ACHA KUMFANANISHA MESSI NA VITU VYA KIJINGAEbu fananisha mafanikio aliyonayo kupitia timu ya taifa na yale ya klabu....
Tena nikienda mbali...kucheza klabu moja karibu na zaidi ya wachezaji sita uliokua nao kisoka timu moja, ambao kimsingi ni bora(viungo) kumechangia sana yeye kuwa hapo alipo.
Ibrahimovic na CR7 ni mfano wa watu wenye mafanikio makubwa sana kwa upande...kumzidi Messi ambaye kimsingi anabebwa na mengi
Cr7 the best player everall time la liga top scorer Messi
all time la liga top assister Messi
Kwani Messi anacheza Basketball ?Cr7 the best player ever
kubishana na ww ni sawa na kujamba ushuzi kwenye upepo! mi nimekuuliza swali hujibu unakimbilia spelling error!.nimekuuliza duniani kote kwa nini hawaoni umuhimu wa magoli keeper,ma beki na viungo hadi wawasifu ma forwad,na sio kuwasifia tu nakuwapa tuzo mbalimbali??? au unadhani wao ni majinga?? kwani kwa nini hawaoni kuwa modric ndio mambo yote wamuzawadie tuzo na wamuache CR7,kwa nini wasimpe iniesta na sergio na wamuache messi??? au unadhani wachambuzi,wachezaji,ma kocha wote ambao wanapiga kura za kuchagua mchezaji bora sio hawaoni uwezo wa hao viungo??Mabeti-Mabeki...nimekuelewa Ndugu
Ila Rakitic angeweza kusoma izi koment nahis angejifunza kitu.
View attachment 422171
Kumbe bado hujapona ugonjwa wa vipele....Ahahahahahahahaha sikutegemea saa sita hii usiku ningecheka kama hivi.
Sasa unasifia nini kwa MESSI kama kufunga ndo jukumu lake? Kama mchezeshaji alikuwa XAVI....unakataa nini kuwa MESSI bila mchezeshaji hamna kitu? Au nafasi zote tatu ulizotaja anacheza yeye???Wewe dogo upo mtupu kabisa ktk suala la soka, hivi ushawahi kucheza mpira? Kama umewahi bila shaka umeishia cha ndimu tu na sio vinginevyo.
Ngoja nikupe fact uonde ujinga akili mwako. Mimi nimecheza mpira ila kutokana na sababu za hapa na pale ikabidi niache.
Umesema Sergio ndio mtibuaji mipango kwa Barca, na ukasema pia Pogba kutopewa jukumu la kukaba kumemfanya afanyw vyema.
Mdogo wangu, katika timu kuna watu WATATU (3).
1. Mkabaji
2. Mchezeshaji na
3. Mfungaji
Timu yoyote inapoingia uwanjani lazima hawa watu wawepo, kama una wakabaji wawili lazima mmoja ndo atakuwa master, na kwa mchezeshaji hivyo hivyo na kwa mfungaji hivyo hivyo.
Mfano, kwa kuwa umeitaja Barca na mimi nitatolea mfano Barca hiyohiyo. Kabla ya Rakitic kulikuwa na Xavi, Iniesta na Sergio. Suala la ukabaji wa Timu kwa ujumla ni la Sergio, Iniesta ni kiungo mchezeshaji na mshambuliaji ila suala la kuchezesha timu lilikuwa chini ya Xavi na ufungaji lilikuwa ni la Messi.
Sasa ww unashangaa nini Sergio kuwa ndo mtibuaji wakati ktk timu hilo ndo jukumu lake!? Ni sawasawa na kushangaa kipa kudaka wakati ndo jukumu lake uwanjani, kuzuia mpira usiingie golini.
Kweli kabisa, aangalie stats zinaonyesha Argentina ikicheza bila messi results zake ni zipi so messi ana impact sana, sio mtu wa mchezo mchezowe nae inaongea vitu gani mbona messi akiwa hayupo uwanjani ushindi wa barcelona unakuwa mgumu sana na mara nyingi huwa wanakuwa na wakati Mgumu! alafu acha kumfananisha messi na akina CR7 sio level zake messi level zake ni akina gaucho na maradona...tena koma kumfananisha mess na vitu vya kijinga
Unaona ambavyo huangalii mpira vizuri ,, rudia kuangalia utaona kwamba messi alichukua mpira aka dribble , akapitisha mpira kati ya beki akakimbia kusubiri arudishiwe , akiwa katikati ya watu wawili tena anawaacha na kuchukua mpira uliorudishwa na kwenda kufunga .... Huu ndo uchezaji wa messi wa kila siku kwa hiyo ile move nzima ilianzia kwakeNliangalia mpaka Jerald pique akitolewa nje kwa majeraha barca akiongoza kwa moja mfungaji messi baada ya fernadihno na kuslide na messi kumlamba chenga bravo.
After mechi napenda kuangalia performance ya kila mchezaji out of 5 messi alipata zote 5
Messi ni mchezaji bora Swali je aliyesema rakitic yanaukweli?
