Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

JPM alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu??

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!
Nimepitia maoni ya watu lakini nimegundua kwamba watu wengi hawajui bayana nini au nani hasa mchawi wa kuwepo kwa hali hii mbaya iliyopo hapa nchini?
Tz tunahitaji taasisi imara na madhubuti kabisa ya kuweza kutuvusha hapa tulipo na kusonga mbele. Mahali pa kuanzia mabadiliko ni kupatikana kwa Katiba Mpya itakayotokana na Maoni, Mawazo na Fikra za Raia wote wa nchi hii.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

JPM alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu??

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!
Yote aliyofanya ilikuwa ni kujitengenezea mazingira ya wizi tu. Jitu halfuati utaratibu wa sheria za manunuzi kwenye ndege za ATCL, CAG anatoa ripoti ya kutoonekana Tsh 1.5 Trillion anamfukuza kazi.

Kimsingi kama ume mmiss DIKTETA nenda kazikwe naye Chato, lakini nchi ambayo mtu mmoja kichaa anaamrisha bunge na kutisha Mahakama kamwe HATUWEZI kurudi huko.

Kufa tu na wewe kama Magufuli ila Tanzania hairudi kwenye maisha ya kishamba ya kutekana, kuuana na uwongo
 
Yuko makonda, nadhani mnamjua na hivi karibuni katikisa baadhi ya watendaji wa serikali kwa staili ya magufuli. Mwingine ni mwigulu, ni mkali yule jamaa kama atapewa mamlaka ya juu hakuna atakaecheka nae kwa uzembe. Mpina naye ni mfuatiliaji wa shilingi inakokwenda na kufanya shughuli yake. The rest politicians wako chadema na act wazalendo ni wakali uzembe hawataki
 
Yote aliyofanya ilikuwa ni kujitengenezea mazingira ya wizi tu. Jitu halfuati utaratibu wa sheria za manunuzi kwenye ndege za ATCL, CAG anatoa ripoti ya kutoonekana Tsh 1.5 Trillion anamfukuza kazi.

Kimsingi kama ume mmiss DIKTETA nenda kazikwe naye Chato, lakini nchi ambayo mtu mmoja kichaa anaamrisha bunge na kutisha Mahakama kamwe HATUWEZI kurudi huko.

Kufa tu na wewe kama Magufuli ila Tanzania hair hairudi kwenye maisha ya kishamba ya kutekana, kuuana na uwongo
Nchi iliyojaa wajinga namna hii, yeyote mwenye akili timamu atakayeongoza tena, atafanya kama unavyomlaumu JPM

Lingine, ulichoandika kinafurahisha, ila usjisahau kwamba, wewe nawe ni binadamu mwenye sifa zote za kufa

Kwa mantiki hiyo, huna sauti ya mwisho kuihusu nchi hii na maisha ya mtu mwingine!

kama ungelikuwa na ufahamu wa kile JPM anaenda kufanya hayo unayolalamikia, ungelizuia hata kabla ya yeye kuwa Rais

Kama ilivgotokea yeye kuwa raisi na usijue anaenda kufanya nini Ikulu, itatokea tena kwa sababu huna ujuzi wa kuzuia

Onyanoko be
 
Nchi iliyojaa wajinga namna hii, yeyote mwenye akili timamu atakayeongoza tena, atafanya kama unavyomlaumu JPM
Yeyote atakaeongoza!! Nchi haina viongozi? Wajinga ni nyie ambao kila uchao mnamlilia marehemu. Legacy ina tabia ya kujitetea yenyewe, lakini ninyi kutwa kucha ni JPM tu. Hacheni ujinga fikirieni mtafanya nini bila Magufuli, kama vipi kazikweni naye.
 
Yeyote atakaeongoza!! Nchi haina viongozi? Wajinga ni nyie ambao kila uchao mnamlilia marehemu. Legacy ina tabia ya kujitetea yenyewe, lakini ninyi kutwa kucha ni JPM tu. Hacheni ujinga fikirieni mtafanya nini bila Magufuli, kama vipi kazikweni naye.
Ni wapi nimeandika legacy? Zimo kweli wewe au we ni robot

Kingine, usituharibie lugha,

Hacheni??? == Acheni

Nawalaumu walimu wenu siku hizi wajinga wengi sana huko mashuleni
 
Ulivyoakiandika inaonyesha wazi wewe ni Sukuma gang unaetetea legacy ya JPM, kwani mpaka uandike neno legacy? Robot ni wewe unaeshidwa kutumia akili yako na kuyachambua mambo ktk uhalisia wake. Mjinga wewe, soma na kuelewa....hayo mambo ya lugha sijibu mitihani hapa.
Inaonyesha wewe ni wanamke maraya sana, hujakonyezwa unajileta,

Nauliza tena, ni wapi nimeandika legacy?

