Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

Yuko makonda, nadhani mnamjua na hivi karibuni katikisa baadhi ya watendaji wa serikali kwa staili ya magufuli. Mwingine ni mwigulu, ni mkali yule jamaa kama atapewa mamlaka ya juu hakuna atakaecheka nae kwa uzembe. Mpina naye ni mfuatiliaji wa shilingi inakokwenda na kufanya shughuli yake. The rest politicians wako chadema na act wazalendo ni wakali uzembe hawataki


Spoken like a pure mwalimu wa darasa la 7A shule ya msingi Tanganyika.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo kuliko mabadiliko ya watu.

Watu wanaweza kufariki baada ya miaka michache, mifumo inaweza kudumu miaka mingi zaidi, hata watu wakifariki.

Tatizo la Watanzania wengi kama wewe wanapenda sana kuangalia watu, badala ya kuangalia mifumo.

Huyo Magufuli unayemsifia, bila ya kuzama sana kwenye mazuri na mabaya yake, alishindwa kuweka mabadiliko ya kimfumo sehemu nyingi, aliongoza kwa kutegemea uwepo wake yeye mwenyewe.

Sasa amefariki, hawezi kuongiza tena.

Sasa wewe unamtafuta Magufuki mpya.

Hayo ni makosa unayotaka kuyarudia.
 
Mh Magu ameonekana ni Bora sana ukilinganisha na wana-CCM wenzake Chama kimoja ila mm nafikir tungekubali tukawa demokrasia vumilivu ikawa ni halali wapinzani wenye mawaza tofauti wakatawala inamaana makosa mengi yangekuwa yanarekebishwa sheria kali zingekuwa zinatungwa ili kulinda raslimali za nchi bila kubebana, leo ni ngumu ata akiingia Kasimu bado yuko mlemle kwenye tenga ile ile.. Chama mbadala ni muhim sana kuwa na taasisi imara na sheria imara za nchi sio mtu imara
 
Jpm alifanye sehemu yake ,ila Mama ameifungua nchi miradi ya maendeleo kila kona ya nchi kwaujumla Rais samia suluhu anatosha hadi 2030 kwamjibu wa katiba
 
Watalaam wa uchumi wanasema nchi inahitaji mifumo kuliko haiba binafsi za viongozi.

Huyo mwenye sifa za JPM nae atapita tu na kuondoka zake na kila atakachofanya kwa ujasiri wake kuna siku kitakuwa ni historia tu.

JPM kwa kuonekana anafanya kazi na kusifiwa na watz wa aina yako upande wa pili aliumiza sana watu haswa wafanya biashara wachache.
Hachana na huyu mpuuzi. Inaonekana ni machinga ambae kipindi cha JPM aliruhusiwa kutembeza bidhaa zake sehemu yoyote kwa kitambulisho cha elfu 20. Ni mtu anaeamini kila mwenye pesa ni mwizi na haki ya kunyang'anywa.
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
Mkuu mawazo yako kama nayaona kwenye hiki kitabu kinachopigwa vita vya Wasomi Wajinga. Humu ndani kama mwandishi anatoa siri nyingi sana za CCM. Nafikiri ndiyo sababu hiki kitabu wamekipiga marufuku na mwandishi wake Dkt. Dyaboli hajulikani aliko mpaka sasa
 

Attachments

  • Wasomi Wajinga - Dkt. Dyaboli.png
    Wasomi Wajinga - Dkt. Dyaboli.png
    355.9 KB · Views: 3
Hachana na huyu mpuuzi. Inaonekana ni machinga ambae kipindi cha JPM aliruhusiwa kutembeza bidhaa zake sehemu yoyote kwa kitambulisho cha elfu 20. Ni mtu anaeamini kila mwenye pesa ni mwizi na haki ya kunyang'anywa.
Jielimishe kwanza ndio uanze kuchangia

Hachana= achana
 
Unazo siku kidogo sana kijana kwa hasira hizo za kijinga!
Hiyo takataka inaoza Chato, kama unaipenda nenda kazikwe naye. Usitujazie nzi hapa!!

