Bila Maxi Nzengeli, Yanga haiwezi kushinda kirahisi

Bila Maxi Nzengeli, Yanga haiwezi kushinda kirahisi

Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-312072181.jpeg
.
 
Tanzania kwa kupenda kukuza wachezaji, Mimi namuona mchezaji wa kawaida sana tu maana tumuhukumu kwa statistic zake, ni mchezaji tu anafit kwenye team ya watu 11 lakini hana kitu special tuanze kumuimba. Haya ni kama ya Fey Toto ni mchezaji tu wa kawaida hakuna kitu special lakini tukianza kusifia watu kama hakuna Tv tungeanza kuwafikiria wanaweza kucheza hata EPL au Spain. Hawa hapo Saudia tu hawachukuliwi.
 
Yanga wana tabia ya kuwasifia wacheza sindimba wao, lakini mchezaji wa maana anayeifanya Yanga iwe inashinda kwa sasa ni Maxi Nzengeli.

Hao wacheza sindimba kina Chama, Ki na Pacome wanakuzwa tu na walanguzi wa habari za michezo bongo.

Maxi Nzengeli asipocheza, Yanga huwa inapwaya Sana.
Mfano mech ya juzi asingecheza yanga wangefungwa
 
Tanzania kwa kupenda kukuza wachezaji, Mimi namuona mchezaji wa kawaida sana tu maana tumuhukumu kwa statistic zake, ni mchezaji tu anafit kwenye team ya watu 11 lakini hana kitu special tuanze kumuimba. Haya ni kama ya Fey Toto ni mchezaji tu wa kawaida hakuna kitu special lakini tukianza kusifia watu kama hakuna Tv tungeanza kuwafikiria wanaweza kucheza hata EPL au Spain. Hawa hapo Saudia tu hawachukuliwi.
Una hoja lakini siyo muafaka Kwa mada hii.

Kuna mahali nimesema Nzengeli anaweza kuchezea timu nyingine zaidi ya hii?

Halafu viwango hupimwa kutokana na uhusika wa kitu/jambo. Tunapozungumzia Simba na Yanga ni timu kubwa Tanzania hatuwezi kuzilinganisha na timu za Ulaya.

Nzengeli kwa wachezaji waliopo Yanga ndiye mchezaji muhimu zaidi kwa sasa kuliko hao kina Ki, chama na Pacome wanaosifiwa na wana Yanga.
 
Una hoja lakini siyo muafaka Kwa mada hii.

Kuna mahali nimesema Nzengeli anaweza kuchezea timu nyingine zaidi ya hii?

Halafu viwango hupimwa kutokana na uhusika wa kitu/jambo. Tunapozungumzia Simba na Yanga ni timu kubwa Tanzania hatuwezi kuzilinganisha na timu za Ulaya.

Nzengeli kwa wachezaji waliopo Yanga ndiye mchezaji muhimu zaidi kwa sasa kuliko hao kina Ki, chama na Pacome wanaosifiwa na wana Yanga.
Ok mimi sikutaka kufananisha na huko nje lakini unawasikia wasemaje rasmi saa nyingine, huyu anafaa kuwa Man u, huyu Real anacheza na juzi mpaka radio moja mchambuzi anasema kina Rudiger na Millito ile mechi ya Barca na Real wangecheza Job na Baca wasingeruhusu ma goal, hao wanaongea radioni sio kwenye kahawa.

Turudi kwenye mada bila ushabiki, mimi kwa maoni yangu team hizi mbili hakuna mchezaji akakosa mechi pengo likaonekana moja kwa moja ila tu kama kuna takwimu zinaonesha mechi 3 alikosekana fulani team haikuweza kupata matokeo au fulani kaumia pengo gumu kuziba. Ikitokea mchezaji kaaumia team ikalazimika kubadili mfumo kwa ajili ku cover nafasi yake hapo nitasema huyu bora kuliko huyu. Wachezaji wote wanalingana sana hakuna anayebeba wenzake wakiwa team inapata shida.
 
Back
Top Bottom