Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kausha baba kausha mwanangu🤣😋Naona unataja unaoona wanafaa...😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kausha baba kausha mwanangu🤣😋Naona unataja unaoona wanafaa...😂
Akutukanaye ya nini achague matusi?Kipofu hawezi mwongoza kipofu mwenzie.
😂😂😂😂 Ok basi tuseme uliyemtaja yupo fine.Kausha baba kausha mwanangu🤣😋
Mulee mul..e😂😂😂😂 Ok basi tuseme uliyemtaja yupo fine.
Huwa hachagui. Msaidie huyo rafiki yako. Hayupo OkAkutukanaye ya nini achague matusi?
Umeanza kujisema wewe afadhari sanaKuna watu wengi humu wapweke sana. Na wengi wana matatizo ya akili. Wengi sana. Kuna mtu utakuta kiakili anaamini anasemwa yeye tu kumbe ndo afya ya akili ime-shake hapo. Anakuja kuanzisha uzi humu.
" Mnikome sana. Mnanisema mmenizaa nyie?na mkipata shida msije omba msaada mbwa nyie...mtaishia huko huko na shida zenu."
Huyu unakuta yeye ndo kiakili ana matatizo maji kupwa maji kujaa....so ana imagine vitu havipo.
Mwingine unakuta mpweke hajatongozwa miaka mingi.... Anakuna anzisha uzi.
" Hamnipati nyie wanaume, mimi siyo malaya najiheshimu na waambieni mademu zenu waaache kusema nawachukulia mabwana zao. Uzuri wangu mimi si wa kila mtu naitunza K yangu kwa mwanaume wa kweli...kenge nyie"
Kumbe hajatongozwa ila ana practice kama angekuwa anatongozwa sana na mzuri angekuwa anajibu nini. Anajaribu kujenga attention watu wamfuate private.
Mwingine sababu anadharaulika utakuta tu anaanza jisifia kujimwambafy....
" Mimi ni karimati, demu changer, the gillete n.k yaani anapachika pachika kila neno analolijua ili watu wamjengee attention. Na utakuta huyu kwa siku nyuzi tatu, nne n.k sababu ya upweke na kutafuta attention.
Kuna demu ukisoma nyuzi zake unajua tu ana sonana sijui kisonono...yaani kila wakati anaanzisha uzi. Mara napita mnanisonya, mara wanawake JF mnaniangalia kwa jicho baya, mara nimechoka kutongozwa kila wakati. Unaona huyu naye ndo wale wale...dish limeyumba, anataka attention n.k
JamiiForums imesaidia sana watu kama hawa. Wanapata nafasi ya kutoa mawazo yao ambayo huko kwao hamna wa kuyasikiliza. Wakija huku wanakutana na sisi machizi wengine tunawasupport basi wanatabasam wanaghairi kujiua.
Wengi humu wangekuwa wameshajiua nakwambia. Wapweke sana. Jamii imewatenga, imewadharau... Wanakuja huku kujenga heshima. Tuwasaidie...hata mimi mkiona kama kidogo nayumba mnisaidie tu. Au mnapenda mje msikie nimekunywa sumu ya mende?
Humu ndani alikuwepo deogratias. Network ilikata kabisa. Tukamsaidia siku hizi simwoni. Na jina alikuja badilisha... Akawa anajiita siju Don nani.
Yupi mkuuHuwa hachagui. Msaidie huyo rafiki yako. Hayupo Ok
Humu ni mtu tu anataka kiki anaanguka Kwangu huyu huyuu . Kwa wengine anawaogopa maana ni malegend halafu hata hawatamsemesha .Ana bahati sana nilikuwa nashuka naye mzima mzima
Huo uzi umekuzungumzia 0wewe tu mtoa mada amekuheshimu tuHajanitaja Kwa hiyo sio Mimi angenitana ingekuwa inshu ingine yeye kaongea kuwa yeye nikichaa na anauhitaji wa kusaidia kimawazo ili ⁰0asije akafaa mapema Kwa stress
Oooh pole mdogo wangu achana huyu najiita eti Chizi MaarifaHumu ni mtu tu anataka kiki anaanguka Kwangu huyu huyuu anaanza Kwa wengine anwaogopa maana ni malegend halafu hata hawatamsemesha .
