Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

Bila kupepesa macho, Ni member gani haumkubali humu JamiiForums

Iyo nguvu ya kutokumkubali mtu usie mjua wala hamjuani unaitoa wap
Uchizi ndo unanzaga ivyo
Yan ni sawa sawa na kumchukia mtu usiemjua au alokuzodi kiuwezo uwo ni uchawi na akuna kosa km kijana kua mchawi
ni mwenye kuamini nguvu za giza na mshiriki ushirikina ndie pekee wenye hulka kama huyo jamaa mtoa hoja 🐒
 
binafsi nakupenda mno gentleman, pamoja na wadau wengine wote muhimu sana wa humu JF, kwenye majukwaa mbalimbali hususani hili ambalo umetimia kutoa hoja na dukuduku lako la moyoni dhidi yangu na wengine ulowatag..

umechukua uamuzi muhimu sana wa kujitibu kijiba cha Roho, kongole sana aise, I hope utapata relief ya kipekee sana leo.....

ile ya muhimu zaidi ni kuheshimu haki na uhuru wa mawazo, maoni na mtazamo wa wengine. Na njia pekee kumudu mambo haya ni kuvumiliana, kustahimiliana na kua na subra ..
ni vizur kua na uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya dhana ya kukukubaliana kutokukubaliana...

hata hivyo ile jamii yako ya mihemko, ghadhabu na saa zingine waparomosha matusi hawajakuelekeza namna ya kuignore wanaokukwaza, ili usibabaike nao zaidi?🐒

hata hivyo ukifanya hivyo utajinyima na kujikosesha elimu, uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya masuala mbalimbali, Lakini pia sio mbaya na sio lazima ufahamu kila kitu humu JF...

by the way,
amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania, bila kujali dini, rangi, ukabila wala mirengo ya kisiasa ni matokeo ya uwekezaji mkubwa wa serikali sikivu ya CCM Dr Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha tunaipenda nchi yetu na tunaishi kwa upendo, umoja na mshikamano...

Tutaendelea kusema ukweli daima upende, usipende 🐒

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake 🐒
Naona leo Ban zinanitafuta kwa lazima, Mungu nipe uvumilivu
 
binafsi nakupenda mno gentleman, pamoja na wadau wengine wote muhimu sana wa humu JF, kwenye majukwaa mbalimbali hususani hili ambalo umetimia kutoa hoja na dukuduku lako la moyoni dhidi yangu na wengine ulowatag..

umechukua uamuzi muhimu sana wa kujitibu kijiba cha Roho, kongole sana aise, I hope utapata relief ya kipekee sana leo.....

ile ya muhimu zaidi ni kuheshimu haki na uhuru wa mawazo, maoni na mtazamo wa wengine. Na njia pekee kumudu mambo haya ni kuvumiliana, kustahimiliana na kua na subra ..
ni vizur kua na uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya dhana ya kukukubaliana kutokukubaliana...

hata hivyo ile jamii yako ya mihemko, ghadhabu na saa zingine waparomosha matusi hawajakuelekeza namna ya kuignore wanaokukwaza, ili usibabaike nao zaidi?🐒

hata hivyo ukifanya hivyo utajinyima na kujikosesha elimu, uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya masuala mbalimbali, Lakini pia sio mbaya na sio lazima ufahamu kila kitu humu JF...

by the way,
amani, utulivu na utangamano miongoni mwa waTanzania, bila kujali dini, rangi, ukabila wala mirengo ya kisiasa ni matokeo ya uwekezaji mkubwa wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu shupavu, Dr Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha tunaipenda nchi yetu na tunaishi kwa upendo, umoja na mshikamano...

Tutaendelea kusema ukweli daima upende, usipende 🐒

Mungu Ibariki Tanzania na watu wake 🐒
Mwanaume kuwa chawa ni Laana ila bado hujachelewa, Man Up.!!

