Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Kwa hiyo kutangaza mazuri ya mama wewe unateseka nini? [emoji13][emoji13]

Ukitaka yasitangazwe au? Jinga kabisa.

Tangaza mabaya basi ufurahi.
Tatizo sifia sifia nyie tukiwaruhusu mtakuja kuyafanya ya magufuli mlivyomuita Magufuli Muheshimiwa Mungu. Na Yule mkata viuno akamuita Yesu.
Sasa Nani jinga pro max chawa aliemuita Magu Yesu au mi nisiyetaka ma pro max mdemshe majimavutu yenyu

Sent from my Redmi 7A using JamiiForums mobile app
 
Humo humo kuna tozo za simu humo humo kuna tozo za Luku
Harafu unaleta unafiki


magufuli hakutoza hizo
Kikwete hakutoza hizo
Mkapa hakutoza hizo


Kimberembere kibaya Sana

Chawa kama chawa

Chawa mpya huyo
 
Tatizo sifia sifia nyie tukiwaruhusu mtakuja kuyafanya ya magufuli mlivyomuita Magufuli Muheshimiwa Mungu. Na Yule mkata viuno akamuita Yesu.
Sasa Nani jinga pro max chawa aliemuita Magu Yesu au mi nisiyetaka ma pro max mdemshe majimavutu yenyu

Sent from my Redmi 7A using JamiiForums mobile app
Huo ujinga ulizikwa Chato usituletee uchuro hapa.
 
Huku mfumuko wa bei (inflation ) ukiendelea kuwaaadhibu watanzania , nimeangalia september treasury bills za BOT watu wameacha hata kuzinunua sasa maana ni hasara tupu kwa jinsi inflation inavyopiga, yield 3.6 wakati inflation rate 3.8 maana yake unapoteza pesa, hakuna mtu anataka shilingi ya TZ wanunuzi wote na commercial banks wamekimbia, wanachapisha pesa bila uzalishaji wa maana na mikodi kibao, mafuriko ya pesa zisizo na thamani mtaaani yameanza sasa ndio maana wanaonekana wanakusanya sana
Ukiacha wengine wala yakhe..Ni hivi hao BoT bado wako kwenye mawazo ya kipindi cha mwendazake ambapo uchumi ulikuwa stagnant..

Sasa saizi uchumi unafunguka pesa inarudi mtaani wakiendelea kweka riba ndogo wakati inflation inatakiwa iongezeke Ili uchumi ufufuke itawamala Mzee..

Lazima inflation iongezeke but iwe chini ya 9 Ili kuchipua uchumi.Kwa taarifa Yako sio Kila inflation ni mbaya,Muulize Kimei atakufundisha..

Kwa Nchi maskini kama Tzn ku maintain inflation ya chini ya 5% ni kutaka watu wazidi kuwa maskini ndio maana unaona miaka 6 ya Magu hakuna cha maana amefanya kukamilika growth rate ya uchumi ilianguka below 4%..

Enzi ya JK uchumi ulikuwa Kwa 7% plus inflation was higher than 5% but below 9% au relatively ni single digit ..

Kama hujui uchumi umekariri neno inflation usichangie hizi mada ndio maana mlikuwa mnapora wafanyabiashara Kwa sababu uchumi ulianguka.

Afu ukiona Bongo pagumu hamia huku ukaone moto 👇

Screenshot_20211004-161721.png
 
hapo ukitoa kodi za dhuluma na tozo tunazotozwa ni aibu tupu, ni bora mngekaa kimya tu kuliko kujisifia ujinga wa kuwakandamiza wananchi wenu
Hujui kitu wewe kima Baki na kamasi zako kichwani..

Umeambiwa mara kadhaa hakuna tozo inaenda kwa TRA huelewi kwa sababu ya chuki na wivu.
 
Makampuni ya simu yanalia mapato yameshuka kwa kiwango cha kutisha,mawakala wanalia biashara yao imeshuka,watanzania ni watu wakimya sina,ila wanaugulia moyoni maumivu haya
Yanakulilia wewe au? Si mlikuwa mnasema ooh m pesa zitafungwa tuonyeshe kibanda hata kimoja kilichofungwa Kisa tozo.

Hapa Airtel na Halotel wanazidi kuchanja mbuga 👇

Screenshot_20211004-161340.png


Screenshot_20211004-161503.png
 
Mi-ishirini tena kwA mama au sio..😆😆

Effinnn clowns...ebu adjust Hayo makusanyo kwA inflation rate ya sasa hivi ,uone mmekusanya sh ngapi kama ingekua mwaka Jana ,hata rudi nyuma miaka 10



Kasi ya chawa haishikiki humu ndani,,,alafu nahisi wengi ni jinsia KE na wenyewe
 
Ukiacha wengine wala yakhe..Ni hivi hao BoT bado wako kwenye mawazo ya kipindi cha mwendazake ambapo uchumi ulikuwa stagnant..