Unajua Jana nilikuwa nafanya mambo yangu ya msingi ambayo ni kuchakata bia na nyama choma nilikuambia njoo upokelewe huku Kwa akina mango umekatwa ungepata dili la hela maana siye wachagga ramani zipoo.
Ukakataa kuja .....
Lenie mpambe nuksi akakimbia Jana Tena hata vumbi halikuonekana alifuata na vumbi.
Depal mita Hawa na wanadada wengi mmh wakasepa .
Ila Kwa uchochezi sema sema wote wakasepa.
Ndio huyu chizi kajiandika mwenyewe wewe .
Worry not napokea mwaka Kwetu Arusha na furaha zangu anything Mimi Huwa na take serious hata kama jf because ndio nilivyo sipuuziagi
Nasikia kuna jamaa anaitwa GENTAMYCINE kapewa zawadi, hongera zake.Kuna mmoja yuko kule kwenye jukwaa la michezo, ana hali mbaya kweli kweli. Maana amepewa mpaka zawadi ya mchongo, ili kumsaidia tu kuimarisha afya yake ya akili, lakini wapi!!
😂😂😂😂😂😂 mmekutana mmeze wote dawaLeo hujameza dawa? Meza dawa please hali isije ikabaki hivyo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmekutana mmeze wote dawa
Ungemtag kabisaKuna watu wengi humu wapweke sana. Na wengi wana matatizo ya akili. Wengi sana. Kuna mtu utakuta kiakili anaamini anasemwa yeye tu kumbe ndo afya ya akili ime-shake hapo. Anakuja kuanzisha uzi humu.
" Mnikome sana. Mnanisema mmenizaa nyie?na mkipata shida msije omba msaada mbwa nyie...mtaishia huko huko na shida zenu."
Huyu unakuta yeye ndo kiakili ana matatizo maji kupwa maji kujaa....so ana imagine vitu havipo.
Mwingine unakuta mpweke hajatongozwa miaka mingi.... Anakuna anzisha uzi.
" Hamnipati nyie wanaume, mimi siyo malaya najiheshimu na waambieni mademu zenu waaache kusema nawachukulia mabwana zao. Uzuri wangu mimi si wa kila mtu naitunza K yangu kwa mwanaume wa kweli...kenge nyie"
Kumbe hajatongozwa ila ana practice kama angekuwa anatongozwa sana na mzuri angekuwa anajibu nini. Anajaribu kujenga attention watu wamfuate private.
Mwingine sababu anadharaulika utakuta tu anaanza jisifia kujimwambafy....
" Mimi ni karimati, demu changer, the gillete n.k yaani anapachika pachika kila neno analolijua ili watu wamjengee attention. Na utakuta huyu kwa siku nyuzi tatu, nne n.k sababu ya upweke na kutafuta attention.
Kuna demu ukisoma nyuzi zake unajua tu ana sonana sijui kisonono...yaani kila wakati anaanzisha uzi. Mara napita mnanisonya, mara wanawake JF mnaniangalia kwa jicho baya, mara nimechoka kutongozwa kila wakati. Unaona huyu naye ndo wale wale...dish limeyumba, anataka attention n.k
JamiiForums imesaidia sana watu kama hawa. Wanapata nafasi ya kutoa mawazo yao ambayo huko kwao hamna wa kuyasikiliza. Wakija huku wanakutana na sisi machizi wengine tunawasupport basi wanatabasam wanaghairi kujiua.
Wengi humu wangekuwa wameshajiua nakwambia. Wapweke sana. Jamii imewatenga, imewadharau... Wanakuja huku kujenga heshima. Tuwasaidie...hata mimi mkiona kama kidogo nayumba mnisaidie tu. Au mnapenda mje msikie nimekunywa sumu ya mende?
Humu ndani alikuwepo deogratias. Network ilikata kabisa. Tukamsaidia siku hizi simwoni. Na jina alikuja badilisha... Akawa anajiita siju Don nani.
Niambie.....
Nimesahau jina ila naye bahati nzuri amekuja....msome tu.Ungemtag kabisa
Inamsaidia ku relax maana naye ndo hivyo tena....Nasikia kuna jamaa anaitwa GENTAMYCINE kapewa zawadi, hongera zake.