Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Ughonile..

Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.

Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
 
Ughonile..

Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.

Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
JF haikuanzishwa ili members wote wawe wanakubaliana katika kila mada.

Ni muhimu sana kuelewa katika mkusanyiko mkubwa kama huu wa JF kuna mawazo na hoja tofauti tofauti. Ni lazima tukubaliane kutokubaliana.

We have to agree to disagree. Kama hupendi mada ya mtu fulani una dislike kisha una move on. Nothing personal. No hard feelings.
 
JF haikuanzishwa ili members wote wawe wanakubaliana katika kila mada.

Ni muhimu sana kuelewa katika mkusanyiko mkubwa kama huu wa JF kuna mawazo na hoja tofauti tofauti. Ni lazima tukubaliane kutokubaliana.

We have to agree to disagree. Kama hupendi mada ya mtu fulani una dislike kisha una move on. Nothing personal. No hard feelings.
Kuna baadhi ya mada hazina haja ya kuumiza akili kufikiria either uagree au udisagree.

hao members niliowamention ukisoma threads zao mwishoni ukimaliza unaanza kujiuliza ivi ni lini mirembe wameanza kuruhusu matumizi ya simu kwa wagonjwa wao.!!

Kama kuna members humu tunawakubali then there must be a vice versa of that and thats where my concern is
 
Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
 
Ughonile..

Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.

Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
binafsi nakupenda mno gentleman, pamoja na wadau wengine wote muhimu sana wa humu JF, kwenye majukwaa mbalimbali hususani hili ambalo umetumia kutoa hoja na dukuduku lako la moyoni dhidi yangu na wengine ulowatag..

umechukua uamuzi muhimu sana wa kujitibu kijiba cha Roho, kongole sana aise, I hope utapata relief ya kipekee sana leo.....

ile ya muhimu zaidi ni kuheshimu haki na uhuru wa mawazo, maoni na mtazamo wa wengine. Na njia pekee kumudu mambo haya ni kuvumiliana, kustahimiliana na kua na subra ..
ni vizur kua na uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya dhana ya kukukubaliana kutokukubaliana...

hata hivyo ile jamii yako ya mihemko, ghadhabu na saa zingine waparomosha matusi hawajakuelekeza namna ya kuignore wanaokukwaza, ili usibabaike nao zaidi?🐒

hata hivyo ukifanya hivyo utajinyima na kujikosesha elimu, uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya masuala mbalimbali, Lakini pia sio mbaya na sio lazima ufahamu kila kitu humu JF...

by the way,
amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania, bila kujali dini, rangi, ukabila wala mirengo ya kisiasa ni matokeo ya uwekezaji mkubwa wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu shupavu, Dr Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha tunaipenda nchi yetu na tunaishi kwa upendo, umoja na mshikamano...

Tutaendelea kusema ukweli daima upende, usipende 🐒

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake 🐒
 
Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna baadhi ya mada hazina haja ya kuumiza akili kufikiria either uagree au udisagree.

hao members niliowamention ukisoma threads zao mwishoni ukimaliza unaanza kujiuliza ivi ni lini mirembe wameanza kuruhusu matumizi ya simu kwa wagonjwa wao.!!

Kama kuna members humu tunawakubali then there must be a vice versa of that and thats where my concern is
ukimaliza kusoma unaanza kuumia roho kwanza au unafurahia ukweli? kipi hukuanza kwa mfano wewe 🐒
 
Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Thibitisha Hilo!!
 
Back
Top Bottom