Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

Bila Rakitic,Iniesta,Bosquet Hakuna Messi

Nakubiliana na Wewe ila Rakitic mwenyewe alikiri kucheza na wachezaji type iyo lazima uwe na extrapower
Xavi alikuwa mkabaji? Iniesta Mkabaji? Barca mkabaji ni Sergio na mabeki. Na hii ni kutokana na tiki taka.
 
Tunarudi pale pale Mata alikua hakabi

Pogba alikua amezungukwa na watu kama kina Claudio Marchisio/pirlo jukumu la kukaba lilikuwa kidogo sana

Kaja man utd kapewa jukumu la kukaba

Kama umeingia game ya jana Carrick kacheza no 6 pogba kaachwa awe free that why kapiga mwingi jana

Maneno ya Owen Hagrevas Pogba na Carrick wacheze pamoja.

Huwezi kuizungumzia barca bila kumtaja Sergio bosequet yule ndo mtibua mipango yote ya timu pinzani
Wewe dogo upo mtupu kabisa ktk suala la soka, hivi ushawahi kucheza mpira? Kama umewahi bila shaka umeishia cha ndimu tu na sio vinginevyo.

Ngoja nikupe fact uonde ujinga akili mwako. Mimi nimecheza mpira ila kutokana na sababu za hapa na pale ikabidi niache.

Umesema Sergio ndio mtibuaji mipango kwa Barca, na ukasema pia Pogba kutopewa jukumu la kukaba kumemfanya afanyw vyema.

Mdogo wangu, katika timu kuna watu WATATU (3).

1. Mkabaji
2. Mchezeshaji na
3. Mfungaji

Timu yoyote inapoingia uwanjani lazima hawa watu wawepo, kama una wakabaji wawili lazima mmoja ndo atakuwa master, na kwa mchezeshaji hivyo hivyo na kwa mfungaji hivyo hivyo.

Mfano, kwa kuwa umeitaja Barca na mimi nitatolea mfano Barca hiyohiyo. Kabla ya Rakitic kulikuwa na Xavi, Iniesta na Sergio. Suala la ukabaji wa Timu kwa ujumla ni la Sergio, Iniesta ni kiungo mchezeshaji na mshambuliaji ila suala la kuchezesha timu lilikuwa chini ya Xavi na ufungaji lilikuwa ni la Messi.

Sasa ww unashangaa nini Sergio kuwa ndo mtibuaji wakati ktk timu hilo ndo jukumu lake!? Ni sawasawa na kushangaa kipa kudaka wakati ndo jukumu lake uwanjani, kuzuia mpira usiingie golini.
 
Muda mwingine tuwe wakweli tu!! kwani kuna timu ambayo haina mtu mwenye majukumu ya kutibua mbinu za wapinzani? Man U vs Liverpool umeangalia mpira umeona jinsi Felain anavyotibua mipango ya wapinzania hizo kila mtu uwanjani anamajukumu yake aliyopewa na mwalimu hivo kumkosoa fulani kisa yupo fulani ni ujinga.... Messi kwa Barca ni mtu anaetegemewa kuanzisha mashabulizi na unaweza kuona jinsi gani akiwa na mpira anavyoweza kufungua mabeki na ndio kitu ambacho kina credity kubwa kule mbele
Wakati nacheza mpira kabla ya Match, huwa kuna kitu wachezaji tunakiita Mgongo wa timu, na baada ya timu tunaangalia wabeba timu.

Mgongo wa timu unajumuisha WATU WATANO (5) na Wachezaji ni watu WATATU (3). Mtu wa kukaba anaingia sehemu zote mbili hapo juu, na unapopewa jukumu la kukaba yaani timu nzima wewe ndo unaongoza suala la ukabaji, beki namba 5 yupo chini ya Kiungo Mkabaji. Beki namba 5 anakuja kuchukua maamuzi pale tu timu yake inaposhambuliwa na namba 6 haina msaada tena, yaani upinzani kuwafikia ila Back Line, hapo namba 5 ndo anapanga ile Back Line nini cha kufanya lakini bado pia anamtegemea 6 aje msaidie.

