Bila mkataba na kampuni ya uwindaji Ortello kuvunjwa hapatakua na amani Loliondo

Bila mkataba na kampuni ya uwindaji Ortello kuvunjwa hapatakua na amani Loliondo

Mbona mwenzenu sioni mkataba wa mleta mada...
 
Naona ma puppet wa wakenya mmekuja kwa kasi kupigania masilahi ya bwana zenu (wakenya) wafugaji wanaovuka boda kuja kulisha mifugo yao katika ardhi ya Tanzania kwa kisingizio cha ujirani mwema na wengine uraia wa mchongo. Safari hii hatuwezi kukubali kuendelea kuwa shamba la bibi anymore. Serikali iendelee na oparation yake endelevu hadi hao wafugaji ambao wengi wao wana asili ya Kenya waombe poo. Sijawahi kuona mkenya anasimama na Tanzania kwa kisingizio cha utofauti wa kisiasa uliopo kwao. Ila kwa Tanzania ni kawaida wakenya kuwatumia watanzania watakavyo kwa masilahi yao, kupitia mgongo wa siasa uchwara za majitaka.
Nitakuunga mkono kama kweli ni wakenya.
Nitawalaumu serikali kwa kushindwa kulinda mpaka wetu hadi kuingiliwa na watu toka nje ya nchi.
 
Nitakuunga mkono kama kweli ni wakenya.
Nitawalaumu serikali kwa kushindwa kulinda mpaka wetu hadi kuingiliwa na watu toka nje ya nchi.
Mkuu fahamu kwamba serikali ni watu kama mimi na wewe. Serikali sio Mungu mwenye uwezo wa kuona kila kitu kinachofanyika hapa chini ya mgongo wa dunia. Hata Marekani taifa kubwa kwa kila kitu ikiwemo vyombo vya usalama, teknolojia, migration bora nk, lakini kuna wahamiaji maelfu na maelfu wanaoingia nchini humo bila vibali na kufanya kazi mbali mbali bila serikali kuwajua. Lakini pia nchi hiyo kubwa duniani pamoj na kuwa na ulinzi mkubwa ndan ya mipaka yao, ila bado kuna raia kutoka Mexico, Venezuela na nchi zingine za Amerika ya kusini wanaingiza madawa ya kulevya kwa njia wanazojua wao na kuziuza nchini humo bila wengi wao kukamatwa. Sembuse nchi changa kama Tanzania. Ukweli ni kwamba Wakenya wametumia muingiliano uliyopo mipakani kupenyeza watu wao kwa ajili ya masilahi yao. Hii ipo hata kwa nchi za mbele mfano nimekupa USA, M23 kutumiwa kule Congo kwa masilahi ya Rwanda nk. Kwa wenzetu Wakenya swala linapofikia hivi wote wanakuwa upande wa serikali, lakini kwa sisi watanzania lazima utakuta kuna baadhi yetu watawatetea wakenya kupitia mgongo wa wamasai wazawa kama tunavyoona sasa hivi.
 
Hawa waarabu huwa wanatafuta marafiki zao katika imani ili wapenyeze huu ujinga wao, na kwa ubinafsi wa hao watawala huwa wanaungana nao kutaka kutengeneza watumwa ndani ya nchi yetu.

Hili tatizo huwa linajirudia kwasababu tunaoneana aibu, hatuambiani ukweli, dawa ni kulelezana ukweli ili waijue hali halisi, tusikubali kuchezewa na kikundi cha wachache.

Hawa watu wakemewe sana, kuwapa hao waarabu hilo eneo ni kuudharau utu wetu, kudharau rasilimali za taifa letu, na zaidi kuidharau ardhi tuliyopewa na Mungu.

Ogopa sana pale panapokuwepo na hali kama hii katika taifa lakini bado utaona kuna wanasiasa wako kimya, wanajidai hawaoni tatizo lolote, hawa wanafiki ni maadui wa watanzania, wameweka maslahi yao mbele zaidi ya wengine wote.
Vuta hisia, pitia kumbkumb, chakata mtiririko wa maamuzi na mahusiano ya kisiasa, kijamii, kiuongozi ...nk. nani players ktk hili!
Taarifa zlizoko znazo trend ni uwepo kw kampuni inoitwa Ortelo, Wakenya flani, Serikali au watu wanao fadhili uhamisho wa "wafugaji" kuhama kwa kuwajengea makazi mapya kule Handeni, Wafugaji wasotaka kuhama toka maeneo yao waloyazoea na serikali inayosimamia mchakato mzima.
Kisha pitia majina Ya wanofanya au walofanya hili grudumu liznguke kuanzia mwanzo wa mggoro hadi ulipofikia, huenda pcha flani ikajtokeza...nk.

Mbunge 1 toka kusini kachambua vzr, kwamba sheria zmetungwa kuhudumia watu, sio vingnevo, kwamba watu kuitmikia sheria tofauti na inavofanyika-kwamba pale idadi ya wanyama pori inapokuwa imezidi sana hadi kuleta madhara kw binadamu, watu wawapishe wanyama.

Kuna taswira tunaletewa ya kuonyesha kuwapenda wafugaji na kuwajengea makazi mapya, kwamba ndivo watakavofanyia wengne wote watakaoathirika watakapovamiwa na wanyama na huenda hayo pia yatakua kwa mjib wa sheria, isiwe kw wafgaji tu, yaani hkna double stds. Ni jinsi gani hao players ktk hili sakata watavoonyesha kwmb wamefanya hili kw nia njema bila makandokando yyte ni mtihani mkubwa - dalili zmeanza kjitkeza
za klazmishana. Tumeshaskia kna askari keshapoteza maisha ktk kutekeleza "uzalendo wake"! Kuna kiasi flani pia cha damu ya waTz imeonekana imemwagika. Haya mambo yana tabia ya kujaza vinyongo. Tuwe macho, tuwe wawazi watu wajue kinachoendlea tufanye maamuzi yenye kumtukuza Mungu
 
Back
Top Bottom