Bila kutaja miaka yako, tuambie una umri gani

Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
Kuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..🀣🀣🀣
 
JamiiForums likija swala la ukongwe, kila mtu ni mkongwe!

Likija swala la ujana, kila mtu ni kijana, tena balobalo.

Likija swala la hela, kila mtu ni dangote mdogo.

n.k
 
JamiiForum likija swala la ukongwe, kila mtu ni mkongwe!
Likija swala la ujana, kila mtu ni kijana, tena balobalo.
Likija swala la hela, kila mtu ni dangote mdogo.
n.k
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna vile vibeg Kama nailoni ngumu..ukivifunga vinalia "taap"..ukibeba unavipachika kwapani..🀣🀣🀣
😁😁😁😁😁 Dah
 
Nimetumia Tsh 20, Mia 2 ya Noti, Vibegi vya Spoti, La saba nimevaa kiatu Four Engo,
Umejitahidi Ila mie nimetumia Senti 5, 20 Hadi senti 50 ambayo Ina sura ya mwinyi ilikuwa inatosha kununua bagia.

Shilingi 5 unanunua bagia 10 za home kabisa
 
Nilikuwa nikilipa Tsh 5/= mimi na mabaharia wangu tulikuwa tunakabidhiwa sufuria la kapile(Mihogo iliyopikwa na kuungwa nyanya) tujiburudishe.

NB:Yule anayejiita Dokta Mihogo akasome kwanza.Tupo Madokta Mihogo wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…