Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Naunga mkono hoja
 
Samahani, km ntakuwa nje ya mada, hivi kisukali pia husababisha ugonjwa wa akili.
 
Kipindi cha JPM kulikuwa na unafiki wa hali yajuu. Na ni kipindi ambacho watu wasiopenda kazi(wanasiasa) walipiga sana hela. Waliokuwa wanafanya kazi hawakupandishiwa mishahara. Waliokuwa wanajituma na biashara walifungiwa akaunti zao za bank na pesa zao kuchukuliwa. Kuna watu walifunguliwa kesi za kudaiwa kodi toka miaka ya tisini ili waondoke kariakoo ili Jpm aweke watu wake kariakoo. Serikali haitakiwi kupewa kipaumbele, viongozi wanatakiwa waishi maisha ya chini sana. Kipindi hicho hicho ndio kwa mara ya kwanza watu waliteuliwa kishabiki bila kuangaliwa uwezo. Mama Samia anaendeleza alichofanya JPM, amejaza watu wa visiwani kama JPM alivyojaza watu wa kanda ya ziwa, anaipendelea ZNZ kama JPM alivyopendelea chato na kanda ya ziwa. Tatizo sio Rais tatizo ni mfumo na JPM ndiye Rais pekee aliyetumia nguvu zake za kikatiba kwa asilimia 100. JPM alikuwa Rais wa wavivu na wategemezi. Nawataarifu watanzania wenzangu zama za ujamaa hazipo hakuna atakayekuja kukutetea na kukubeba. Kwenye maisha inabidi ujipambanie wewe mwenyewe.Tanzania hatuendelei kwa sababu bado watu wanashikilia sera za kijamaa ambazo zilitoweka dunia nzima toka miaka ya 90.
👏👏👏
 
Kwa bahati mbaya kabisa, nadhani hili huna ushahidi nalo zaidi tu kwa sasa upo ili ulinde tonge lako
Sina ushahidi wa nini ? kina KINgangwalla, Makonder na Subhire hela walizopiga walipeleka wapi ? H.K na bilioni mbili alizoiba (wizarani ) aliishia kufanya biashara ya kununua na kuuza mazao, Makonder akamwaga hela ili apate nafasi ya kugombea ubunge wa Kigamboni na Subhire alitumbua na kula Bata akijua JPM ataishi milele. JPM aliwabeba sana alisomesha hadi nje watu wake aliwapa scholarshp masters kama zote. Nenda kanda ya ziwa utaona, Kaa watu wa huko ambao wapo serikalini au kwenye taasisi za serikalini. Watakuambia mambo makubwa ambayo Jpm alifanya. Katika kazi usimpe mtu kipaumbele kwa sababu ni ndugu yako. Inabidi uwe na mtu mwenye malengo kama yako. Na mtu anaweza kuwa na malengo kama yako lakini ana njia nzuri zaidi kuliko yako . JPM alikosa team kwa sababu alitaka kufanya kila kitu mwenyewe na aliamini watu wake hawatomuangusha. Hakutulia chini na kuchagua kikosi kazi kizuri. Watanzania tunasahau sana.
 
mwingine ambaye anaweza akajali maslahi ya watanzania wote ni Bashiru Ally
Duuh..
Huyu si ndiye alisimamia ule ufisadi wa biashara ya ununuzi wa binadamu kwa kodi za Watanzania maskini?!
Hafai kabisaa
 
Tukimpata kama JPM jambo la kwanza amtie ndani JK na SHH ndani kwa kuuza nchi
Mkuu precedence imeshawekwa, akipatikana kama JPM, habari yake sio zaidi ya miaka 5! Muulize ndugai hana hamu!
 