Sasa huyu dogo anataka amuone Sergio ndo mbeba timu wakati Sergio ndo jukumu lake. Kwani wakati Messi hayupo Sergio hakabi? Na kama anakaba, Je Barca inafungaga magoli sawasawa na Messi akiwepo?
 
Naunga mkono hoja ndugu sijakataa Messi ni mchezaji aliyekamilika ndo maana anashinda tuzo mbalimbali

Rakitic katoa maoni yake kwa yeye aliyeyaona wakiwa kama teammate na siyo yeye tu pamoja na Neymar/Suarez

Njoo pale Madrid Chistian anafunga ndiyo ila kuna mtu anaitwa Modric yeye huwezi sikia akizungumzwa sana
Dogo umewahi kujiuliza kwanini tangu Ronaldo atue Madrid hamna Striker wa maana aliyetua Santiago Bernabeu kucheza na huyo Ronaldo!?

Unadhani kwanini Ronaldo yeye ndo anafunga sana pale kuliko Benzema, yaani hamna balance ktk tofauti ya magoli kati ya Benzema na Ronaldo!?

Jiulize kwanini Mastriker wazuri duniani hawajaenda Bernabeu kucheza na Ronaldo ambae yeye ni left wing. Nakutajia majina ya Strikers waliokataa kutua Bernabeu then ujiulizw WHY!?

1. Kun Aguero.
2. Wayne Rooney.
3. Louis Suarez.
4. Zlatan Ibrahimovic.
5. Roberto Lewandowski
6.

Hawa wote wamekataa kutua Bernabeu, ulisema ww umecheza mpira na unaujua, aya embu tueleze Wana_JF kwanini hawa watu wamekataa pesa ndefu za Madrid ili kutua Bernabeu!!???
 
Well both of you... Mpo wrong. Wewe na huyo Rakitic wako.
Na jibu ni lile lile refer kwenye philosophy ya Barca.
Rakitic yupo sahihi kabisa ila huyu mtoto ana kichwa kizito kuelewa, ukijumrisha na chuki zake kwa Messi ndo kabisaaaa.
 
Umekua Luis Enrique nini??

Kama Rakitic ameweza kuingia kwenye mfumo na kuwa mchezaji tegemeo kosa lake liko wapi??

Philosophy ya barca ni kuposses mpira kwa muda mrefu ila huwezi kukaa na mpira muda mrefu kama hukabi...

Ndo maana wakikutana na timu zinazokaba sana wanapata shida anza na Atl.Madrid

Alipigwa bao 4 na 3 mtawalia na bayern munich kwa makosa ayo ayo ya kutokukaba....
Hivi we mtoto una miaka mingapi?
 
Ukiambiwa mpira umeanza kuufuatilia juzi unabisha huyo messi aliye umia kwenye game ya celta vigo ni messi yupi???

Kwa taarifa yako messi alipata injury kwenye game ya atletical Madrid na alikaa njee week 3.

My take:jaribu kufanya uchunguzi kabla hauja toa mawazo yako alafu humu sio fb
Haka katoto kanaongea shombo tu humu ndani. JF ameona kama ni group la watoto wenzie huko Watsup.
 
Haka katoto kanaongea shombo tu humu ndani. JF ameona kama ni group la watoto wenzie huko Watsup.
Kwan umeambiwa uchangie...

Shikamoo baba..

Maneno ya Rakitic sasa kosa lipo wapi?
 
Naunga mkono hoja ndugu sijakataa Messi ni mchezaji aliyekamilika ndo maana anashinda tuzo mbalimbali

Rakitic katoa maoni yake kwa yeye aliyeyaona wakiwa kama teammate na siyo yeye tu pamoja na Neymar/Suarez

Njoo pale Madrid Chistian anafunga ndiyo ila kuna mtu anaitwa Modric yeye huwezi sikia akizungumzwa sana
sasa ww jamaa point yako ni nini unataka modric azungumzwe ili iweje,ww ukiona ronaldo ndio anyezungumzwa kuzidi huyo modric jua fika majukumu ya ronaldo ni makubwa kuzidi ya huyo modric ndio maana hazunhumzwi! au ww unadhani kufunga ni kazi rahisi,mbona ma goal keeper wanaokoa mipira sana lakini bado sifa zote hupewa ma forward na hii ni duniani kote!au unadhani watu dunia nzima kuwapa sifa ma forward na kuwaacha wechezaji wengine kama ma goal keeper,mabeti na viungo ni wajinga!.sijui kama umisha wahi kucheza mpira ww unadhani kazi ya kufunga ni kazi rahisi eeh.
 
