Na ni mjinga tu ndie anaweza kusema kama sio JPM basi SGR isingejengwa wakati JPM kaingia madarakani kakuta taratibu karibu zote zimeshakamilika!Aliyesain mkataba na waliojenga reli, mnhp ni kikwete ama magufuli?. Ni mjinga tu ndo anaweza kubeza kazi nzuri alizofanya magufuli. Nawaacha mbishane ila wenye akili tunajua kila kitu