kila mtu huwa naona jinsi barca inavyopwaya kama messi hayupo alafu leo unaleta hoja kuwa sijui akina inesta yawezekana ni kweli messi anawategemea wachezaji uliowataja lakini sio sana kama ambavyo wao wanamtegemea messi hvyo ukitaka kuweka hitimisho hao wachezaji ndio wanamtegemea messi kuzidi yy anavyowategemea.
pili insu ya kukaba utakuwa unasimsingia messi ni tofauti na ma forward wengine kama Ibra,CR7 messi anakaba na mara nyingi huwa anatoka na mpira nyuma kabisa kutokana na uwezo wake wa kupiga chenga hiyo ina mpa advantage tofauti na wenzake
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti kikombe cha la ligaNi maoni yake ndugu...msimu uliopita messi alikaa nje sana ila bado Neymar na Suarez walisaidia timu mpaka ikabeba kikombe cha laliga.
Ushindi unakua mgumu kwa sababu timu imeundwa kupitia Messi
Aliwahi kuhojiwa Ivan Rakitic Mchezaji wa Barcelona mzaliwa wa Croatia akakiri hakuna kazi ngumu kama kucheza na Wachezaji aina ya Messi,Neymar na Suarez
Ugumu wake wachezaji wa aina hiyo siyo wakabaji ivyo inabidi uzibe yale mapengo yao ili timu isilemewe na timu pinzani hivyo inakubidi uzunguke uwanja mzima kuziba yale mapengo yao..
Naimani hata Messi akisifiwa anaweza kukataa na badala yake akaelekeza sifa kwa wachezaji wenzake.
Hivyo tunavyompa sifa Messi tukumbuke hao wachezaji..
ivan rakitic alikua sevilla mbona hakumfanya Jose Antonio Reyes kuwa mfungaji bora la liga ??View attachment 422083 sio maneno yangu ya Rakitic ayo
haya kashasema unachotaka ni nini ?Amesema sio rahisi kucheza na messi na sio kutoa pasi za mwisho.
Anazungumzia kulinda timu.
Taarifa ya nini weweDaa nimeleta taarifa ndugu...hakuna ninachotaka kabisa.
Aya tufanye hajasema au kasema kucheza na messi ni kazi rahisi mnoo
Yaishe.
Sio kauzu fcTaarifa ya nini wewe
kama rakitic anaona anaonewa fcb atafute timu nyingine aje hata abajalo fc acheze ndondo cup