Wewe dogo upo mtupu kabisa ktk suala la soka, hivi ushawahi kucheza mpira? Kama umewahi bila shaka umeishia cha ndimu tu na sio vinginevyo.
Ngoja nikupe fact uonde ujinga akili mwako. Mimi nimecheza mpira ila kutokana na sababu za hapa na pale ikabidi niache.
Umesema Sergio ndio mtibuaji mipango kwa Barca, na ukasema pia Pogba kutopewa jukumu la kukaba kumemfanya afanyw vyema.
Mdogo wangu, katika timu kuna watu WATATU (3).
1. Mkabaji
2. Mchezeshaji na
3. Mfungaji
Timu yoyote inapoingia uwanjani lazima hawa watu wawepo, kama una wakabaji wawili lazima mmoja ndo atakuwa master, na kwa mchezeshaji hivyo hivyo na kwa mfungaji hivyo hivyo.
Mfano, kwa kuwa umeitaja Barca na mimi nitatolea mfano Barca hiyohiyo. Kabla ya Rakitic kulikuwa na Xavi, Iniesta na Sergio. Suala la ukabaji wa Timu kwa ujumla ni la Sergio, Iniesta ni kiungo mchezeshaji na mshambuliaji ila suala la kuchezesha timu lilikuwa chini ya Xavi na ufungaji lilikuwa ni la Messi.
Sasa ww unashangaa nini Sergio kuwa ndo mtibuaji wakati ktk timu hilo ndo jukumu lake!? Ni sawasawa na kushangaa kipa kudaka wakati ndo jukumu lake uwanjani, kuzuia mpira usiingie golini.