Sasa saizi uchumi unafunguka pesa inarudi mtaani wakiendelea kweka riba ndogo wakati inflation inatakiwa iongezeke Ili uchumi ufufuke itawamala Mzee..

Lazima inflation iongezeke but iwe chini ya 9 Ili kuchipua uchumi.Kwa taarifa Yako sio Kila inflation ni mbaya,Muulize Kimei atakufundisha..

Kwa Nchi maskini kama Tzn ku maintain inflation ya chini ya 5% ni kutaka watu wazidi kuwa maskini ndio maana unaona miaka 6 ya Magu hakuna cha maana amefanya kukamilika growth rate ya uchumi ilianguka below 4%..

Enzi ya JK uchumi ulikuwa Kwa 7% plus inflation was higher than 5% but below 9% au relatively ni single digit ..

Kama hujui uchumi umekariri neno inflation usichangie hizi mada ndio maana mlikuwa mnapora wafanyabiashara Kwa sababu uchumi ulianguka.

Afu ukiona Bongo pagumu hamia huku ukaone moto 👇

View attachment 1962665
Unaona sawa vitu kama vifaa vya ujenzi kupanda bei kwa almost 40% in less than 6 month? hauko serious wewe ,unaonekana ni askari wa miguu wa mama
 
Usituone hatujui kusoma,2nd quarter hapo imeisha lini na Tozo zimeanza lini?
Tozo na TRA wapi na wapi? Waambie hao makampuni watoe taarifa za mienendo ya biashara tuone kama wamepata hasara..

Alafu Kazi biashara kuu ya makampuni ya simu ni mawasiliano hii ya miamala ni products mnadala,Azam pesa wameanzisha huduma ya miamala mwezi uliopita unadhani kungekuwa na hasara wangeingia kwenye soko ambalo Lina hasara?

Acha propaganda za makampuni,kwanza huwa nachukia mavyofanya muamala nakuta pesa nyingi wanachukua makampuni afu serikali pesa kiduchu.

Waliotakiwa kushusha gharama ni makampuni sio serikali.
 
Unaona sawa vitu kama vifaa vya ujenzi kupanda bei kwa almost 40% in less than 6 month? hauko serious wewe ,unaonekana ni askari wa miguu wa mama
Hujui kitu Vifaa vya ujenzi vimekuwa na trend ya kupanda kila mwaka baada ya bajeti ya serikali hata kabla ya tozo ya mafuta bei zilikuwa zinapanda hivyo hivyo.

Tuambie lini Vifaa vya ujenzi viliwahi shuka? Kwanza Vifaa sio vyote simenti haijapanda labda nondo na Bati.

Sina uaskari wa mtu mimi naelewa uchumi na nafuatilia Hali halisi ya Uchumi wa Dunia kwa hiyo sishangai vitu kupanda.

Kwa mfano saizi nchi nyingi za ulaya ,Amerika,Asia nk chumi zao zimeanza kufunguka kwa kasi baada ya kudhibiti covid kwa chanjo hivyo demand ya vitu imekua kubwa Duniani hiyo inatuathiri huku ambako sisi ni net importer..

By the way PM alisema watafuta baadhi ya tozo za taasisi kwenye mafuta Ili kufanya bei za mafuta zibakie affordable ila sio tozo muhimu ..
 
Hujui kitu Vifaa vya ujenzi vimekuwa na trend ya kupanda kila mwaka baada ya bajeti ya serikali hata kabla ya tozo ya mafuta bei zilikuwa zinapanda hivyo hivyo.

Tuambie lini Vifaa vya ujenzi viliwahi shuka? Kwanza Vifaa sio vyote simenti haijapanda labda nondo na Bati.

Sina uaskari wa mtu mimi naelewa uchumi na nafuatilia Hali halisi ya Uchumi wa Dunia kwa hiyo sishangai vitu kupanda.

Kwa mfano saizi nchi nyingi za ulaya ,Amerika,Asia nk chumi zao zimeanza kufunguka kwa kasi baada ya kudhibiti covid kwa chanjo hivyo demand ya vitu imekua kubwa Duniani hiyo inatuathiri huku ambako sisi ni net importer..

