Bila kujali itikadi zetu za vyama na dini zetu, kuanzia leo hadi 2025, ni maombi kwa Mungu ya kuifuta CCM

Bila kujali itikadi zetu za vyama na dini zetu, kuanzia leo hadi 2025, ni maombi kwa Mungu ya kuifuta CCM

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Ni Nani asiyechoka na hii kitu inaitwa CCM kwa sasa?

Ninaamini hata walioko CCM dua yenu ni ili siku moja asiingie mtu asiyetokana na chama chenu, maana hofu yenu ni pale itakapo walazimu kurudisha Mali zoote mlizoiibia nchi yetu!

Kwa kuwa Tanzania ni nchi ya waungwana, na wananchi wake kilio chao hukielekeza kwa Muumba wao, sasa ni wakati wa nyinyi mnaoitwa kwa jina la CCM kupambana na nguvu ya Mungu muumbaji

Onyo,

Maombi haya hayatamhusu mtu, ila ni maombi ya yatakayofanya CCM ifutike Tanzania na duniani, shida yetu ni CCM isambaratike

Ni wakati wa nyinyi wajenzi wa jina CCM, Mungu kuwatawanya ndimi zenu kama ilivyokuwa kwa mnara wa Babeli

Ndiyo, tunaupinzani usio na nguvu machoni mwenu, ila kwa Mungu unanguvu nyingu, ila kwa sasa, CCM tumechokwa nacho, watu wanalia kwa machozi ya uchungu kwenye Taifa lao nyinyi mkithamini matumbo yenu na watoto wenu

Watu walio wazuri mnawaondoa ili mle mtakavyo,!

Watanzania wenzagu, kutoka Imani mbalimbali, huu ni Uzi wa maombi tuu kuomba kwa Mungu wetu ili aingilie kati juu ya nchi yetu kulitoa hili jina CCM,

Kama ni kulia, tumelia, kama ni kusema tumesema, na tukiandamana tunapigwa

Sasa mandamano yetu ni kuelekeza maombi yetu kwa Mungu hadi 2025

Tunasambaratisha mizizi yote ya jina CCM kwa jina la Bwana wa mabwana,!

Noted,

Kila siku Ya ijumaa ya mwisho wa mwezi ni mfungo mpaka tuhakikishe CCM inafutika!
 
Maombi yatahusisha kufunga!

emoji3.png
emoji3.png
Jokes.
 
Ni Nani asiyechoka na hii kitu inaitwa CCM kwa sasa?

Ninaamini hats walioko CCM dua yenu ni ili siku moja asiingie mtu asiyetokana na chama chenu, maana hofu yenu ni pale itakapo walazimu kurudisha Mali zoote mlizoiibia nchi yetu!

Kwa kuwa Tanzania ni nchi ya waungwana, na wananchi wake kilio chao hukielekeza kwa Muumba wao, sasa ni wakati wa nyinyi mnaoitwa kwa jina la CCM kupambana na nguvu ya Mungu muumbaji

Onyo,

Maombi haya hayatahusu mtu mmojammoja ila ni maombi ya yatakayofanya CCM ifutike Tanzania na duniani

Ni wakati wa nyinyi wajenzi wa jina CCM, Mungu kuwatawanya ndimi zenu kama ilivyokuwa kwa mnara wa Babeli

Ndiyo, tunaupinzani uliomapungufu, ila kwa sasa, CCM tumechokwa nacho, watu wanalia na kutoka machozi ya uchungu kwenye Taifa lao nyinyi mkithamini matumbo yenu na watoto wetu

Watanzania wenzagu, kutoka Imani mbalimbali, huu ni Uzi wa maombi tuu kuomba kwa Mungu wetu ili aingilie kati juu ya nchi yetu kulitoa hili jina CCM,

Kama ni kulia, tumelia, kama ni kusema tumesema, na tukiandamana tunapigwa

Sasa mandamano yetu ni kuelekeza maombi yetu kwa Mungu hadi 2025

Tunasambaratisha mizizi yote ya jina CCM kwa jina la Bwana wa mabwana,!
Shida ni maneno tu hata kwenye khanga yapo.. Vijana mmekosa uthubutu
 
Ni Nani asiyechoka na hii kitu inaitwa CCM kwa sasa?

Ninaamini hats walioko CCM dua yenu ni ili siku moja asiingie mtu asiyetokana na chama chenu, maana hofu yenu ni pale itakapo walazimu kurudisha Mali zoote mlizoiibia nchi yetu!

Kwa kuwa Tanzania ni nchi ya waungwana, na wananchi wake kilio chao hukielekeza kwa Muumba wao, sasa ni wakati wa nyinyi mnaoitwa kwa jina la CCM kupambana na nguvu ya Mungu muumbaji

Onyo,

Maombi haya hayatamhusu mtu, ila ni maombi ya yatakayofanya CCM ifutike Tanzania na duniani, shida yetu ni CCM isambaratike

Ni wakati wa nyinyi wajenzi wa jina CCM, Mungu kuwatawanya ndimi zenu kama ilivyokuwa kwa mnara wa Babeli

Ndiyo, tunaupinzani usio na nguvu machoni mwenu, ila kwa Mungu unanguvu nyingu, ila kwa sasa, CCM tumechokwa nacho, watu wanalia kwa machozi ya uchungu kwenye Taifa lao nyinyi mkithamini matumbo yenu na watoto wenu

Watu walio wazuri mnawaondoa ili mle mtakavyo,!

Watanzania wenzagu, kutoka Imani mbalimbali, huu ni Uzi wa maombi tuu kuomba kwa Mungu wetu ili aingilie kati juu ya nchi yetu kulitoa hili jina CCM,

Kama ni kulia, tumelia, kama ni kusema tumesema, na tukiandamana tunapigwa

Sasa mandamano yetu ni kuelekeza maombi yetu kwa Mungu hadi 2025

Tunasambaratisha mizizi yote ya jina CCM kwa jina la Bwana wa mabwana,!

Noted,

Kila siku Ya ijumaa ya mwisho wa mwezi ni mfungo mpaka tuhakikishe CCM inafutika!
Baada ya kukosa Mkeka wa juzi ndio umekuja na kisrani hiki??

Sisi tuliojiajiri na bado mnatuwinda winda tusemeje?

Hayo maombi fanya wewe na mke wako.
 
We mwenzetu ushavuta chako kutoka kwa mume wako, ili uje uandike ujinga wako, afu unataka kututumia sisi kama daraja la propaganda zako.
 
We mwenzetu ushavuta chako kutoka kwa mume wako, ili uje uandike ujinga wako, afu unataka kututumia sisi kama daraja la propaganda zako.
Ngoja mnara wa baberi uwaangukie nyie,

Naipiga kwa laana ccm, naifuta kwenye masikio ya watanzania na kuilaani kwa jina lenye nguvu duniani na mbinguni
 
Acheni kumsumbua Mola anakazi mingi, mnashindwa kubadili uongozi kwa akili zenu kisa woga mnamkimbilia Mungu!!!
Nikufanya maamuzi kiakili kuitoa ccm sio kupiga magoti...
 
Sumagang poleni, kumbe ni kweli mlikuwa fitna baada ya kugundulika na kunyofolewa mmoja mmoja ndio mnatapa tapa, poleni sana
 
Leo ni tarehe ngapi? Au tupo krk loop?
Au mwandishi nu from the future.
 
Back
Top Bottom