Wewe huna Habari ya nini kinaendelea nchini kwa sasa bila Shaka. Ni matrillioni ya uwekezaji. Nikupe mmoja tu kama mfano, wachina wenye Mikocheni plaza wamenunua hela 25,000 wanafanya uwekezaji wenye thamani ya trillioni tatu pale kibaha.Umeongea kiuchawa zaid
What next after Samia?Amka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Nimecheka sana aiseee......Nawe umeandika mengi lakini umeshindwa kuelewa hoja yangu ya msingi. Kwa kifupi, sijasema demokrasia ni lazima kwa kuvutia wawekezaji. Sote tunajua wawekezaji wanavutiwa na mazingira rafiki ya uwekezaji haijalishi yamekujaje. Nilichoeleza ni kuhusu hoja yako kwamba mbona uwekezaji unashamiri kwenye nchi zisizo na demokrasia km Rwanda, DRC, China, etc?
Nilichosema ni kuwa kuna madikteta wenye vision, mikakati na utashi wa maendeleo. Hawa hutengeneza mazingira sahihi kuvutia uwekezaji na maendeleo ya kasi katika nchi zao. Nikakupa mifano ya Lee Kuan Yew na Deng Xiaoping. Nikagusia na Kagame anavyojaribu. Hawa “benevolent dictators” wanaruka kiunzi cha demokrasi kujiletea maendeleo katika nchi zao - lakini kwa gharama ya kuminya utawala bora, uhuru na haki za binadamu za watu wao.
Udikteta kama wa DRC au Equatorial Guinea hauna vision unapelekea kwenye failed state. Wawekezaji huko ni wezi tu wa rasilimali - looters, period.
Hapa Tanzania tujiulize tumesimama wapi na tunataka nini hasa, HONESTLY? Sirudii niliyokwishaandika. Bila shaka nimeeleweka.
US na Ulaya wamefika juu zaidi kwa kuelewa kuwa maendeleo ya kweli LAZIMA yaambatane na demokrasia ili yamfaidishe mwananchi. Kwao quality of life must be high. Ndio maana wengi wanakimbilia huko. Hivyo kwao hoja ya benevolent dictatorship kwa ajili ya kuvutia uwekezaji na maendeleo ni hoja muflisi (fallacy). They are above that.
Haya huwa ni maneno tu mkuu. Kule Mtwara 2014 wakati issue ya gesi iko hot tuliambiwa kuna uwekezaji wa trillion 90 unakuja na Mtwara itageuka kuwa Dubai kama siyo mbingu kabisa. Lkn mpk kesho Mtwara bado iko vichakaniwamenunua heka 25,000 wanafanya uwekezaji wenye thamani ya trillioni tatu pale kibaha.
Unayesema nchi haina dira hujawahi kuisoma katiba tuliyokua nayo page kumi Za kwanza. Utakuta ndio mnadai katiba mpya huku ya iliyopo hujaisoma. Sasa hiyo mpya ikiwa mbaya zaidi utasemaje, bora ya zamani? Mambo mengine hayana kurudi nyuma.sasa unawekezaje kwenye nchi isiyo hata na dira,akija Rais huyo anakuja na lake akija mwingine anaweka matakataka yake mengine mapya.Dangote kuna muda alitaka kuhama kwasababu ya uzwazwa wa hii nchi.
Uhuru na kujitegemea, ukiongeza matumiZi ( miradi mikubwa) lazima uongeze mapato, ama ukope.Kila wakiamka wanawaza tozo tu. Hivi sasa wanatamani tozo za data. Duuh!
KwanZa nchi zisizo na demokrasia lakini zina maendeleo ni chache kuliko nchi zisizo na demokrasia na hazina maendeleo. Muhimu zaidi nchi zenye demokrasia na maendeleo ni nyingi kuliko Makundi yote.Bwana Sexless kama tatizo ni demokrasia kwanini nchi kama Congo, Rwanda, Uchina na Mexico ambazo hazina demokrasia na utawala wa sheria ziendelee kuvutia wawekezaji wakubwa tu ???
