2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Huyu dogo sijawahi kumwelewa amshukuru sana Diamond ndio anampiga tafu. Kila wimbo kamshirikisha kama hajashirikisha basi ujue ni remix. Namshauri ache kubana pua, sisemi nikiwa na maana kuwa najua kuliko yeye? Hapana mimi ni shabiki nitabaki kuwa shabiki hivyo.