S
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Sidhani kama anaweza kutokea mwingine kama yule. Sheitwan wahed
 
Sina ushahidi wa nini ? kina KINgangwalla, Makonder na Subhire hela walizopiga walipeleka wapi ? H.K na bilioni mbili alizoiba (wizarani ) aliishia kufanya biashara ya kununua na kuuza mazao, Makonder akamwaga hela ili apate nafasi ya kugombea ubunge wa Kigamboni na Subhire alitumbua na kula Bata akijua JPM ataishi milele. JPM aliwabeba sana alisomesha hadi nje watu wake aliwapa scholarshp masters kama zote. Nenda kanda ya ziwa utaona, Kaa watu wa huko ambao wapo serikalini au kwenye taasisi za serikalini. Watakuambia mambo makubwa ambayo Jpm alifanya. Katika kazi usimpe mtu kipaumbele kwa sababu ni ndugu yako. Inabidi uwe na mtu mwenye malengo kama yako. Na mtu anaweza kuwa na malengo kama yako lakini ana njia nzuri zaidi kuliko yako . JPM alikosa team kwa sababu alitaka kufanya kila kitu mwenyewe na aliamini watu wake hawatomuangusha. Hakutulia chini na kuchagua kikosi kazi kizuri. Watanzania tunasahau sana.
Kiashiria kingine cha wewe kuwa muongo, ni kuogopa hata kutaja majina ya unaosema walikuibia pesa
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Mnahangaika bure tu. Mtu sahihi wa kuivusha nchi hii yupo Chanika hapo,tena hana chama wala nini. Hao wengine Wameshakuwa politically polluted na itikadi za vyama vyao ambazo sio lazima ziwe zenye mlengo wa kuivusha nchi ifike kwenye Maziwa na asali
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Hivi si yuko Rais ambaye wanadai hajqwahi kutokea na anaupiga mwingi! Maza wa Taifa ukiacha mama Maria!
Na amewaweka wasaidizi kibao wanaosifika kuwa wazuri ukiacha huko bungeni kuliko na mamluki na maCovid 19! Ninini wanachofanya?
Kuna na mdada mmoja msaanii mzazi ameqnzq kuomba kura ikiwa na maana kuwa tuendelee na huyo huoyo mwenye sifa hadi umeme unakata kila kukicha!
Siku ya siku miradi zote simama na ukiisha ujue ni mbovu haudumu pesa yote kwa matumbos!!
Nchi hii mchwa ni wengi mama! Njio huku!.
 
Mnahangaika bure tu. Mtu sahihi wa kuivusha nchi hii yupo Chanika hapo,tena hana chama wala nini. Hao wengine Wameshakuwa politically polluted na itikadi za vyama vyao ambazo sio lazima ziwe zenye mlengo wa kuivusha nchi ifike kwenye Maziwa na asali
MUNGU atuletee katika wakati wake, tunamhitaji saana
 
MUNGU atuletee katika wakati wake, tunamhitaji saana
Ni Kijana tu(34 years) ila yaliyomo akilini mwake kuhusu hili Taifa aisee hata akipewa Africa aijengee misingi ya maendeleo anaweza sana tu. Amejaaliwa capacity kubwa na ya kipekee ya kiuongozi.

Mungu hana upendeleo. Ni wetu sote[emoji120]
 
Nchi iliyojaa wajinga namna hii, yeyote mwenye akili timamu atakayeongoza tena, atafanya kama unavyomlaumu JPM

Lingine, ulichoandika kinafurahisha, ila usjisahau kwamba, wewe nawe ni binadamu mwenye sifa zote za kufa

Kwa mantiki hiyo, huna sauti ya mwisho kuihusu nchi hii na maisha ya mtu mwingine!

kama ungelikuwa na ufahamu wa kile JPM anaenda kufanya hayo unayolalamikia, ungelizuia hata kabla ya yeye kuwa Rais

Kama ilivgotokea yeye kuwa raisi na usijue anaenda kufanya nini Ikulu, itatokea tena kwa sababu huna ujuzi wa kuzuia

Onyanoko be
Yule pimbi alitawaliwa na ushamba, ubabe wa kijinga, uwongo na wizi. Tamzania mtu wa namna hiyo hana nafasi tena. Kama unatamani mtu wa hivyo nenda na wewe kachimbe kaburi lako Chato muzikwe jirani
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!


Kamtafute
 
Back
Top Bottom