Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe yaonekana ni mkongwe pia, hizo tumezipanda late 70's to early 80's. Kwenye late 80 nadhani alianza kuleta zisizo na carreer juu.
Bela mnyakwiya napo wi mnya kwipogolo muyanguUlanzi (mtogwa) ilikuwa ndio soda kwani ilihifadhiwa kwenye chupa za soda... tulinunua kwa senti....kamwene nyelaga...
Tupo ,nimetunia nikiwa STD 3Kuna raia wametumia sumni humu?
Sisi tuliotumia hela za mwingereza tunaruhusiwa kukomenti?Umejitahidi Ila mie nimetumia Senti 5, 20 Hadi senti 50 ambayo Ina sura ya mwinyi ilikuwa inatosha kununua bagia.
Shilingi 5 unanunua bagia 10 za home kabisa
Hii ni 1993-1995 la 5 B sijaona vibama vya mama Gwantwa hapo Masebe P/R School
Nyie sasa mlee wajukuuSisi tuliotumia hela za mwingereza tunaruhusiwa kukomenti?
Na likija suala la uzinzi kila mtu ni mzinzi na ule uzi wao pendwa....JamiiForums likija swala la ukongwe, kila mtu ni mkongwe!
Likija swala la ujana, kila mtu ni kijana, tena balobalo.
Likija swala la hela, kila mtu ni dangote mdogo.
n.k
Niko dar toka kipindi stendi ya mkoa ipo