Bila Maxi Nzengeli, Yanga haiwezi kushinda kirahisi

Bila Maxi Nzengeli, Yanga haiwezi kushinda kirahisi

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
 
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
Asubuhi unawaza mpira we ni janga la taifa
 
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
Kesho mtasema bila mashabiki haiwezi kushinda, kesho kutwa mtakuja kussma wachezaji wao wakicheza bila viatu hawawezi kushinda.
Jadili ubora wa Max, usilete ngonjera za eti bila ya Max,, basi kawasifu waliomsajili na wanaompanga
 
Kesho mtasema bila mashabiki haiwezi kushinda, kesho kutwa mtakuja kussma wachezaji wao wakicheza bila viatu hawawezi kushinda.
Jadili ubora wa Max, usilete ngonjera za eti bila ya Max,, basi kawasifu waliomsajili na wanaompanga
Bila Nzengeli, "kwa sasa" Yanga haitoboi😃😄😆
 
Nmeona umeandika ujingaujinga nilikuwa napita tu
Wapitaji hawawi kama wewe. Mtu siriasi hasemi walichoandika wenzie kwenye forum halali ni ujinga ujinga.

Ni sawa uende kwenye forum ya "chit chat" halafu useme mbona watu wanaandika mambo ya vichekesho.

Kutokujua kazi za hizi forums ndiko kunakufanya wewe uonekane kuwa hauko siriasi.
 
Wapitaji hawawi kama wewe. Mtu siriasi hasemi walichoandika wenzie kwenye forum halali ni ujinga ujinga.

Ni sawa uende kwenye forum ya "chit chat" halafu useme mbona watu wanaandika mambo ya vichekesho.

Kutokujua kazi za hizi forums ndiko kunakufanya wewe uonekane kuwa hauko siriasi.
Mesage sent
 
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
Maaaaskini Kolo, Pole sana 🤣🤣🤣🤣

Hatukuwatuma mkasajili Wachezaji 17 halafu bado mnatunguliwa kila siku maskini🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom