Kasome post ya madm BNdiyo muda mwingine mnadanganywa mtu miaka 34 anakuambia ana 26 na wadada wa siku hizi wanazingatia mlo..gym kwa sana kutengeneza body utomjua kama age imeenda.
Kufika miaka 30 bila kuolewa sio dhambi wala haimaniishi kama katumika sana....
Hapo sawa mkuu, at least utasema huyu aliumbwa kwaajili yangu na alikuwa akinisubiri na wala hutakuwa na manung'unikoLabda km anayo bikra
Ina nini?Kasome post ya madm B
Ina maswali na majibu ya kutumika kama. Post hiiIna nini?
Shoga umebadili id auNdiyo muda mwingine mnadanganywa mtu miaka 34 anakuambia ana 26 na wadada wa siku hizi wanazingatia mlo..gym kwa sana kutengeneza body utomjua kama age imeenda.
Kufika miaka 30 bila kuolewa sio dhambi wala haimaniishi kama katumika sana....
Ndiyo love ile kuna wakuda ofisini waliichunguliaShoga umebadili id au
The bad you see, the good I see !!! Niforwadie huyo mdada kama humtaki.Huyu dada atakuwa na matatizo ya akili si bure leo kwa mara nyingine ananambia eti ye kaangalia wote anaona mimi ndo tunaweza oana umri wake miaka 33 choka mbaya wewe miaka 34 uje uolewe na mimi kweli una akili? mimi nina over 40 ndiyo lakini siwezI oa mwanamke ambaye amekuwa so used kiasi hicho.
Mwanaume lazima ujiulize huyu dada wakati wenzie wote wanaolewa yeye alikuwa anafanya nini?kama chuo alishamaliza zamani sana na akawa anafanya kazi yeye alitaka ale na aliwe bata leo anaona imeshakuwa jioni ndo aje aniangushie gari mimi.
Vijana nawaasa msije mkajiingiza kwnye matatizo haya kwa kuona mdada ni mrembo na ana pesa eti ndo aje amalizie siku zake kwako muda si mrefu anaingia menopause huyu dada then ndo tuzae mimi na yeye akiwa na miaka 32 nilidhani ananitania ile leo nimemcheck usoni kwa umakini anaonekana yupo serious kabisa.
USIOE MDADA AMBAYE UMRI UMEENDA. UJUE WENGI WALIMWONA HAFAI HUKO NYUMA...usidanganyike ukiona hivyo ujue hakufaa toka zaman. wanawake wenye kufaa huolewa wakiwa na miaka 20-28 usibishe. wa 30+ basi ujue alishaachika au watu walikuwa wanajigongea wanaondoka. na unaweza kuta ana mtoto au alishatoa sana mimba.
Nimeacha hata kula chakula ambacho sometime huwa ananiletea toka kwake kwa ajili ya lunch maana nisije kuta naanza kumpenda bure hasa kwa kuwa nimemwambia kuwa ni ngumu sana mimi kuoana na yeye hata mengi na umri wake ule ametafuta kabinti mimi ndo nikatafute mzee mwenzangu? no way. au ndo waswahili wanasema "GANDA LA MUA LA JANA CHUNGU KAONA KIVUNO? sitaki nataka mtoto wa miaka kuanzia 24 mpaka 28 hayo mauzee yenu kaeni nayo wanawake wenyewe wa siku hizi mnaanza mapenzi mapema kama yule mwingine anasema alianza akiwa na miaka 16 .
Imagine mtu ana uzoefu wa miaka 16 katika game wakati mimi uzoefu wangu ni miaka 10 tu
Ukwel mchunguJamani mbona mnatusimanga kiasi hicho wadada 30+ hv tumewakosea nini? Sawa huwezi kumwoa si ukaoe hao 20+ maneno na kashfa zote za nini hizo? Hebu jiheshimuni bana. Humo humo kwny 30+ kuna dada zenu, shangazi zenu, wadogo zenu nao wanahaha kutafuta ndoa, na sio kila 30+ ni screpa, wengine wamejitunza, ila hawakupata hao wanaume waoaji.. Acheni masimango bana mfyuuu
Oooh poyeeNdiyo love ile kuna wakuda ofisini waliichungulia
Asante dearOooh poyee
AFU ANAKUJA kumsimanga dada wa watu......hyo atakua ana sababu zake huez kaa kuandika UPUPU wa aina hiiHapo umesema kweli tupu mkuu na hii huwa ni sababu pia.
ila ni kweli,wadada wangejua muda wa kutafuta mme wa maisha ni wakiwa na umri chini ya 26,sasa wao huo muda wanasema wanakula ujana wanakuja kushtuka muda ushayoyoma kitambo,bila kujua siku hizi mambo yame change.mtu anakula ujanaaa huko na wengine,disco na yeye,fiesta na yeye badae mwishoni anakuja kukuganda na kuhangaika na kuanza kushinda makanisani.wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....
Wewe naona ndo hujielewiila bora wadada 30+ kuliko ukutane na kaka 35+ huwa awajielewi kabisaaa..