Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #61
Mimi ni zile enzi Mwinyi anaruhusu tuvae suruali wanafunzi wa sekondariallyhasan mwinyi anaruhusu watu wote watumie mafuta ya kimbo na kasuku kupikia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni zile enzi Mwinyi anaruhusu tuvae suruali wanafunzi wa sekondariallyhasan mwinyi anaruhusu watu wote watumie mafuta ya kimbo na kasuku kupikia..
Unajikutaga mtu mzima sana kumbe katoto kadogo... HahahahaDah umenikumbusha mbali kipindi kile nasoma ..chips sahani 300 nusu 250..hapo na maji ya pinquin 50..😂😂😂😂..
Wazee wenzangu mpooo!!!
Nilizaliwa wakati watu wanafulia majani ya mpapai kama sabuni
vilikuwa na umbo la bahasha, zilkuwa za plasticKuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mh...hapana aisee.Nilikuwepo enzi za soda sh 70
Kweli kabisaKutoka Singida kwenda Arusha na chombo inaitwa SAHIB tunatumia siku mbili zakutoshaa dah aisee tumetoka mbali af saiv ni mwendo wa saa 4 tu umetoboa
Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
Ulilipa ada shule ya msingi?Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
ikija kupiga kipara kila mtu ni fundi na anapiga para kuanzia lisaa kuendeleaJamiiForum likija swala la ukongwe, kila mtu ni mkongwe!
Likija swala la ujana, kila mtu ni kijana, tena balobalo.
Likija swala la hela, kila mtu ni dangote mdogo.
n.k