Bila Rais Samia kuwadhibiti Mahakimu na Majaji pesa nyingi za umma zitaibiwa na watumishi mafisadi watashinda kesi kirahisi

Ungeweza pia kuchangia vizuri bila kutukana na kuni-attack personally.

By the way nimejaribu ku-share ninachokifahamu kuhusina na mfumo wa sheria na Mahakama Tanzania.
Aliye kuambia na kukufundisha upuuzi kuwa sheria mean " perfect " huyo ni mpumbavu haswa
 

Unaongea ukweli ambao ni theoretical Wala sio practical
 
Kitendo cha jaji kutoa hukumu nusu bila order kilikuwa ni cha kiuoga na kujipendekeza kwa mwenye nchi, na hii ndio sababu akazawadiwa ujaji wa mahakama ya rufaa na yule aliyefurahia kazi yake.

Suala la mahakama kunipa ambacho sikuiomba hilo sijalizungumzia popote, ndio maana nikakupa mfano wa kesi ya mkataba wa DPW kukuonesha vile mahakama unauoiamini ndio iliyoshindwa kutoa kile ilichoombwa, ikaamua kuwa bubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…