Huyu Mama ni Mpango wa Mungu,
Nimnyenyekevu na mpole sana,
Hana majigambo kabisa,
Mungu akulinde Rais wetu
Watanzania tunakupenda sana,
Miamala na tozo za ktk umeme, hata mie ningekusanya hizo, tena zaidi maana ningeziba magepu ya ufisadi na upi
Kwakweli uongozi wa kikatili namna ile na asiwepo hata wa kufikia hata theluthi yake tu.Mwacheni Magufuli apumzike uongozi wake bado wakumfikia msimlinganishe, fanyeni yenu, pia kipindi chake hizo tozo tunazokamuliwa mpaka damu hazikuwepo.
Swali fikirishiMbona mapema sana kuanza kampeni za urais, vipi hamna uhakika na mama enu kwamba atatoboa?
Kitu ambacho hujui ni kuwa kodi nyingi hukadiriwa na hugawanywa kwa robo mwaka. Ja- march, April_ June, July- Sept, na Oct- Dec. Kwa hiyo miezi ambayo kodi huwa juu ni March , June , Sept, na Dec. Kupata kiwango kikubwa Sept haina maana uchumi umekuwa sana na kodi hiyo ndiyo wastani wa makusanyo kwa mwezi.Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,
==================================
yaani haujaona aibu kujibu ile post?? ndio nyie mnatembea na mama zenuz laanifuUnalaana wewe sio bure,
Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu,
Mama atawaua kwa presha msipokuwa makini,🚮🚮🚮
NEC haiwezi kumtangaza mtu ambae hakuchaguliwa na wananchi. Ngoja nikupe orodha ya NEC inavyotangaza wale waliochaguliwa na wananchi... Mwaka 2005 Lisu, dr Slaa, Zito na wengine wengi wa upinzani walichaguliwa na wananchi kuwa wabunge wao. NEC ikawatangaza, mwaka 2010 Mbowe, Lisu, Zito nk walichaguliwa na wananchi NEC ikawatangaza, mwaka 2015 hivyo hivyo Mbowe, Lisu, Sugu, Zito, Pro Jay nk walichaguliwa na wananchi NEC ikawatangaza, mwaka. 2020 wagombea wao walikuwa wabovu akiwemo mwenyekiti wao Mbowe ambae alizomewa na kutupiwa chupa za maji na wapiga kura wake kule Hai.Srma haikusaidia kuwashawishi NEC kumtangaza
Karibu mkuu.Asante mkuu kwa hii shule,
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Hata MAGUFULI MLISEMA CHAGUO LA MUNGUHuyu Mama ni Mpango wa Mungu,
Nimnyenyekevu na mpole sana,
Hana majigambo kabisa,
Mungu akulinde Rais wetu
Watanzania tunakupenda sana,
Huu ni ugonjwa mkubwa sana kwako kusifu makusanyo feki ya mapato wakati miradi mingi ya manufaa imesimamishwa, hakuna ununuzi mpya wa ndege, hakuna ujenzi mpya wa madaraja na miundo mbinu mingine ikiwemo stendi ya Magufuli kumalizia imekuwa shida, hakuna ujenzi mpya wa meli na ukarabati, wafanya biashara wanatoa risiti feki au kadirio la chini ya thamani halisi ya manunuzi.Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,
==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "
Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,
Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,
Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.
#Kazi iendelee kwa kasi & Weledi zaidi
Be blessed & Happy Sunday
=============================
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1961007
Mungu aende na Mama mpaka 2030 kwa ksihindo kikuu, kama alivyowahi kwenda na watu wanne waliosababisha kukimbia majeshi ya washami, maadui ambao nchi yao iliyokuwa na chakula tele wakati wa njaa kali. 2025-2030 NjIA ni SamIABila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,
==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "
Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,
Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,
Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.
#Kazi iendelee kwa kasi & Weledi zaidi
Be blessed & Happy Sunday
=============================
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1961007
Mama ni kiboko yao na hapo TRA wamelega Sana watu hawadai risiti na wafanyabiashara hawatoi risiti yaani makusanyo yangevuka malengo ya serikali..Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato |
Atashindana na nani?Mbona mapema sana kuanza kampeni za urais, vipi hamna uhakika na mama enu kwamba atatoboa?
Miradi gani iliyosimama? Miaka 6 yote kwa nini hamkumaliza hiyo miradi?Huu ni ugonjwa mkubwa sana kwako kusifu makusanyo feki ya mapato wakati miradi mingi ya manufaa imesimamishwa, hakuna ununuzi mpya wa ndege, hakuna ujenzi mpya wa madaraja na miundo mbinu mingine ikiwemo stendi ya Magufuli kumalizia imekuwa shida, hakuna ujenzi mpya wa meli na ukarabati, wafanya biashara wanatoa risiti feki au kadirio la chini ya thamani halisi ya manunuzi.
Hapo inathibitisha kwamba wananchi wa kawaida ndio wajenzi wa uchumi bila kunufaika maana kodi zote zimeelekezwa kwao .
Kwa kifupi mapato yako zaidi ya hapo ila yalikoelekea haijulikani.
Haiwezekani mfanyabiashara anaandika risiti ya thamani ya chini na ukihoji anakwambia rudisha biadhaa yangu ukatafute atakaye kupa risiti ya thamani halisi.
Kwa kulinganisha na namba ulizoweka ilitarajiwa kuwianisha na kitu gani kifanyika kipya cha maana na kinaonekana kwa watu waone na kukiri kwamba ni kweli inastahili lakini hakuna lolote
*Sifa sifa sifa zisizo na tija kwa taifa na watu wake
Ipi hiyo mifumo? Maskini legacy inafunikwa 😅😅Mifumo aliyoiweka Magu ndio inafanikish hayo, huyu mama enu within 6 months hawezi kufikia level ya ukusanyaji huo.
RIP JPM
Hueleweki kitu we mburula tozo hazihusiki hapa..Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki
magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo
Kimberembere kibaya Sana
Chawa kama chawa