Wakujifunza mimi au Rakitic??ok labda ungetaka Rakitic asemaje?
ww ndio wa kujifunza maana ww ndio uliyesema hii statement kwenye uzi wako

Naimani hata Messi akisifiwa anaweza kukataa na badala yake akaelekeza sifa kwa wachezaji wenzake.

Hivyo tunavyompa sifa Messi tukumbuke hao wachezaji..
 
Game ya dhidi ya Celta vigo barca anakula 4-3 kama kumbukumbu zangu ziko vizuri ndo game Messi alipata injury.

Iniesta/Rakitic hawakuanza ile game alianza Sergio timu ilicheza ovyo sana hasa upande wa kiungo,Iago Aspas alikua huru sana

Ila baada ya Iniesta kuingia timu ikarudi mchezoni na kufanikiwa kurudisha goli tatu...

Ushauri tukubali Rakitic kasema ukweli mtupu
hizo ni hisia zako vipi nami nikukuambia kuwa kama messi angeaza hiyo game basi uwepo wa messi pale mbele ni hofu tosha na labda celta vigo wangecheza mpira wa kuzuia zidi na inawezekana uwepo wa messi ungesababisha wafungwe magoli kama 3 mapema na kuwaondoa matumaini kabisa ya kushinda game
 
Funga mdomo wako sasa!
Freedom of speech itakua haizangatiwi

Kila mtu anahaki ya kuongea otherwise havunji sheria za nchi/jamii forum

Pia hakuna aliyekuforce ukoment

Kama ni irrelevant kwako unaeza kuacha tu.

Umesoma alichosema Rakitic au unaishia kukoment tu kisa mwingnwe kakoment
 
Wewe dogo upo mtupu kabisa ktk suala la soka, hivi ushawahi kucheza mpira? Kama umewahi bila shaka umeishia cha ndimu tu na sio vinginevyo.

Ngoja nikupe fact uonde ujinga akili mwako. Mimi nimecheza mpira ila kutokana na sababu za hapa na pale ikabidi niache.

Umesema Sergio ndio mtibuaji mipango kwa Barca, na ukasema pia Pogba kutopewa jukumu la kukaba kumemfanya afanyw vyema.

Mdogo wangu, katika timu kuna watu WATATU (3).

1. Mkabaji
2. Mchezeshaji na
3. Mfungaji

Timu yoyote inapoingia uwanjani lazima hawa watu wawepo, kama una wakabaji wawili lazima mmoja ndo atakuwa master, na kwa mchezeshaji hivyo hivyo na kwa mfungaji hivyo hivyo.

Mfano, kwa kuwa umeitaja Barca na mimi nitatolea mfano Barca hiyohiyo. Kabla ya Rakitic kulikuwa na Xavi, Iniesta na Sergio. Suala la ukabaji wa Timu kwa ujumla ni la Sergio, Iniesta ni kiungo mchezeshaji na mshambuliaji ila suala la kuchezesha timu lilikuwa chini ya Xavi na ufungaji lilikuwa ni la Messi.

Sasa ww unashangaa nini Sergio kuwa ndo mtibuaji wakati ktk timu hilo ndo jukumu lake!? Ni sawasawa na kushangaa kipa kudaka wakati ndo jukumu lake uwanjani, kuzuia mpira usiingie golini.
Who is wrong mimi au Rakitic??
 
Game ya dhidi ya Celta vigo barca anakula 4-3 kama kumbukumbu zangu ziko vizuri ndo game Messi alipata injury.

Iniesta/Rakitic hawakuanza ile game alianza Sergio timu ilicheza ovyo sana hasa upande wa kiungo,Iago Aspas alikua huru sana

Ila baada ya Iniesta kuingia timu ikarudi mchezoni na kufanikiwa kurudisha goli tatu...

Ushauri tukubali Rakitic kasema ukweli mtupu
hakuna game waliyofungwa wakiwepo wote?
 
Back
Top Bottom