Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

Bila kuchelewa, Serikali ya Tanzania ijipambanue kupata uchaguzi huru na haki ili kuondoa upotoshaji

Kwanza kabisa ungetuambia Tume hii ya bara inatatizo gani mpaka useme sio huru?
Ili Magufuli akuingize kwenye hiyo tume yao moja ya sharti kuu ni kuwa lazima uwe mwanachama wa chama chake na uape kukibeba chama chao wakati wa uchaguzi. And that's undisputed.
 
Shida yenu si Tume huru shida yenu mnataka tume huru kwa maslahi ya chadema na si kwa siasa kiujumla
Nikupe ukurugenzi,nikupe nyumba, nikupe gari halafu umtangaze mpinzani haingii akilini..
Magufuli JOhn Joseph Pombe ..Rais wa JMT
 
Ili Magufuli akuingize kwenye hiyo tume yao moja ya sharti kuu ni kuwa lazima uwe mwanachama wa chama chake na uape kukibeba chama chao wakati wa uchaguzi. And that's undisputed.
Kwani umewahi kuwa sehemu ya member wa Tume ya uchaguzi mpaka useme hivyo?
 
Hakuna kitu ambacho ccm na Jiwe wanakiogopa kwelikweli Kama tume huru ya uchaguzi.
 
Soma hayo maelezo yatakusaidia.

Kwa ufupi Mamlaka ya utuzi wa mkurugenzi na mwenyekiti wa Tume, Wakurugenzi wa halmaqshauri na wengine ambao wanahusika kwenye uchaguzi. hufanywa na Mwenyekiti wa chama ambae ni rais.

Pili matokeo ya Urais kutopingwa na kuhojiwa mahakamani.

Safi sana mkuu. Inamaana mwenyekiti wa Tume, Wakurugenzi wa halmaqshauri na wengine ambao wanahusika kwenye uchaguzi wote hawa boss wao ni rais. Itawezekana vipi wawe against boss wao??? Lakini pia mimi naona wanasiasa wote either ni wavivu wa kusoma yalioandikwa au wapo kwenye eating pyramid moja. Inakuwa vipi since 1992 to present hili jambo la "tume ya uchaguzi kutohojiwa kuhusu matokeo ya Urais?" hawalipigii kelele sehemu husika (bugeni) badala yake wanaendelea kuweka wagombea urais na chama tawala. It is definite kuwa chama tawala hata mkuu apigiwe kura na mke wake tu lazima atangazwe mshindi. akisha tangazwa huwezi kuhoji tume. Sasa kuna tofauti gani ya kuweka kwenye ballot paper "NDIO au HAPANA"? because even if ukisema hapana atabakia yule yule. The difference is the similarity.
 
Back
Top Bottom