By the way PM alisema watafuta baadhi ya tozo za taasisi kwenye mafuta Ili kufanya bei za mafuta zibakie affordable ila sio tozo muhimu ..
Inaonekana ukosefu wa kazi, mfumuko wa bei juu, kodi juu etc ndio uchumi mzuri kwako
 

Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara Rais Samia aweka rekodi mpya Ukusanyaji mapato | TRA yakusanya kodi ya TZS 1.9T mwezi Sept 2021,kazi iendelee kwa kasi & weledi zaidi,​

==================================
Wakati Hayati Rais Mkapa anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 322BL kwa mwezi,Wakati Mzee Jakaya Mrisho Kikwete anaondoka madarakani serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 850BL kwa mwezi na Wakati Hayati Rais Magufuli anaaga dunia Serikali yake ilikusanya wastani wa Tshs 1.4trl kwa Mwezi,

Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa kuiongoza Serikali kwa awamu ya Sita aliapa kamwe hatokubali serikali kukusanya Kodi ya dhuluma namnukuu "Niheri tukusanye kidogo lakini kiwe cha halali kitatufaa " alisikika kwa Upole na unyenyekevu akiwaasa wateule wake,Rais Samia alishangaa watu kudaiwa kodi za nyuma "Presumptive Tax accessment " wakati wanazo tayari "Tax Clearance " toka kwa haohao wanaowadai tena,Kitendo hiki Rais Samia alikiita kuwa kwa Mujibu wa Mungu na dini huo ni "udhulumati "

Wakati Serikali ya Rais Samia imepanga kutumia Jumla Tshs 36.33trl kwa Mwaka wa fedha 2021|2022 mwaka ulioanza tarehe 01|07|2021 ambapo mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa
Tshs 26.03trl, sawa na 71.7% ya bajeti yote. Kati ya mapato hayo, mapato ya kodi ni Tshs 22.18trl, sawa na 13.5% ya Pato la Taifa. Aidha, Serikali inalenga kukusanya
mapato yasiyo ya kodi ya Tshs 2.99trl na mapato kutoka
vyanzo vya Halmashauri ni Tshs 863.9BL,

Mungu ni mwema,kama kasi yetu ni Tshs 1.9trl kwa mwezi,Chukuaa 1.9trl zidisha kwa miezi 12 utapata jumla ya Tshs 22.8 tutavuka lengo kwa 3% naomba mfahamu tangu uhuru hakuna Rais aliwahi kutenga Tshs 36.33trilioni kwa aajili ya bajeti ni Samia and only Samia,

Tuendelee kulipa kodi kwa hiari kwaajili ya maendeleo yetu na ya watoto wetu na yawatoto wao,Tanzania tuko vizuri Sana kwa sasa pengine tangu uhuru japo ni niukweli mchungu kwa wengine.


#Kazi iendelee kwa kasi & Weledi zaidi

Be blessed & Happy Sunday
=============================

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1961007
Nawe unabowa! Bila hata kutafuta CV yako, kwa maelezo haya inaonekana kiwango cha ufahamu au elimu yako kiko chini. Kila wakati unaanzisha thrd za kusifia Samia kama katibu mwenezi wa CCM! Hii nayo ni sifa? Mbona husemi tozo za miamala ktk nchi hii mpuuzi gani mwingine aliwahi weka kitu cha aina hiyo? Nchi gani watu wanalipa kodi kwa kupenda? Unashindwa kuelewa kwamba hii ni nidhani iliyojengwa kwa nguvu fulani, unaishia kusifia eti bila dhuluma. Unawajua wafanyabiashara wewe? Rubbish!
 
Hizo Tozo watu walizopiga kelele kwamba zinaumiza sio unyanyasaji (double taxation)
 
Inaonekana ukosefu wa kazi, mfumuko wa bei juu, kodi juu etc ndio uchumi mzuri kwako
Lini Kazi zilikuwepo? Leta Takwimu za kipindi cha mwendazake tulinganishe na Sasa tuone ..

Mfumuko upi wa bei unaoona kwako una hatarisha uchumi na maisha ya watu? Mfumuko wa bei wenye shida ni kwenye bei za vyakula huko kwingine hakuna shida yoyote.

Kodi gani ziko juu? Ziko juu kulinganisha na wapi?

Tunajenga uchumi wa kama enzi za JK, uchumi wa biashara ambapo wewe na watoto wako mtatamani kujiajiri badala ya kuajiriwa sio uchumi wa waganga njaa wa machinga..

Uchumi ambao biashara zinatoka sio uchumi ambao watu hawana pesa na biashara haziendi wanaganga njaa badala ya kusogea . Uchumi wa hivyo ni lazima uwe na inflation ya 5% and above..Uliza saizi mafundi mtaani kwamba vipi kazi za ujenzi zinapatikana? Watakupa jibu..

Mlipoaharibu uchumi miaka 6 mlitegemea overnight mambo yatakuwa mazuri? Tena kwa taarifa yako Magu angeendelea uchumi ungeanguka kabisaa na kuwa kama Zimbabwe,kupora pesa kwa watu ilikuwa ni ishara kwamba Hali ya uchumi ilikuwa mbaya..
 
Back
Top Bottom