Bila kuikataa na kuipinga hii CCM maisha ya Watanzania yatakuwa magumu na itakuwa ni janga kubwa

Bila kuikataa na kuipinga hii CCM maisha ya Watanzania yatakuwa magumu na itakuwa ni janga kubwa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Watanzania ni watu wa kujishughulisha. Wanapambana maana wanalima, wanafuga na kufanya ujasiriamali wa kila namna.

Ila ukweli ni kuwa CCM haina sera na mipango madhubuti ya kiuchumi kuwanyanyua Watanzania.

Ufisadi na ubadhirifu usiokemewa na kudhibitiwa huruudisha nyuma maendeleo ya watanzania. Wanalipa kodi na tozo za kila namna.

Ila maendeleo yanayofanyika ni tofauti na kodi na tozo wanazolipa.
 
Watanzania ni watu wa kujishughulisha. Wanapambana maana wanalima, wanafuga na kufanya ujasiriamali wa kila namna.

Ila ukweli ni kuwa CCM haina sera na mipango madhubuti ya kiuchumi kuwanyanyua watanzania.

Ufisadi na ubadhirifu usiokemewa na kudhibitiwa huruudisha nyuma maendeleo ya watanzania. Wanalipa kodi na tozo za kila namna. Ila maendeleo yanayofanyika ni tofauti na kodi na tozo wanazolipa.
Huo ndio ukweli
 
Ila ukweli ni kuwa CCM haina sera na mipango madhubuti ya kiuchumi kuwanyanyua Watanzania.
Mkuu Idugunde, kwanza asante law bandiko hili, linatoa fursa kwa sisi waalimu huru humu JF kuwapiga darasa watu kama nyinyi.
  1. Nakuomba sana uitofautishe CCM na watu, CCM ni chama, CCM kama chama hakina kosa lolote!. CCM kinaongozwa na watu, hawa watu ni binadamu na sio malaika, wanaweza kufanya makosa na kukosea, walaumiwe wao na sio chama CCM!.
  2. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

    3. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.
  3. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.Hii dhana ya kudhani CCM ni adui, it's a wrong concept na niliwaeleza hawa rafiki zangu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ..., wangenisikiliza, saa hizi zamani wangekuwa Ikulu, enzi hizo Ikulu ni ya Magogoni.

  4. Hivyo CCM ni chama hakina tatizo lolote, hakijiweki madarakani, kinawekwa na Watanzania, na kwa political dynamics zetu, if no radical change will take place in a near future, CCM CCM utaendelea kutawala milele!, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali kataa!.

P
 
Mkuu Idugunde napenda nikuhakikishie mambo mawili ya muhimu:
1. Kwanza napenda nikuhakikishie kwamba sisi watanzania hatuna tatizo wa kukosa uwezo wa kuikataa ccm. Tunaweza kuikataa ccm wakati wowote, na ccm yenyewe inalijua hilo. Maana hata wakihewesha kura bado wataujua ukweli halisi kuwa watanzania wamewakataa.
2. Tatizo tulilonalo watanzania ni kukosa alternative. Tuikatae ccm, then tupate nini? Ebu fikiria, tunaikataa ccm, na kuchagua kile chama kingine; hivi tutaonekanaje kweli? Hivi tutaonekana tuna akili timamu kweli kuchagua chama ambacho kiko disorganized kiasi hicho? Huko kama siyo kuruka mkojo na kukanyaga timba hivi itakuwa ni nini kweli?
Matarajio yangu ni kwamba humo humo ndani ya ccm utafika wakati tutapata alternative within. 2015 tulipata alternative iliyo bora kuliko ccm fisadi ya akina Kikwete, Makamba na kinana. Mazingira yalilazimisha kupata hiyo alternative, hopefully utafika wakati tupate better alternative tena kutoka within.
 
Mkuu Idugunde, kwanza asante law bandiko hili, linatoa fursa kwa sisi waalimu huru humu JF kuwapiga darasa watu kama nyinyi.
  1. Nakuomba sana uitofautishe CCM na watu, CCM ni chama, CCM kama chama hakina kosa lolote!. CCM kinaongozwa na watu, hawa watu ni binadamu na sio malaika, wanaweza kufanya makosa na kukosea, walaumiwe wao na sio chama CCM!.
  2. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

    3. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.

  3. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.Hii dhana ya kudhani CCM ni adui, it's a wrong concept na niliwaeleza hawa rafiki zangu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ..., wangenisikiliza, saa hizi zamani wangekuwa Ikulu, enzi hizo Ikulu ni ya Magogoni.

  4. Hivyo CCM ni chama hakina tatizo lolote, hakijiweki madarakani, kinawekwa na Watanzania, na kwa political dynamics zetu, if no radical change will take place in a near future, CCM CCM utaendelea kutawala milele!, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali kataa!.

P
Jibu unalo kuwa sasa CCM ipo chini ya watu wasiofaa. Acha kuzunguka
 
Mkuu Idugunde, kwanza asante law bandiko hili, linatoa fursa kwa sisi waalimu huru humu JF kuwapiga darasa watu kama nyinyi.
  1. Nakuomba sana uitofautishe CCM na watu, CCM ni chama, CCM kama chama hakina kosa lolote!. CCM kinaongozwa na watu, hawa watu ni binadamu na sio malaika, wanaweza kufanya makosa na kukosea, walaumiwe wao na sio chama CCM!.
  2. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

    3. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!.

  3. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.Hii dhana ya kudhani CCM ni adui, it's a wrong concept na niliwaeleza hawa rafiki zangu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ..., wangenisikiliza, saa hizi zamani wangekuwa Ikulu, enzi hizo Ikulu ni ya Magogoni.

  4. Hivyo CCM ni chama hakina tatizo lolote, hakijiweki madarakani, kinawekwa na Watanzania, na kwa political dynamics zetu, if no radical change will take place in a near future, CCM CCM utaendelea kutawala milele!, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali kataa!.

P
Jibu unalo kuwa sasa CCM ipo chini ya watu wasiofaa.
 
Watanzania ni watu wa kujishughulisha. Wanapambana maana wanalima, wanafuga na kufanya ujasiriamali wa kila namna.

Ila ukweli ni kuwa CCM haina sera na mipango madhubuti ya kiuchumi kuwanyanyua Watanzania.

Ufisadi na ubadhirifu usiokemewa na kudhibitiwa huruudisha nyuma maendeleo ya watanzania. Wanalipa kodi na tozo za kila namna.

Ila maendeleo yanayofanyika ni tofauti na kodi na tozo wanazolipa.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Watanzania ni watu wa kujishughulisha. Wanapambana maana wanalima, wanafuga na kufanya ujasiriamali wa kila namna.

Ila ukweli ni kuwa CCM haina sera na mipango madhubuti ya kiuchumi kuwanyanyua Watanzania.

Ufisadi na ubadhirifu usiokemewa na kudhibitiwa huruudisha nyuma maendeleo ya watanzania. Wanalipa kodi na tozo za kila namna.

Ila maendeleo yanayofanyika ni tofauti na kodi na tozo wanazolipa.
Cc: JK
 
Back
Top Bottom