Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Marahaba binti mwenye baby face...😂😂😂😂 Smart nini lakini..basi shikamoo
Ila usisahau pia kumuamkia mwenye nyumba wako ili akupunguzie kodi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba binti mwenye baby face...😂😂😂😂 Smart nini lakini..basi shikamoo
Wa 2000 wewePilau la 200 kwa mama Haisa miaka hiyo nipo primary school.
Na hicho kibaby face ndicho kinachofanya unione Mimi Mdogo...sura tu hii Mimi mtu mzima huko😂Marahaba binti mwenye baby face...
Ila usisahau pia kumuamkia mwenye nyumba wako ili akupunguzie kodi...
Jitahidi utaufikia huo utu uzima...Na hicho kibaby face ndicho kinachofanya unione Mimi Mdogo...sura tu hii Mimi mtu mzima huko😂
😂😂 Nijitahidi mara ngapi..ndipo nilipo sasaJitahidi utaufikia huo utu uzima...
1. Kuzinduliwa kwa noti ya thamani kubwa kuliko zote: 'Masai' ya Sh. 100/- ikiitwa hivyo kwa sababu ilikuwa na picha ya Mmasai ameshika mkuki.
Dah umenikumbusha mbali kipindi kile nasoma ..chips sahani 300 nusu 250..hapo na maji ya pinquin 50..😂😂😂😂..
Wazee wenzangu mpooo!!!
Mkuu unamaanisha imezaliwa 2000?????Wa 2000 wewe
Hakika mpendwa,Kila bei hapo takribani imeongezeka sifuri na point juu!
We ukisoma enzi za jiji likiwa la MakambaSchool unavuta mihogo, chachandu kwa wiingi, unaishushia na juisi za SUNVITA kwa shilingi 50 tu, sijui kama zilipatikana tz yote.
Naenda skuli nauli sh 20 au 30 kama sikosei.We ukisoma enzi za jiji likiwa la Makamba
🤣🤣🤣 Zinakera kooni hatariUnaijua juice ya super deep wewe? Kipakti kimoja unachanganya ndoo nzima
Aisee hii imenikumbusha mbali
Nauli Sasa Ni 200!Maisha yanakimbiaNaenda skuli nauli sh 20 au 30 kama sikosei.