sh2.1trilioni, ukusanyaji huu ni mkubwa ukilinganisha na mwaka jana kipindi kama hiki tulikusanya Sh1.7 trilioni ambazo ni sawa na asilimia 80 ya malengo tuliyojiwekea ya kukusanya Sh2.2 trilioni” amesema Msigwa.
Tozo imo au?
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
Kwa spidi hii muda si mrefu tutafikia kukusanya trilion 2.5 kwa mwezi. Mipango ya kiuchumi ya serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia inatoa fursa mzuri kwa wajasiria Mali wakubwa kwa wadogo,wakulima n.k
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
Tafadhali san weka source ya taarifa yako ili twende sawa!
 
Unapenda sana kubishana Mkuu,
Mifumo gani inayombeba Rais Samia leo?
Rekodi zinaonesha wafanyabiashara walikimbia sasa kukimbia ndio mfumo wa kumfanya Rais Samia avunje rekodi hizi?
Jifunze jufikiri Kizalendo mkuu wangu,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Katika mapato ni rahisi kukusanya kazi ni katika matumizi. Jaffo alionekana hafai kwa suala zima la matumizi na hata Ummy nae anaonekana kashindwa. Mapato kuna control numbers ambazo ni rahisi kuzifuatilia tofauti na matumizi.
Nakubaliana nawewe maDED lazima wawe ni watu wenye uzalendo sana kwa nchi yao na Mungu wao,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Back
Top Bottom