Daa mpaka apo mkuu bado unabisha tu na maelezo yote aya Messi alichukua mpira akadriblle kuanzia upande wa chini kuingia kati beki za manchity zikajichanganya Neymar akiwa karibu na goli ndipo messi akafungaUnaona ambavyo huangalii mpira vizuri ,, rudia kuangalia utaona kwamba messi alichukua mpira aka dribble , akapitisha mpira kati ya beki akakimbia kusubiri arudishiwe , akiwa katikati ya watu wawili tena anawaacha na kuchukua mpira uliorudishwa na kwenda kufunga .... Huu ndo uchezaji wa messi wa kila siku kwa hiyo ile move nzima ilianzia kwake
Fainali makombe mawili ya Mabara Amerika Kapoteza Messi akiwa NdaniKweli kabisa, aangalie stats zinaonyesha Argentina ikicheza bila messi results zake ni zipi so messi ana impact sana, sio mtu wa mchezo mchezo
Yote hayo niya Messi ila tuwasifu na wale wanaomtengenezea...Usibishe sana. Fanya yafuatayo utapata jibu. Kamuulize mwenyekiti wa barcelona nani mchezaji bora duniani na katika barca? Nenda website ya fifa kangalie nani mchezaji bora duniani hadi sasa? Na nani kachukua tuzo zaidi ? Ni nchi ipi ni namba moja rank ya fifa na captain wake nani? Nani mfungaji wa kihistoria barca na laliga? Na ukitaka kuhakikisha zaidi nenda kwenye jiji la barcelona kamtukane messi uone utatoka salama? Ushahidi zaidi ni huu hapa umeamua kumwongelea messi kwa nini? Na la mwisho sijibu tena kuna wachezaji wazuri wengi duniani illa kuna kutofautiana - kama ni suala ni soka soka ni nzuri messi akicheza. Ni wakati wa messi furahia soka.
Anza na magolikipa kipindi iker Cassilas yuko kwenye fomu yake watu wakahoji kwann apewe forward aachwe golikipa likewise to Buffonkubishana na ww ni sawa na kujamba ushuzi kwenye upepo! mi nimekuuliza swali hujibu unakimbilia spelling error!.nimekuuliza duniani kote kwa nini hawaoni umuhimu wa magoli keeper,ma beki na viungo hadi wawasifu ma forwad,na sio kuwasifia tu nakuwapa tuzo mbalimbali??? au unadhani wao ni majinga?? kwani kwa nini hawaoni kuwa modric ndio mambo yote wamuzawadie tuzo na wamuache CR7,kwa nini wasimpe iniesta na sergio na wamuache messi??? au unadhani wachambuzi,wachezaji,ma kocha wote ambao wanapiga kura za kuchagua mchezaji bora sio hawaoni uwezo wa hao viungo??
ukijibu haya maswali ndipo utajua ulichokiandika hakina mantiki
Mabara kafanya nn fainali zote kafungwa na chile ya akina Vidal/SanchezMessi alishawahi kupiga chenga beki Zote za Madrid na kwenda kufunga pale timu ilipozidiwa ,,, kafanya hivi mara nyingi sana ! Na mda mwingi anakuwa nyuma ya mshambuliaji , amecheza na forwards kama etoo , ibrahimovic , Henry lakini wote wanajua .. kwa maneno yake Henry alishasema kuna kipindi alizidiwa na messi akamwambia nipe huo mpira nikafunge na ikawa hivo ,, buesquet pia ishamtokea hii tena wakicheza na mabeki wakali. Rudi angalia world cup , angalia mabara utajua messi ndo Argentina
Nimecheza sana na bado nacheza namba 6 hakuna ugumu nakutana nao kama pale forward wanaposhindwa kukaa na mipira au kukaba kila dakika mpira unachezewa kwenye zone yenu.sasa ww jamaa point yako ni nini unataka modric azungumzwe ili iweje,ww ukiona ronaldo ndio anyezungumzwa kuzidi huyo modric jua fika majukumu ya ronaldo ni makubwa kuzidi ya huyo modric ndio maana hazunhumzwi! au ww unadhani kufunga ni kazi rahisi,mbona ma goal keeper wanaokoa mipira sana lakini bado sifa zote hupewa ma forward na hii ni duniani kote!au unadhani watu dunia nzima kuwapa sifa ma forward na kuwaacha wechezaji wengine kama ma goal keeper,mabeti na viungo ni wajinga!.sijui kama umisha wahi kucheza mpira ww unadhani kazi ya kufunga ni kazi rahisi eeh.
Kaka, we kama mwanamichezo angalia the way anavyokuwa devoted kwa team, pia he created so many chances za kufunga but anakuwa disappointed na team mates mfano, higuan, lavezi wanakosa magoli ya wazi created by messi ambayo hata wewe ungefunga.Fainali makombe mawili ya Mabara Amerika Kapoteza Messi akiwa Ndani
Fainali na Ujerumani Mario Gotze anawanyima kombe Messi akiwa ndani
Analeta Impact gani??