Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weweUghonile..
Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.
Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
.heeee kuna kutokukubaliana tena 😂
We mtotoCc hajari
Za masikuWe mtoto
🤣👊👊👊💪🤝🙏Binafsi namkubali sana huyu Genttleman Tlaatlaah .. Mi naamini Watu tunatofautiana Kifikra na Mitizamo...
Utofauti unaanzia kwenye Taharifa Tunazozipata au kuzifuatilia sana.. yaweza kua tulisikia pahala, au kuzisoma au pengine kuona kwa Macho yetu..
Kwahiyo kila mtu anatoa alichokiingiza sababu "Limjaalo mtu ndo limtokalo" .. Watu wawili hamuwezi mkawa mnataharifa zinazofanana, Kama zitafanana ni kidoga sana... Kwahiyo kupishana lazima kuwepo..
Tuelekezane kwasiri kama haiwezekani Tusameheane...
Tusilaumiane wala kuchukiana kwasababu kila mtu huzungumza kile moyo wake umemtuma, Wengine hutafuta tu Attention, Wengine hawana Taharifa sahihi, Wengine msongo wa mawazo, Hasira, Huzuni nk...
Tlaatlaah MFALME WETU MwashambwaBurton don't hate each other..
Nzuri hujambo wewe?Za masiku
Faaki youBinafsi namkubali sana huyu Genttleman Tlaatlaah .. Mi naamini Watu tunatofautiana Kifikra na Mitizamo...
Utofauti unaanzia kwenye Taharifa Tunazozipata au kuzifuatilia sana.. yaweza kua tulisikia pahala, au kuzisoma au pengine kuona kwa Macho yetu..
Kwahiyo kila mtu anatoa alichokiingiza sababu "Limjaalo mtu ndo limtokalo" .. Watu wawili hamuwezi mkawa mnataharifa zinazofanana, Kama zitafanana ni kidoga sana... Kwahiyo kupishana lazima kuwepo..
Tuelekezane kwasiri kama haiwezekani Tusameheane...
Tusilaumiane wala kuchukiana kwasababu kila mtu huzungumza kile moyo wake umemtuma, Wengine hutafuta tu Attention, Wengine hawana Taharifa sahihi, Wengine msongo wa mawazo, Hasira, Huzuni nk...
Tlaatlaah MFALME WETU MwashambwaBurton don't hate each other..
"ukichukiwa usichukie" hii imeenda.Ukichukiwa usichukie nisehemu pia ya maisha tu , mbona binafsi nakukubali na mada zako za hivyo hivyo tu, ila poa tu, mr 🐒
Nakubali mkuu ila ni mwokozi kwako kwangu noo😁"ukichukiwa usichukie" hii imeenda.
YESU NI BWANA&MWOKOZI
Member chawa wote.Ughonile..
Huu mtandao pamoja na kuwa naupenda ila kuna baadhi ya members wanaboa sana, unaweza kuingia humu kwa bashasha ila ukatoka na huzuni sababu ya members wachache vichwa panzi siku yako ikaharibika.
Kuna hawa chawa wa Bi Tozo wakiongozwa na Lucas Mwashambwa & Tlaatlaah , itoshe kusema nyie vima mnanikera sana na mada zenu za kichoko.
Alihamdulillah hatujamboNzuri hujambo wewe?