Bila JF ningekuwa nimeshajinyonga zamani au kufa kwa Stress na upweke

Umeanza kujisema wewe afadhari sana
 
Ana bahati sana nilikuwa nashuka naye mzima mzima
Humu ni mtu tu anataka kiki anaanguka Kwangu huyu huyuu . Kwa wengine anawaogopa maana ni malegend halafu hata hawatamsemesha .

Unajua Jana nilikuwa nafanya mambo yangu ya msingi ambayo ni kuchakata bia na nyama choma nilikuambia njoo upokelewe huku Kwa akina mangi umekataa ungepata dili la hela maana siye wachagga ramani zipoo.

Ukakataa kuja .....

Lenie mpambe nuksi akakimbia Jana Tena hata vumbi halikuonekana alifuata na vumbi.

Depal mita Hawa na wanadada wengi mmh wakasepa .

Ila Kwa uchochezi sema sema wote wakasepa.

Ndio huyu chizi kajiandika mwenyewe wewe .

Worry not napokea mwaka Kwetu Arusha na furaha zangu anything Mimi Huwa na take serious hata kama jf because ndio nilivyo sipuuziagi
 
Oooh pole mdogo wangu achana huyu najiita eti Chizi Maarifa
Ni kichaa tu huyu na hana maana.
Nimewavumilia sana nimeshindwa nimeamua kukutetea mdogo wangu.
Chizi Maarifa popote ulupo huna maana wewe ngedere kabisa wewe
 
Ungemtag kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