Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalaana wewe sio bure,umekaa na familia yako wewe kama baba unaingiza laki kwa mwezi
ukawaambia wwna familia wako 5 kuanzia leo kila mmoja alete elfu ishirini
wanafamilia wakakubali
kwa mwezi sasa mnaingiza Tsh laki mbili
halafu jirani anamsifia baba yako kuleta kipato cha laki 2 kwa mwezi!!
unajua katoka magoli mengi ya baba yako yaliyoenda chooni, na mimba nyingi ambazo mama yako alizitoa..ikawaje ukazaliwa wewe? ni laana ya matendo ya wazazi au? si kwa akili hizi
Machadema majinga sana, tozo ni kodi?🚮🚮🚮hapo ukitoa kodi za dhuluma na tozo tunazotozwa ni aibu tupu, ni bora mngekaa kimya tu kuliko kujisifia ujinga wa kuwakandamiza wananchi wenu
Unataka kusema ndani ya miezi hii michache wafanya biashara waliokimbia wameweza kurudi na kufanya biashara na kusimama imara hadi kufikia kiwango cha kulipa kodi kikamilifu!? Kuwa na akili basi ata kidogo.Unapenda sana kubishana Mkuu,
Mifumo gani inayombeba Rais Samia leo?
Rekodi zinaonesha wafanyabiashara walikimbia sasa kukimbia ndio mfumo wa kumfanya Rais Samia avunje rekodi hizi?
Jifunze jufikiri Kizalendo mkuu wangu,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Yaambie Machadema malalamishi,T
Tena bora huku tanzania uko Ulaya mnakosema kuna uhuru,ukikutwa umekwepa kodi,unafirisiwa na kufungwa kabisa.Sio kufungiwa biashara tu.
uchichimame wala uchikae,uchimun'gunye wala uchitemeAWAMU YA TANO MOTO MKALI,
UKIKIMBIA NCHALE,UKISIMAMA NCHALE, UKIKAA NCHALE
KWELI SAMIA NI LEVEL ZINGINE,
SAMIA KURA YANGU CHUKUA 2025
wamesahau Tozo ,,wamesahau kwamba kunatozo ya sh 100 kwa kila litre ya mafuta iliyoongezwa..Lakini wanasahau magufuri aliweka mfumo wa kulipia electronically ambapo sasa wanaimarisha kidogo na hera yote unaionaMiamala na tozo za ktk umeme, hata mie ningekusanya hizo, tena zaidi maana ningeziba magepu ya ufisadi na upigaji...
Tozo za mafuta,,nahizi zote zimo angalia report ya benki kuuTozo imo au?
Hakika tutafika huko,Kwa spidi hii muda si mrefu tutafikia kukusanya trilion 2.5 kwa mwezi. Mipango ya kiuchumi ya serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia inatoa fursa mzuri kwa wajasiria Mali wakubwa kwa wadogo,wakulima n.k
Too bad. Ookey.Kosa la kiuandishi Mkuu
we ni punguani ndo maana wajiita kichaaMachadema majinga sana, tozo ni kodi?
Hiyo afadhali umeipimaje?wananchi wanalia wewe unaleta upumbavu wako hapa,wewe jitu jinga sanaHizo zina afadhali kulinganisha na ule unyama wa task force.
Tukamuulize Magu aliyesema TZ ni "Dona cantri" na akashindwa kutoa hata ajira 1000 katika miaka 5Kama haya ndo.mapato kwanini vijana hawajiliwi?
Ajira zinatangazwa , nadhani unasikia.Kama haya ndo.mapato kwanini vijana hawajiliwi?
Tozo za mafuta,,nahizi zote zimo angalia report ya benki kuu
Nani analia na analia kwa lipi Mkuu,Hiyo afadhali umeipimaje?wananchi wanalia wewe unaleta upumbavu wako hapa,wewe jitu jinga sana
Tozo haimo.Tozo imo au?