Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini sh 5 (dala) hujatumia.Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
Kama umewahi kuishi na Wakurya, utajua kabisa kuwa hapo ni Ukuryani (Tarime,Tz au Province fulani,Kenya).Hii itakua Uganda
Inqtegemea na mkoa mm mbeya nimetoka miaka ya 2010 chips inauzwa 200 sahani anakujazia na nyongeza
Hapo itakuwa Ukuryani. Pande za Tarime, Serengeti na Rorya.Enzi zetu[emoji48]
Karibuni customers, sema nikuletee nini.View attachment 2150162
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..🤣🤣🤣Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
[emoji23][emoji23][emoji23]JamiiForum likija swala la ukongwe, kila mtu ni mkongwe!
Likija swala la ujana, kila mtu ni kijana, tena balobalo.
Likija swala la hela, kila mtu ni dangote mdogo.
n.k
😁😁😁😁😁 DahKuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..🤣🤣🤣
Umejitahidi Ila mie nimetumia Senti 5, 20 Hadi senti 50 ambayo Ina sura ya mwinyi ilikuwa inatosha kununua bagia.Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
Clear bag hiyoKuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaaa gusesisye Loli...Enzi zetu[emoji48]
Karibuni customers, sema nikuletee nini.View attachment 2150162
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app