Jitu limekataliwa na Mungu kuwa Rais bado mnaliota
 
Hata kama staandika matarajio yenu, kifupi ni kwamba, Tanzania inahitaji tena na kwa haraka mno mtu mwenye mfanano na hayati JPM,

Watanzania acheni kuendekeza ujinga, uzembe na ulalamishi

Wengi wenu ni walalamishi na msiopenda kabisa kufanya kazi, (wavivu wa kupindukia) mnapenda starehe bila kujali mnachoingiza

Familia zote masikini chanzo ni baba legelege, baba asiyeweka mfumo na mwongozo thabiti juu ya watoto wake, ni kuandaa mababa wengine walioferi maisha tokea kwa makuzi yao

Nikikumbuka kipindi cha huyo mwamba, kila mtu alipenda kufanya kazi, maofisini nako vile vile kwa sababu baba alikuwa ni mchapa kazi, mkemea uzembe, mkemea wezi na kila maovu, JPM aliwakemea mpaka viongozi wastasfu kwa sababu alijua nini anafanya juu ya nchi hii yenye watu masikini na sio tu masini, bali pia ni nchi yenye wajinga wenge!

Hayati Magufuli alikuwa ni mwalimu mzuri wa mapato na matumizi pia, kila kilichokuwa kikipatikana, kilielekezwa sehemu hisika tu na kufuatiliwa kwa ukaribu

Na ndiyo maana karibu kila mradi ulikuwa ukienda vema kwa sababu shilingi ilikuwa haipotei ovyovyo,

Nikiangalia sasa tulipo na tunavyokwenda, tumekopa matrilioni ya shilingi, na bado miradi ya kimkakati inasuasua, nani aseme tupo kwenye njia sahihi? Hivi ni nani mpaka muda huu kawajibishwa kwenye ripot ya CAG iliyovunja records ya upotevu wa mabilion ya shilingi, nani kajihudhuru walau tuweke imani kwa wanaotuongoza? Nani kafikishwa mahakamani ili tuseme tunatendea haki wananchi??

Mgogoro wa Wizara ya Nishati na wananchi, ni kama kumekosekana mtu wa kuutibu huu mgogoro, visingizio viingi na havijawahi kuisha, kwa nini tuwe na mgao wa umeme?? Tunakosa nini yaani, mwenye jibu wa swali hili nitamlipia ya bando la mwezi mzima, kwa nini kuwe na mgao wa umeme Tanzania kama siyo ulegelege na uzembe tu uliokubuhu?

Kama tunataka kuwa nchi inayopiga hatua kiuchumi na kuwa nchi inayoheshimika nje ndani, basi tunamhitaji mfano wa mtu aliyepita, yaani JPM asiyeogopa kufa kwa ajili ya maisha ya wengi ili akabiliane na wezi, mafisadi, wazembe na makuwadi wa kisiasa na machawa yaliyokosa kazi za kufanya, yanaabudu watu ili yalipwe badala ya kufanya kazi halali!

Wale kufokafoka karibuni mfoke, na sababu ni moja tu, maslahi yenu yaliyojengwa kwenye wizi na ujanjaunja, ndiyo huwa hamtakaki viongozi kama hao!

Mwisho, Ipo siku itajulikana iwapo Rasilimali Mungu alizotupa zilipaswa kulindwa kwa nguvu na kwa jicho la husuda kama alivyokuwa akifanya JPM na au tuendelee kuziona ni kama Mungu alituwekea kwa bahati mbaya na hatuzitaki!
CCM bwana ni wapumbavu sana yaani kwa sasa bunge ni lao watupu,Rais ni wao,mahakama ni yao,sasa mwakani wakati wa kampeni sijua watawaambia nn wananchi na Sijui watasema nani kawakwamisha.
 
Yaani zirudi zama zile za watu kupotezwa na wasiojulikana? Zama za ajira kugawiwa kwa ukabila? Zama za viongozi kukiuka haki za watumushi? Zama za wafanyabiashara kubambikwa Kodi? Daah ! tupumzishwe Kwanza kwa kweli
 
Spoken like a pure mwalimu wa darasa la 7A shule ya msingi Tanganyika.
Kabisa mkuu. Huyu atakuwa mwalimu wa shule ya msingi. Hajajua bado mchezo wa siasa unavyochezwa. Pengine akisoma hiki kitabu hapa kinaweza kumsaidia kuelewa walau kidogo
 

Attachments

  • Wasomi Wajinga - Dkt. Dyaboli.png
    Wasomi Wajinga - Dkt. Dyaboli.png
    355.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom