Bila Magufuli SGR isingekuwepo

Bila Magufuli SGR isingekuwepo

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
1,350
Reaction score
1,464
Jana Mh Alisema sababu ya kuendelea na mradi wa SGR ni " tumetumia hela nyingi tayari, tukiuacha sasa hivi tutakua tumetupa hela".

Kwa maana hiyo mradi ule hauna sababu ya kiuchumi kuwepo, unamaliza hela tu.

Kama Mh mama angelikua rais tokea mwanzo mambo ambayo angefanya ni kupandisha vyeo watumishi, kusafiri kuomba mikopo na kujenga madarasa kama JK.

Mambo makubwa makubwa kama kuvuta maji kutoka victoria, umeme wa Nyerere na Ndege wala asingeyagusa.
 
Kwa hiyo ndio tuseme bila Nyerere Tanzania isingepata Uhuru.
Harakati za uhuru zilianza mwishoni mwa 1800s na akina mkwawa, milambo n.k ikaja na maji maji na kuendelea kipindi chote hicho hatukupata uhuru, 1960 ndio tulipata.
 
Jana Mh Alisema sababu ya kuendelea na mradi wa SGR ni " tumetumia hela nyingi tayari, tukiuacha sasa hivi tutakua tumetupa hela".
Kwa maana hiyo mradi ule hauna sababu ya kiuchumi kuwepo, unamaliza hela tu.
Kama mh mama angelikua rais tokea mwanzo mambo ambayo angefanya ni kupandisha vyeo watumishi, kusafiri kuomba mikopo na kujenga madarasa kama JK.
Mambo makubwa makubwa kama kuvuta maji kutoka victoria, umeme wa Nyerere na Ndege wala asingeyagusa.
Nyumbu watakupopoa mawe wakati hata kuhamia Dodoma tu iliwashinda kwa miaka 40
 
Jana Mh Alisema sababu ya kuendelea na mradi wa SGR ni " tumetumia hela nyingi tayari, tukiuacha sasa hivi tutakua tumetupa hela".
Kwa maana hiyo mradi ule hauna sababu ya kiuchumi kuwepo, unamaliza hela tu.
Kama mh mama angelikua rais tokea mwanzo mambo ambayo angefanya ni kupandisha vyeo watumishi, kusafiri kuomba mikopo na kujenga madarasa kama JK.
Mambo makubwa makubwa kama kuvuta maji kutoka victoria, umeme wa Nyerere na Ndege wala asingeyagusa.
Tatizo lako ni kutofuatilia mambo yanavyoenda kwenye jumuia ya Afrika Mashariki, ujenzi wa reli hiyo uliamuliwa na nchi za jumuia, hata hivyo Kenya najua utabisha wao walikwisha ijenga.
 
Jana Mh Alisema sababu ya kuendelea na mradi wa SGR ni " tumetumia hela nyingi tayari, tukiuacha sasa hivi tutakua tumetupa hela".

Kwa maana hiyo mradi ule hauna sababu ya kiuchumi kuwepo, unamaliza hela tu.

Kama Mh mama angelikua rais tokea mwanzo mambo ambayo angefanya ni kupandisha vyeo watumishi, kusafiri kuomba mikopo na kujenga madarasa kama JK.

Mambo makubwa makubwa kama kuvuta maji kutoka victoria, umeme wa Nyerere na Ndege wala asingeyagusa.
Huyo JPM mwenyewe kama angeingia madarakani miezi 6 baadae angekuta ujenzi umeshaanza kwa sababu wakati anaingia madarakani alikuta hatua za mwanzo zote zimeshakamilika, na kulikuwa na kila dalili Mchina ndie angepewa tenda ya ujenzi!! Kaa ukifahamu mradi wa bandari ya Bagamoyo ulikuwa unaenda sambasamba na SGR. Aidha, kulikuwa na mpango wa kuinganisha East Africa na Reli.

Halafu ina maana unataka kutuambia JPM ndie rais wa kwanza kuvuta maji ziwa viktoria, au unamaanisha nini?
 
Jana Mh Alisema sababu ya kuendelea na mradi wa SGR ni " tumetumia hela nyingi tayari, tukiuacha sasa hivi tutakua tumetupa hela".

Kwa maana hiyo mradi ule hauna sababu ya kiuchumi kuwepo, unamaliza hela tu.

Kama Mh mama angelikua rais tokea mwanzo mambo ambayo angefanya ni kupandisha vyeo watumishi, kusafiri kuomba mikopo na kujenga madarasa kama JK.

Mambo makubwa makubwa kama kuvuta maji kutoka victoria, umeme wa Nyerere na Ndege wala asingeyagusa.
Acheni kumkufuru Mungu. Kikwete alisaini mkataba na Wachina kujenga hyperloop kwenda Kigoma?
 
SGR idea ilianza wakati wa Kikwete consult your records right sema ujenzi ndio uliwekwa kipaumbele na ukaangukia wakati wa Magufuli.
Tena sio idea tu! Endapo Kikwete angekaa madarakani miezi 6 zaidi, ujenzi ungeanza awamu yake kwa sababu almost kila kitu kilishakamilika, na Mchina alikuwa tayari kujenga reli kwa sababu Mradi wa Bandari ya Bagamoyo usingekuwa feasible bila SGR!
 
Tena sio idea tu! Endapo Kikwete angekaa madarakani miezi 6 zaidi, ujenzi ungeanza awamu yake kwa sababu almost kila kitu kilishakamilika, na Mchina alikuwa tayari kujenga reli kwa sababu Mradi wa Bandari ya Bagamoyo usingekuwa feasible bila SGR!
Ni kweli na alipoingia Magufuli akamfukuzamchina akawapa waturuki baada ya Ile team ya waziri Mkuu wa uturuki kuja Tanzania wakamtoa ndimu msukuma.
 
SGR idea ilianza wakati wa Kikwete consult your records right sema ujenzi ndio uliwekwa kipaumbele na ukaangukia wakati wa Magufuli.
The idea is not an issue, what matters is the desire to implement ideas, imagine idea ya bwawa la Rufiji imeexist for more than 30 years bila kutekelezwa, nani tumpe credit Kati ya Marais watano waliopita?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Tuwekee records hizo mkuu kama hutojali. Maana wengine hutukubahatika kuziona wala kuzisikia.
Soma hapa: Tanzania awards $9 bln rail projects to Chinese companies

Habari inaanza kwa kusema: "
Transport Minister Samuel Sitta told parliament on Saturday a Chinese consortium had been awarded a contract to build a 2,561 km (1,536 miles) standard gauge railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbours at a cost of $7.6 billion."

Nadhani unafahamu Samuel Sitta alikuwa waziri wa tranport awamu gani.
 
The idea is not an issue, what matters is the desire to implement ideas, imagine idea ya bwawa la Rufiji imeexist for more than 30 years bila kutekelezwa, nani tumpe credit Kati ya Marais watano waliopita?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Ilikuwa ni zaidi ya idea. Soma hapa chini-

"DAR ES SALAAM, May 31 (Reuters) - Tanzania has awarded contracts to build new railway lines worth about $9 billion to Chinese firms, its transport minister said, expanding Beijing’s presence in East Africa’s second-biggest economy.

Transport Minister Samuel Sitta told parliament on Saturday a Chinese consortium had been awarded a contract to build a 2,561 km (1,536 miles) standard gauge railway connecting Dar es Salaam port to land-locked neighbours at a cost of $7.6 billion.
"

Kwa kifupi taratibu zote zilishakamilika na ndo maana JPM alipoingia tu, akaanza ujenzi moja kwa moja! Alichofanya JPM ni kumpiga chini Mchina na akampa Mturuki.
 
The idea is not an issue, what matters is the desire to implement ideas, imagine idea ya bwawa la Rufiji imeexist for more than 30 years bila kutekelezwa, nani tumpe credit Kati ya Marais watano waliopita?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
There was a desire pia, Magufuli ameingia madarakani akakuta tayari kulikuwa na maongezi yalikuwa yanaendelea kati ya serikali yetu na wachina lakini alipoingia Magu akawafukuza Jambo ambalo lilisababisha kutetereka kwa mahusiano kati ya nchi hizi mbili.

So there was a deaire
 
Back
Top Bottom