Nyie ndo wale wanaume mnaowaonea gele watoto wa kike alioimba Harmonize
 
Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Wewe ni hasara kwa Taifa, ungekua Kenya saiv wale vijana wenye IQ kubwa kukuzidi wangeshakutungua huo mkia akili ikukae sawa, una bahati sikujui
 
Naona leo Ban zinanitafuta kwa lazima, Mungu nipe uvumilivu
sio ban,
leo umesahau au hujamuomba Mungu vizuri kabisa, ili kusudi akuonyeshe njia sahahihi na maneno mazuri ya kusema ndio maana una hofu na una matarajio ambayo siyo muhimu...

tunahitaji uendelee kuwepo humu ili kushirikishana mambo mbalimbali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi kulingana na tunavyoona yanaendeshwa vizuri sana na kiongozi wetu makini na mkuu wa nchi, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒
 
Hapa huwa tunapishana mitazamo tu na kila mtu ana kichwa chake jinsi anavoona huwez weka chuki kwa mtu usiyemjua
Kama huwezi kuweka chuki kwa mtu usiemjua basi huwezi kumkubali mtu usiemjua vilevile. I guess huzamagi huko pm kusumbua dada zetu
 
Ukichukiwa usichukie nisehemu pia ya maisha tu , mbona binafsi nakukubali na mada zako za hivyo hivyo tu, ila poa tu, mr 🐒
binafsi napendwa kuchukiwa kwasabb sintasahaulika hata nikitangulia mbele ya haki 🐒

hata hivyo,
siwezi mchukia mwana familia yoyote wa JF, platform ambayo naipenda, naiheshimu na kuikubali sana kwasabb yoyote ile. iwe nimetukanwa au kuitwa majina mabaya....

By the way uongozi ni jalala. Na kwahivyo mazuri na ya hovyo Lazima uwe na uwezo wa kuyabeba 🐒
 
Kama huwezi kuweka chuki kwa mtu usiemjua basi huwezi kumkubali mtu usiemjua vilevile. I guess huzamagi huko pm kusumbua dada zetu
Maisha n haya haya n kurelax na enjoy ukikaza fuvu kila wakat n kujitesa social media huku n kufurah
 
binafsi napendwa kuchukiwa kwasabb sintasahaulika hata nikitangulia mbele ya haki 🐒

hata hivyo,
siwezi mchukia mwana familia yoyote wa JF, platform ambayo naipenda, naiheshimu na kuikubali sana kwasabb yoyote ile. iwe nimetukanwa au kuitwa majina mabaya....

By the way uongozi ni jalala. Na kwahivyo mazuri na ya hovyo Lazima uwe na uwezo wa kuyabeba 🐒
Uongozi ni jalala kama utafanya mambo ya ovyo na kula mlungula ,na kukanyaga haki za wengine ,ila kama utasimama nafasi yako kama sauti ya wananchi , uongozi ni tunu kubwa sana na utakumbukwa kwa mema daima 🐒 .
 
Ipo siku utabubujikwa na machozi yasiyokatika ya Majuto ya kwanini ulinichukia mpaka kuniandika humu jukwaani kuonyesha chuki yako kwangu.Hii ni kwa kuwa mimi ni msema kweli Daima. wapo wengine walikuwa kama wewe lakini Mwisho wa siku baada ya kujuwa UKWELI walilia kilio kikali sana cha uchungu mpaka nguo zao zikaloa kwa machozi utafikiri walikuwa wanaoga na nguo vichakani
Eti ni kweli mama alisema yeye ameziba masikio akatoa mfano wa chura kiziwi.
 
Ughonile..

Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.

Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
Member yeyote mwenye mrengo wa chawa na wala kwa urefu wa kamba😩
 
Amehlo acha nisimuelezee sana Ila ni mzinguaji kichizi kwa wasiomjua ni Mfanyakazi wa JF, someone disclosure is going to ban me for more than six months but fine nipige ban, hizi sio Bangi maana hamchelewi
 
Back
Top Bottom