Tunahtaji kuona Tanzania chini yakatiba zuriAmka usingizini wewe, kwa Sasa Tanzania chini ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndio chaguo la kwanza kwa wawekezaji katika ukanda huu wa Afrika mashariki na Kati na kusini mwa Afrika, Tanzania ndio kituo Cha kwanza kwa watalii, watalii na wawekezaji kwa Sasa macho na akili zao Ni Tanzania pekee hasa baada ya juhudi kubwa zilizofanywa na mh Rais wetu mpendwa kupitia royal Tour pamoja na kuimarisha diplomasia yetu
Kuna mabilioni yamemwaga na wafadhili kwaajili ya kurejesha wingi wa samaki, ni mradi wa miaka 15. Zimepangwa kutolewa pesa kwaajili ya Vyama vya ushirika, Vikundi vya Vijana na Wafugaji binafsi ili wafuge samaki kwa kutumia vizimba.Hii imekaaje mkuu? naona manispaa ya ilemela wanaiongelea sana
There is no modern China without Chairman Mao, full stop huyu ndiye father wa modern China.Congo nafikiri unamaanisha DRC/RDC is a failed state kinachendelea kule ni looting, virtually sio uwekezaji - tangu enzi za mfalme Leopold II.
Huko kwingine ni suala la kuwa na kiongozi dikteta mwenye maono, utashi na uelewa wa mikakati thabiti ya kuiletea nchi yake maendeleo. Mfano mzuri kabisa ni wa Lee Kuan Yew wa Singapore. Bila shaka unajua habari yake. Ndiye aliyehamasisha usemi wa “benevolent dictator”. Kagame anajitahidi kufuata hilo. Tatizo la madikteta ni ile tamaa ya kutohojiwa wakijinufaisha kibinafsi.
Mexico ni demokrasia ingawa ieelemewa sana na wauza madawa ya kulevya.
China ni mfano wa kipekee wa utawala wa kundi la kidikteta lenye maono, mbinu na mikakati ya hali ya juu ya maendeleo na nguvu ya taifa. Heshima ya kipekee inamuendea Deng Xiaoping aliyepindua na kutawala China tangu 1978-1989 baada ya Mao. Huyu ndiye aliyeijenga China Mpya - the architect of Modern China kwa kuifungua na kuingiza uchumi wa soko. Ndio wakati mamia ya wawekezaji toka US na Ulaya walipovamia China na kusisimua utajiri tunaouona leo hii. Alitaka China iwe ya kidemokrasia kama Marekani na Ulaya. Lakini wahafidhina akina Xi wakaweka Breki na kurejesha enzi za kutukuza mtu mmoja - lakini bila kutibua mwelekeo wa uchumi.
TANZANIA SASA … Ni udikteta usio na vision wala utashi wa maendeleo ya nchi. Hakuna mikakati, miongozo wala taasisi imara za kuelekeza maendeleo. Mfumo wa uongozi umegubikwa na upendeleo (patronage), undugu (nepotism), uchawa (sycophancy), ufisadi (graft), wizi wa dola (kleptocracy) na kila takataka ya hujuma. Nchi imegeuzwa mgodi wa kujichotea. Hakuna mwenye uchungu na nchi. Kama vile sote ni wageni tunasaka fursa za kusanya na kusepa!
Kipaji kinachopewa uzito ni uchawa na na namna kupiga propaganda za hali ya juu kuhakikisha wananchi (mazuzu) wanatulia kwa amani huku mchezo ukiendelea.
US na Ulaya walijua kuwa hulka kuu ya binadamu ni UBINAFSI. Hivyo socialism haiwezekani (msome George Orwell katika Animal Farm) na udikteta hauna UTU. Hivyo walipambana kwa damu na jasho kutengua nguvu za wafalme na madikteta na kujiletea katiba imara zinazowahakikishia demokrasia ya kweli, haki za binadamu, uhuru wa mtu binafsi, fursa sawa, miongozo makini na uwezo wa kutekeleza mikakati thabiti ya maendeleo.
