Bila kuikataa na kuipinga hii CCM maisha ya Watanzania yatakuwa magumu na itakuwa ni janga kubwa

Miaka inakatika.

Tafuta kwa jasho, wasukuma na Waha mmekuwaje. Uchawa ni ujuha
 
Miaka inakatika.

Tafuta kwa jasho, wasukuma na Waha mmekuwaje. Uchawa ni ujuha
Naelekea 60, and still exist, wakati kuna wenzangu kibao wametangulia!. Hakuna jambo lolote nimelifanya kustahili kuendelea kuwepo, wala waliotangulia, hakuna baya walilolifanya kustahili its purely the grace of the Lord!.
P
 
Kama uwezo wako wa kufikiria ndio umefikia ukomo wake hapo, basi wewe ni kiazi kweli.
Unataka alauniwe shetani?
Hiyo ccm inaendeshwa na shetani?
Na ww unajiita kichwa cha familia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Yani unaongea Mbadala wakati wapinzani ndio wanakufa na kupotea kila wakati, wengine wanapewa ulemavu.

KATIBA ndio inafanya uone CCM kubwa.
 
Kama uwezo wako wa kufikiria ndio umefikia ukomo wake hapo, basi wewe ni kiazi kweli.
Unataka alauniwe shetani?
Hiyo ccm inaendeshwa na shetani?
Na ww unajiita kichwa cha familia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Elimu yetu ndio inafanya watu wawe hiyo.
 
Naelekea 60, and still exist, wakati kuna wenzangu kibao wametangulia!. Hakuna jambo lolote nimelifanya kustahili kuendelea kuwepo, wala waliotangulia, hakuna baya walilolifanya kustahili its purely the grace of the Lord!.
P
Miaka 60 kubali matokeo. Uchawa haulipi
 
miaka 60 maisha ni yaleyale bado tunaendelea kuingalia ccm!
bila mawe, marungu na ngumi kuiondoa ccm ktk sura ya dunia tutaendelea kulalamika milele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…