Ni lini nyinyi maccm mtaacha ujinga?

Eti nilivyo andika, na nikiwa sukuma gang itakusaidia nini wewe kilaza wa Lumumba?
 
Inaonyesha wewe ni wanamke maraya sana, hujakonyezwa unajileta,

Nauliza tena, ni wapi nimeandika legacy?

Ni lini nyinyi maccm mtaacha ujinga?

Eti nilivyo andika, na nikiwa sukuma gang itakusaidia nini wewe kilaza wa Lumumba?
Angalia ulivyo mjinga, ukiishiwa hoja unavurumusha matusi.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Tunataka katiba itakayoweza kumshitaki Hadi rais akiwa au ametoka madarakani kwa kufanya makosa. Hatuhitaji walevi wa madaraka. Huyo magufuli alikuwa ni mlevi wa madaraka na Wala sio kiongozi Bora. Kiongozi Bora hutengeneza mifumo madhubuti na sio kutawala kwa vitisho ukatili, shuruti na double standard.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa, wazembe na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Nakupinga. tusiende mbali. Botswana ni inchi ya kidemocrasia, rushwa ni negligible, ustaarabu kama mbele. Tatizo hapa ni ccm chama chakavu. Nasema hivi tatizo la inchi hii ni falsafa za uongozi na tamaduni za ccm
 
Tunataka katiba itakayoweza kumshitaki Hadi rais akiwa au ametoka madarakani kwa kufanya makosa. Hatuhitaji walevi wa madaraka. Huyo magufuli alikuwa ni mlevi wa madaraka na Wala sio kiongozi Bora. Kiongozi Bora hutengeneza mifumo madhubuti na sio kutawala kwa vitisho ukatili, shuruti na double standard.
Naheshimu mawazo yako pia wewe mwenyewe, stii chochote
 
Nakupinga. tusiende mbali. Botswana ni inchi ya kidemocrasia, rushwa ni negligible, ustaarabu kama mbele. Tatizo hapa ni ccm chama chakavu. Nasema hivi tatizo la inchi hii ni falsafa za uongozi na tamaduni za ccm
Heshima kwako mkuu kwa wazo la kuboresha
 
JPM alipaswa awe kiongozi wa juu wa nchi amabazo azina mfumo wa kidemokrasia, hakika angeweza kuijenga hiyo nchi.

Huku kwenye demokrasia, angeishia kama alivyo ishia, kuua, kuumiza, kunyang'anya na kupora,

Aliipenda nchi hii na kuwapenda wanao msikiliza na kumtii, Aliwachukia wote wenye mawazo mbadala na tofauti na yeye,

Kama kuna mtu anamtaka JPM mwingine, atengeneze nchi yake kisha ampeleke huko sio hapa kwetu.
Sahihi kabisa. Tunahitaji Katiba madhubuti sio viongozi wanaotaka kuabudiwa. Nilijua kabisa magufuli sio kiongozi Bora alipokuwa hataki katiba mpya yenye maoni ya wananchi. Kibaya zaidi akatushurutisha kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja, wakati hiki ni kizazi tofauti kabisa.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Kipindi cha JPM kulikuwa na unafiki wa hali yajuu. Na ni kipindi ambacho watu wasiopenda kazi(wanasiasa) walipiga sana hela. Waliokuwa wanafanya kazi hawakupandishiwa mishahara. Waliokuwa wanajituma na biashara walifungiwa akaunti zao za bank na pesa zao kuchukuliwa. Kuna watu walifunguliwa kesi za kudaiwa kodi toka miaka ya tisini ili waondoke kariakoo ili Jpm aweke watu wake kariakoo. Serikali haitakiwi kupewa kipaumbele, viongozi wanatakiwa waishi maisha ya chini sana. Kipindi hicho hicho ndio kwa mara ya kwanza watu waliteuliwa kishabiki bila kuangaliwa uwezo. Mama Samia anaendeleza alichofanya JPM, amejaza watu wa visiwani kama JPM alivyojaza watu wa kanda ya ziwa, anaipendelea ZNZ kama JPM alivyopendelea chato na kanda ya ziwa. Tatizo sio Rais tatizo ni mfumo na JPM ndiye Rais pekee aliyetumia nguvu zake za kikatiba kwa asilimia 100. JPM alikuwa Rais wa wavivu na wategemezi. Nawataarifu watanzania wenzangu zama za ujamaa hazipo hakuna atakayekuja kukutetea na kukubeba. Kwenye maisha inabidi ujipambanie wewe mwenyewe.Tanzania hatuendelei kwa sababu bado watu wanashikilia sera za kijamaa ambazo zilitoweka dunia nzima toka miaka ya 90.
 
Back
Top Bottom