Hivyo mnapokana demokrasia na haki za binadamu na kutarajia maendeleo chini ya udikteta - eti kama China, Rwanda au Morocco jiulizeni kama kweli mnakielewa mnachojiombea. Bila kusahau kuwa kuna tyranny, despotism, dictatorship, benevolent dictatorship, petty dictatorship (udikteta uchwara), socialism, communism, democracy, socia democracy, liberal democracy, capitalism, etc. 😁 BE HONEST because only the truth will set you free.
1. Deng alitaka kuifanya China kuwa kama marekani na ulaya katika mfumo wa kiutawala [ demokrasia ya magharibi ] lini hiyo ?Congo nafikiri unamaanisha DRC/RDC is a failed state kinachendelea kule ni looting, virtually sio uwekezaji - tangu enzi za mfalme Leopold II.
Huko kwingine ni suala la kuwa na kiongozi dikteta mwenye maono, utashi na uelewa wa mikakati thabiti ya kuiletea nchi yake maendeleo. Mfano mzuri kabisa ni wa Lee Kuan Yew wa Singapore. Bila shaka unajua habari yake. Ndiye aliyehamasisha usemi wa “benevolent dictator”. Kagame anajitahidi kufuata hilo. Tatizo la madikteta ni ile tamaa ya kutohojiwa wakijinufaisha kibinafsi.
Mexico ni demokrasia ingawa ieelemewa sana na wauza madawa ya kulevya.
China ni mfano wa kipekee wa utawala wa kundi la kidikteta lenye maono, mbinu na mikakati ya hali ya juu ya maendeleo na nguvu ya taifa. Heshima ya kipekee inamuendea Deng Xiaoping aliyepindua na kutawala China tangu 1978-1989 baada ya Mao. Huyu ndiye aliyeijenga China Mpya - the architect of Modern China kwa kuifungua na kuingiza uchumi wa soko. Ndio wakati mamia ya wawekezaji toka US na Ulaya walipovamia China na kusisimua utajiri tunaouona leo hii. Alitaka China iwe ya kidemokrasia kama Marekani na Ulaya. Lakini wahafidhina akina Xi wakaweka Breki na kurejesha enzi za kutukuza mtu mmoja - lakini bila kutibua mwelekeo wa uchumi.
TANZANIA SASA … Ni udikteta usio na vision wala utashi wa maendeleo ya nchi. Hakuna mikakati, miongozo wala taasisi imara za kuelekeza maendeleo. Mfumo wa uongozi umegubikwa na upendeleo (patronage), undugu (nepotism), uchawa (sycophancy), ufisadi (graft), wizi wa dola (kleptocracy) na kila takataka ya hujuma. Nchi imegeuzwa mgodi wa kujichotea. Hakuna mwenye uchungu na nchi. Kama vile sote ni wageni tunasaka fursa za kusanya na kusepa!
Kipaji kinachopewa uzito ni uchawa na na namna kupiga propaganda za hali ya juu kuhakikisha wananchi (mazuzu) wanatulia kwa amani huku mchezo ukiendelea.
US na Ulaya walijua kuwa hulka kuu ya binadamu ni UBINAFSI. Hivyo socialism haiwezekani (msome George Orwell katika Animal Farm) na udikteta hauna UTU. Hivyo walipambana kwa damu na jasho kutengua nguvu za wafalme na madikteta na kujiletea katiba imara zinazowahakikishia demokrasia ya kweli, haki za binadamu, uhuru wa mtu binafsi, fursa sawa, miongozo makini na uwezo wa kutekeleza mikakati thabiti ya maendeleo.
Hivyo mnapokana demokrasia na haki za binadamu na kutarajia maendeleo chini ya udikteta - eti kama China, Rwanda au Morocco jiulizeni kama kweli mnakielewa mnachojiombea. Bila kusahau kuwa kuna tyranny, despotism, dictatorship, benevolent dictatorship, petty dictatorship (udikteta uchwara), socialism, communism, democracy, socia democracy, liberal democracy, capitalism, etc. 😁 BE HONEST because only the truth will set you free.