Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Nime jaribu kutafakari kwa kina juu ya maongezeko haya maana maongezeko ya tanzania miaka baada ya miaka yamekuwa ni makubwa sana let say kuanzia kwa mkapa JE MAONGEZEKO HAYA HAYANA TAFSIRI YA KWAMBA NI SHILINGI YETU NDIYO INAYODONDOKA AU INA LOOSE PURCHASING POWER? EBU WADAU NISAIDIENI HAPA
 
Kumbe inawezekana kukusanya kodi bila vitisho, kufunga watu, kukwapua hela kwenye accounts za wafanyabiashara na kubambikia watu kodi za hovyohovyo na uongo!! Kazi na iendelee....
1633242460550.jpeg
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
Wewe CM 1774858 nitakupa nishani ya Uzalendo,
Unaleta maneno ya faraja sana kwa Taifa,

Mimi na Samia damu damu

Kazi iendelee
 
Umesahau huko hakuna interest and penalties na fine za miaka 5 nyuma kutoka kwa wafanyabiashara.

Umesahau huko hakuna akaunti za benki kufungiwa na kuchukua fedha.

Huwa mnataka kina nani walipe kodi?
Anasahau kuwa tozo mara nyingi ni indirect haina maumivu ya moja kwa moja ya mfanyabiashara kuonana uso kwa uso na mtu wa TRA. Anasahu unyama mwingi tu wamefanyiwa mpaka wakalazimika kufunga biashara zao.
 
Ni kama vile kipindi kile tulivyoanza kumtengenezea mazingira Lisu mara oh atahutubia umoja wa ulaya, mara atahutubia un mara atafungua case katika mahakama ya kimataifa dhidi ya Magufuli nk. Lkn cha kushangaza uchaguzi mkuu wa 2020 ulipofika Lisu mwenyewe aliangukia pua. Yani propaganda zetu zote na uongo tuliotengeneza havikusaidia kuwashawishi wananchi wampigie kura. Hii ndo Tanzania ndugu.
🚮🚮🚮 Achana na vichaa
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & nguvu zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007


umekaa na familia yako wewe kama baba unaingiza laki kwa mwezi

ukawaambia wwna familia wako 5 kuanzia leo kila mmoja alete elfu ishirini

wanafamilia wakakubali

kwa mwezi sasa mnaingiza Tsh laki mbili


halafu jirani anamsifia baba yako kuleta kipato cha laki 2 kwa mwezi!!

unajua katoka magoli mengi ya baba yako yaliyoenda chooni, na mimba nyingi ambazo mama yako alizitoa..ikawaje ukazaliwa wewe? ni laana ya matendo ya wazazi au? si kwa akili hizi
 
Mwacheni Magufuli apumzike uongozi wake bado wakumfikia msimlinganishe, fanyeni yenu, pia kipindi chake hizo tozo tunazokamuliwa mpaka damu hazikuwepo.
 
T
Anasahau kuwa tozo mara nyingi ni indirect haina maumivu ya moja kwa moja ya mfanyabiashara kuonana uso kwa uso na mtu wa TRA. Anasahu unyama mwingi tu wamefanyiwa mpaka wakalazimika kufunga biashara zao.
Tena bora huku tanzania uko Ulaya mnakosema kuna uhuru,ukikutwa umekwepa kodi,unafirisiwa na kufungwa kabisa.Sio kufungiwa biashara tu.
 
Back
Top Bottom